Mamake mwigizaji Rambo, ana miaka 92 lakini bado kijana

Ibrahim300

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2010
Posts
390
Reaction score
68
Mamake mwigizaji wa Hollywood Sylvester Stallone anayejulikana kwa jina Jackie Stallone ni mama mzee mwenye umri wa miaka 92 lakini bado ni mtu mwenye nguvu na anaijulia sana mitindo ya kuvalia nguo.

Jackie ambaye anafanya kazi ya kutabiria nyota za watu alionekana akitembea kando na kilabu cha densi Santa Monica akiwa amevalia blause ya rangi ya kupakwa vifungo ya waridi, jeans ya rangi nyeusi na viatu vya spoti vyenye mchanganyiko wa rangi ya hudhurungi na nyeupe.






Tukio hili alinaswa na mapaparazzi siku ya Jumatano.
 
♥Maisha ya bongo unachelewa kukua lakini unawahi kuzeeka tofauti na wenzetu wanawahi kukua na wanachelewa kuzeeka.
ukweli mtupu..
 
 

Itakuwaje MTU anamiaka 92 halafu awe Bado KIJANA!
 
Mbona Marehemu Bi KIDUDE (R.I.P) Alikua na miaka 100 na alikua anakata Mauno?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…