Mamaz Mwanaume mwenye watoto na wanawake tofauti tofauti ungeishi naye vipi?

Mamaz Mwanaume mwenye watoto na wanawake tofauti tofauti ungeishi naye vipi?

Huyu mwanamke anakosa tu Kujitambua ,Kuna makosa ya kuacha mwanaume kabisa yapo
Hilo kosa sawa utamlaumu mwanaume Sana Ila siyo kuvunja ndoa kisa hi upuuzi
 
Ni kweli kabisa kwa maelezo yake anasema kabisa kwa jinsi mumewe anavyomjali ;kujishusha nakumthamini hakuwa akijua kuwa kuna background inayomtesa unaambiwa hao watoto wa2 ni kama pumzi yake; ndo kugundua now kumbe sio acting ni majuto ya ujana bwana xo hakuwa tyr kumpoteza huyu binti no4!!
Ni sahihi kabisa alikosea kumdanganya, lakini jiulize, Kama alimdanganya zamani, na amekuwa mwema kiasi Cha kufurahia maisha yake, kuondoka kunamsaidia kiasi gani ukilinganisha na kubaki?

Lakini pia jiulize, yeye akiondoka leo, (akiwa na watoto wake 3) ataolewa tena? Au ataishi pasipokuwa na mahusiano mengine mpaka anakufa?

Kama atakuwa na mahusiano mengine, huyo atakayempata atakuwa mwanaume wa aina gani? Mume wa mtu? Au atapata wa kwake peke yake?

Wanawake Kuna wakati wanahitaji kutulia sana kabla ya kuamua, kwa sababu Kuna wakati unaachana na mumeo then unaenda kuwa mchepuko wa mume wa mtu mwingine, unakuwa mtu wa kuonjwa na kila mwanaume coz huwezi kuwa na mume wa mtu maisha yote!

Ni mtazamo wangu tu, wengine sijui watakuwa na mtazamo gani
 
Ni kweli dada na kweli hakuna namna na inaonekana mume kajutia sana hiki kitu kinamtesa bwana na familia yake nzima hata sisi wajumbe tumemwambia asamehe tu as long as watoto haishi nao wataendelea kukaa na mama zao haina shida ye aendeleze maisha na mumewe mana mwnyw anakili kwamba kama ni mapenzi basi mumewe kamuweza yaani hajawahi kujuta kuwa naye ni hilo la watt ndo limeharibu furaha yao!
ameshaombwa msamaha, muungwana akishavuliwa nguo hasimami huchutama and yes kijana amechutama

mbona iko wazi alifichwa isilete shida inauma lakini ukiacha hilo kuna jingine la kuhatarisha ndoa yake lililotokea had aconclude waachane??

asiache mbachao kwa msala upitao, hilo nalo litapita akae alee familia yake na mumewe, asamehe wameshakiri kukosea awasamehe ndio ubinaadam na uungwana huo

halaf hata akisamehe sio kwamba wataganda hapo maisha lazima yatasonga tu muhimu uhai.
 
[emoji28][emoji28][emoji28]dada unaroho ya kikauzu hyu mwenzetu itakuwa kuvurugwa tu akipewa counseling atakaa sawa uwezekano wa kuondoka ni mdogo nimefatilia comment maimani akiziona ataghairi kuondoka
Huwa hatuachi mwanaume kwa makosa yake ya nyuma, ingekuwa Mimi hata angekuwa na watoto 7 kila mmoja na mama yake, simuachi
 
