Ndio analipia na shelter. . .wengine kama sio watoto wangebanana na ndugu/marafiki.
kila mwezi M-Pesa anatumiwa.....lakini anataka 2.1m/=.........jamani for what alichonifanyia? Tukishindwana adai anaenda kufungua kesi ya amtunzo ya mtoto....na atafanya hivyo kunikomoa anajua sitaki khabaro kuzagaa kwenye vyombo vya khabari.............hiyo ndiyo silaha yake ya veto...............lakini yeye anaishi na jamaa mwingine na amezaa naye mtoto..................sasa anataka nibebe majukumu ya kulea watu wa familia nzima.......yeye, hawara yake. mwanangu na wa kwake na huyu loser wake.......................it hurts very much Kaunga
kwani kwa sasa ana miaka mingapi??? akifika umri wa kuanza nursery skul, unaweza kufanya yafuatayo, ada ya shule lipa mwenyewe shuleni mama mtu atafuata receipt tu, mkatie card ya bima mwanao incase ya ugonjwa, mwambie mama yake asiworry about clothes and shoes u will provide kama vitu n not kama pesa, then kadiria mtoto wako kwa mwezi anaweza kuwa anakula maya 5kgs za mchele, unga the sama, nunua kuku wa2 na nyama kilo 2, nyanya kilo 2, vitunguu na everything kg moja, moja,. yaani mwenzi ndivyo nifanyavyo kwa mtoto wa kakangu, my brother yupo chicago long tym, kaacha mtoto bby gal kwa mama yake, mama yake aliambiwa anipe mtoto akakataa, so my brother anatruma pesa kwangu, mara moja moja during her birthdays, but hizi cku nyingine, this is what i normaly do. HATUMPI PESA KABISAAAAAAAAAAAA!cacico.....mambo magumu kwani idara ya ustawi wa jamii sijui kawapa nini......wanadai anayo khaki ya kukaa na mtoto hadi afikishe miaka saba..........
Akiugua kadi ya bima inampeleka hospitali, risiti ya shule inampandisha daladala au gari la shule, akiwa na njaa anajilisha mwenyewe, nguo zikichafuka zinajifua zenyewe, ankiwa na njaa mchele, unga, mayai, n.k. ulivyopeleka vinajipika vyenyewe. Kwani Kutompa pesa ndio mnaona manafaidi sana? Mtoto akikuwa atasimuliwa na mama yake. ATAWACHUKIA TU.kwani kwa sasa ana miaka mingapi??? akifika umri wa kuanza nursery skul, unaweza kufanya yafuatayo, ada ya shule lipa mwenyewe shuleni mama mtu atafuata receipt tu, mkatie card ya bima mwanao incase ya ugonjwa, mwambie mama yake asiworry about clothes and shoes u will provide kama vitu n not kama pesa, then kadiria mtoto wako kwa mwezi anaweza kuwa anakula maya 5kgs za mchele, unga the sama, nunua kuku wa2 na nyama kilo 2, nyanya kilo 2, vitunguu na everything kg moja, moja,. yaani mwenzi ndivyo nifanyavyo kwa mtoto wa kakangu, my brother yupo chicago long tym, kaacha mtoto bby gal kwa mama yake, mama yake aliambiwa anipe mtoto akakataa, so my brother anatruma pesa kwangu, mara moja moja during her birthdays, but hizi cku nyingine, this is what i normaly do. HATUMPI PESA KABISAAAAAAAAAAAA!
Hahaahahaha mwacheni jamani mbona yeye alibeba mimba bila msaada?Kama analipiwa na shelter basi huyo mama ni mkorofi. Halafu yeye anacontribute kiasi gani? Still hii case haiwezi kumalizwa kwa mapatano ya kisheria not necessarily mahakamani?
Lizy kwenye hili jambo wewe umeonyesha kutokuelewa hoja ya Rutashubanyuma. Rutashubanyuma yeye tatizo lake ni kwamba hela zote hizo anazotoa anadhani zinatosha lakini kutokana na huyo mzazi mwenzake kuwa na mtoto mwingine ambaye si wake na kuishi na "boy friend" wake, Ruta anahisi fedha hazitoshi kwa sababu matumizi yake si ya mtoto wake peke yake bali zinatumika kutunza Boy Friend, mtoto wa kambo na mama mwenyewe.
Huyo mama kwa maelezo ya Ruta ana hela na siyo vitu. Lizy ni lini umeona kesi ya matunzo ya mtoto ikahusisha vitu badala ya fedha? Hapo ndiyo Concern yetu wanaume inapokuja hasa ukigundua pale unapopeleka hela kuna dume mwenzio anakula na kufaidi jasho lako.Kigarama kama ukisoma post yangu ya pili sijui ya tatu utajua kwamba hamna nilichokosa kuelewa. Binafsi najua gharama za kulea hivyo naongea from experience na sio nabuni na kuhisi kama afanyavyo Ruta. Kama anataka uhakika wa matumizi ya pesa yake awe ananunua vitu mwenyewe. . .
Huyo mama kwa maelezo ya Ruta ana hela na siyo vitu. Lizy ni lini umeona kesi ya matunzo ya mtoto ikahusisha vitu badala ya fedha? Hapo ndiyo Concern yetu wanaume inapokuja hasa ukigundua pale unapopeleka hela kuna dume mwenzio anakula na kufaidi jasho lako.
Hahahahahahha Kigarama
Niliwahi kuanzisha thread kuhusiana na wazazi wenza, nilikua upande wa wanaume na lengo kuu lilikuwa kuwaambia wasikubali kutumiwa/endeshwa na wazazi wenza. Ila kwenye hili siwezi nikamtetea Ruta maana bado sijajua huyo dada yey anachangia kwa kiasi gani, kiasi gani kwenye anachotoa Ruta kinamfikia mtoto na kadhalika. Hivyo naassume kwamba maisha yao(mtoto na mama) ni ya hali ya juu hivyo anachotoa ni sahihi.
rutashubanyuma,pole kwa mkasa huo ila kulea mtoto ni kazi c ndogo jaman kama alivyosema lizzy.pili cjakuelewa uliposema mzazi mwenzio alisema kama vipi ahamie kwako we ukasema hutaki...qn je alitaka kuhamia kwako naboyfriend wake ama vip?..and so punguza ka mchezo kako ka kucheza bila kinga then unakimbi matokeo yake.cio fair.