Ibrahim300
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 390
- 68
Mmh bibi yupo vizuri, kwa huku kwetu sasa hivi ukifikisha huo umri basi hata kufumbua kope utakuwa unasaidiwa
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mmh bibi yupo vizuri, kwa huku kwetu sasa hivi ukifikisha huo umri basi hata kufumbua kope utakuwa unasaidiwa
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ha ha ha ha na kwenda kuanikwa juani na wajukuu kama mbilimbi...
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Ha ha ha ha na kwenda kuanikwa juani na wajukuu kama mbilimbi...
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Ha ha ha ha na kwenda kuanikwa juani na wajukuu kama mbilimbi...
Hahaha acha bibi zetu waote jua bana. Daah ila kufikisha umri kama hawa bibi zetu ni jambo la kumshukuru sana Mungu
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
ukweli mtupu..♥Maisha ya bongo unachelewa kukua lakini unawahi kuzeeka tofauti na wenzetu wanawahi kukua na wanachelewa kuzeeka.
Hahah..bila kusahau ugoro
Ha ha ha ha na kwenda kuanikwa juani na wajukuu kama mbilimbi...
Hahaha acha bibi zetu waote jua bana. Daah ila kufikisha umri kama hawa bibi zetu ni jambo la kumshukuru sana Mungu
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ha ha ha 50 yenyewe shughuli na magonjwa yote haya,,,maana magonjwa mapya yote yana anzia kwetu like Dengue
naomba nicheke nilale
Mamake mwigizaji wa Hollywood Sylvester Stallone anayejulikana kwa jina Jackie Stallone ni mama mzee mwenye umri wa miaka 92 lakini bado ni mtu mwenye nguvu na anaijulia sana mitindo ya kuvalia nguo.
Jackie ambaye anafanya kazi ya kutabiria nyota za watu alionekana akitembea kando na kilabu cha densi Santa Monica akiwa amevalia blause ya rangi ya kupakwa vifungo ya waridi, jeans ya rangi nyeusi na viatu vya spoti vyenye mchanganyiko wa rangi ya hudhurungi na nyeupe.
Tukio hili alinaswa na mapaparazzi siku ya Jumatano.
Credit: bkuhabari blog
Ha ha ha ha na kwenda kuanikwa juani na wajukuu kama mbilimbi...
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Mbona Marehemu Bi KIDUDE (R.I.P) Alikua na miaka 100 na alikua anakata Mauno?
Ha ha ha ha na kwenda kuanikwa juani na wajukuu kama mbilimbi...
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app