Dah mkuu maneno yako magumu jmn yeye hamlaumu mumewe kuzaa mapema kinachomliza ni kudanganywa yy bidada alimwambia mpma tu kuwa tyr anamtoto na mwanaume akasema anamtoto mmoja kumbe muongo na hayo yametokea kpndi cha uchumba tunajuwaje labda angemwambia mpma bidada angetoka nduki 20yrs and something una watt wa3 mama tofauti?,he was a player xo kama angemwambia mpma labda bidada angeghairi na ndoa yenywe[emoji26][emoji26]

afu khsu mama usimlaumu kwa chochote mama zetu wana pitia magumu sana kijana yyte akishaanza kujitegemea yuko mbali na wazazi ni vigumu sana mzazi kum control ni kuomba tu yasikukute mzee!!
Hapo ni mapicha picha tu. Hakuna ndoa. Aliyeoa ni mume wa mtu nae kaoa mke wa mtu. Vijana wa siku hizi wanakuwa na.watoto wa kila rangi/kabila[emoji23][emoji23][emoji23].
Halafu wanawake wanapenda kuonekana wasafi sana hapo huyo no4 anataka kuonekana hana hatia kuzaa mapema ila mwenzio ndo anahitaji hukumu ya kuza mapema.
Pia huyo mama wa huyo mwanaume nae hakuna mzazi hapo. Toto lako linazaa kama kuku sehemu tofauti tofauti bado unapokea vifaranga vyake bila ya kumkanya au kumwongoza lipi la kufanya.

Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app
 
Dah hili nalo neno mana akikwambia tangu waanze uhusiano hiki ndo kipindi mumewe kamtoa machozi ya uchungu mana kwa miaka yote hyo alikuwa akishangaa wanasema ndoa ngumu kwake yy ni furaha tupu
Ikiwa mwanaume amekiri kosa na amekuowa na anakupa furaha you better keep him. Ukiiona dhahabu inangaa shingoni historia yake ilikuwa matopeni.


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
mkuu unafahamu uongo unavyoumiza?halii coz mwanaume ana watt inamuuma kudanganywa miaka yote hiyo hicho ndo anachosema yy anajiuliza kama huyo mumewe ameweza kui keep siri nzito kama hyo ni mangapi kadanywa?any way maji yashamwagia kama ulivyosema kikubwa alie anyamaze maisha waendelee [emoji26][emoji26]
huyo rafikio hajakua kiakili, hapo mbona hamna jambo kubwa la kuvunja ndoa? ni bora hao watoto mumewe angewapata kwa siri wakiwa ndoani bt kwa hili akivunja ndoa mbeleni atajuta sana
 
[emoji30][emoji30]mkuu hii kitu imeniuma kama ni mimi vile hata kama ni hvyo na kweli mumewe hakufanya kwa kukusudia kupata wtt wote hao si angemwambia kbla?ok kaficha miaka yote bado binti kaipata siri toka Fb si yy alomwambia binti ndo alouliza na ishahidi akamwonyesha ndo mwanaume kukili ima maana bila hvyo ilikuwa nitolee aje kuwajua mwanaume akifa[emoji30][emoji30]
Naona kama mke wa ndoa yeye ndie anafanya maisha yanakuwa magumu.
Yes ni kweli kudanganywa kunauma hasa kwa watu uliowaamini.laki sasa..si kaombwa msamaha?

Ingekuwa huyo mumewe kazaa hao watoto wa nje akiwa ndoani kweli ningesema huyo mke anahaki ya kulia mda wote huo.sasa mtu aliyafanya yote hayo akiwa hakujui wala kutegemea kukujua halafu unajiliza namna hiyo huo ni upoyoyo aiseh..labda kama kama analia kwa lengo la kusafisha macho hapo sawa aende kulia kwa kiasi ya 5G.

Aiseh baadhi ya wanawake bhana..kuna vitu si vya kuumiza navyokichwa ni kutumia akili tu.

ushauri wangu:
mwambie kama anajiona na kujihisi yeye ni malaika binadamu si kiumbe sahihi kwake,basi aende mbinguni akaishi na malaika wenzake fullstop
 
unaambiwa kaanza naye chini chini kabisa yaani kamkuta kijana hana kitu stress za mapnz cjui ndo zilikuwa zikimpeleka less unaambiwa kakuta maisha yake kawekeza kwny pombe yy na crew yake wanakunywa hadi wanalala bar binti ndo alombadilisha mpka kaja kuwa mume na baba bora ndo mana unaambiwa mama mkwe hapindui kwa binti mana anajua alikomtoa mwanae afu binti mwnyw sio lele mama anapiga kazi sana tu!
Mi naona huyu anasumbuliwa na kuwaza mali ya mwanaume vp kam hao watoto wengine itabid wapate mgao

Ni swala la tamaa za mali
 
mkuu unajifariji sio mnapenda kuteleza wkt majukumu hamuyawezi kutwa kusimanga single maza wkt the source ni nyie wnywe[emoji28][emoji28]
Kwa hiyo na yeye anataka kuongoza single mother wa 4 anyway kastori Kama kanafanana na kastori kangu ila nauhakika yangu ila Mungu ni mkuu itavukwa
 
[emoji30][emoji30][emoji30]eeee Mungu saidia Single maza wte duniani dah nyie wanaume nyie Mungu anawaona kwa kweli
Mwanangu hili balaa Kama langu nawatoto Saba mama tofauti....siku ikibumburuka
 
Hicho ndo kinamtesa kijana unaambiwa hao watoto wa2 alozaa na mkewe wa ndoa yaani wanavyopendwa ni kupitiliza kumbe suala la kutokuishi na hao watoto wengine ndo likampa hasira anapenzi makubwa na familia yake kuanzia mke mpaka watoto wake
Kumbe tuko wengi mi kiukweli sitawaacha wanangu wafanye ujinga niliofanya inaniumiza sana kila siku usiku na mchana nyege za miaka 19-24 na jinsi watoto wakike wanavyoachwa sasa hivi ni hatari sana yaani umekaa zako ghafla kademu wala hamjazoeana kivile anakwambia nataka nije kwako tukae wiki mbili. Kwa umri ule na moto ule yaani akili inawaza showshow wala hujui Mambo ya mtoto wala kitu chochote. Kiukweli changamoto ni kubwa nani hatari sana mtu unamiaka 29 una watoto 7 halafu kila mmoja na mama yake wala hauna connection na hata mmoja sijui hii laana itafutikaje. Mungu turehemu vijana wa leo.
 
[emoji30][emoji30][emoji30]Basi hii ishu inavyochukuliwa poa dah hivi ikitokea mwanamke kakudanganya kuwa hajawahi zaa kumbe ana wa2 utafanyaje mkuu?,kuna wanawake wana miili mizuri huwezi jua kama kazaa!!
Mwambie aache ufala anacholilia nini sasa,. Afunike yaliyopita wako na ukurasa mpya. Hapo wameona wazazi
 
Yaa ni kweli may be mwanaume aliona akimwambia mpma binti atamuogopa atamuona player hvyo angemkosa akaamua kucheza rafu anyway yamemwagika hayazoleki kama mlivyoshauri cha muhimu ni wakae wapange mikakati yao khsu hao watt japo sio rahisi ila ajikaze
Sijaona kosa la mwanaume! Mnisamehe wanawake wenzangu.

Kama hao watoto wote amekuta wamezaliwa, sioni haja ya yeye kujiumiza kwa kulia lia.

Ni ngumu ila ni maumivu yatapita.

Ni kosa ambalo lipo kwa "baadhi" ya wanaume wengi.

Ni kosa ambalo mimi kama mimi litaniumiza kibinaadamu ila katu halitavunja ndoa yangu.

Ni kosa ambalo kiasi fulani litapoteza ile furaha ya kawaida iliyokuwepo kwa muda fulani ila sitaruhusu furaha itoweke daima.

Mume alificha ili kuhofia kutokumpoteza mwanamke anayempenda.

Ameshajua, aumie alieeee ila ahakikishe ndoa inaendelea. Maisha yaendelee

Mama mkwe hana kosa kabisaaa

Tena mwambie aangalie siku wakichoka kumbembeleza watamuacha aamue lolote halafu aje duniani huku akutane na hawa wanaume ambao unagundua mauchafu yao na ndio unakuwa umefungulia mlango wa kukuonesha dhahir madhambi yao mengine
 
Back
Top Bottom