Mamaz Mwanaume mwenye watoto na wanawake tofauti tofauti ungeishi naye vipi?

Huyu mwanamke anakosa tu Kujitambua ,Kuna makosa ya kuacha mwanaume kabisa yapo
Hilo kosa sawa utamlaumu mwanaume Sana Ila siyo kuvunja ndoa kisa hi upuuzi
 
Ni kweli kabisa kwa maelezo yake anasema kabisa kwa jinsi mumewe anavyomjali ;kujishusha nakumthamini hakuwa akijua kuwa kuna background inayomtesa unaambiwa hao watoto wa2 ni kama pumzi yake; ndo kugundua now kumbe sio acting ni majuto ya ujana bwana xo hakuwa tyr kumpoteza huyu binti no4!!
 
Ni kweli dada na kweli hakuna namna na inaonekana mume kajutia sana hiki kitu kinamtesa bwana na familia yake nzima hata sisi wajumbe tumemwambia asamehe tu as long as watoto haishi nao wataendelea kukaa na mama zao haina shida ye aendeleze maisha na mumewe mana mwnyw anakili kwamba kama ni mapenzi basi mumewe kamuweza yaani hajawahi kujuta kuwa naye ni hilo la watt ndo limeharibu furaha yao!
 
[emoji28][emoji28][emoji28]dada unaroho ya kikauzu hyu mwenzetu itakuwa kuvurugwa tu akipewa counseling atakaa sawa uwezekano wa kuondoka ni mdogo nimefatilia comment maimani akiziona ataghairi kuondoka
Huwa hatuachi mwanaume kwa makosa yake ya nyuma, ingekuwa Mimi hata angekuwa na watoto 7 kila mmoja na mama yake, simuachi
 
Dah mkuu maneno yako magumu jmn yeye hamlaumu mumewe kuzaa mapema kinachomliza ni kudanganywa yy bidada alimwambia mpma tu kuwa tyr anamtoto na mwanaume akasema anamtoto mmoja kumbe muongo na hayo yametokea kpndi cha uchumba tunajuwaje labda angemwambia mpma bidada angetoka nduki 20yrs and something una watt wa3 mama tofauti?,he was a player xo kama angemwambia mpma labda bidada angeghairi na ndoa yenywe[emoji26][emoji26]

afu khsu mama usimlaumu kwa chochote mama zetu wana pitia magumu sana kijana yyte akishaanza kujitegemea yuko mbali na wazazi ni vigumu sana mzazi kum control ni kuomba tu yasikukute mzee!!
 
Dah hili nalo neno mana akikwambia tangu waanze uhusiano hiki ndo kipindi mumewe kamtoa machozi ya uchungu mana kwa miaka yote hyo alikuwa akishangaa wanasema ndoa ngumu kwake yy ni furaha tupu
Ikiwa mwanaume amekiri kosa na amekuowa na anakupa furaha you better keep him. Ukiiona dhahabu inangaa shingoni historia yake ilikuwa matopeni.


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
mkuu unafahamu uongo unavyoumiza?halii coz mwanaume ana watt inamuuma kudanganywa miaka yote hiyo hicho ndo anachosema yy anajiuliza kama huyo mumewe ameweza kui keep siri nzito kama hyo ni mangapi kadanywa?any way maji yashamwagia kama ulivyosema kikubwa alie anyamaze maisha waendelee [emoji26][emoji26]
huyo rafikio hajakua kiakili, hapo mbona hamna jambo kubwa la kuvunja ndoa? ni bora hao watoto mumewe angewapata kwa siri wakiwa ndoani bt kwa hili akivunja ndoa mbeleni atajuta sana
 
[emoji30][emoji30]mkuu hii kitu imeniuma kama ni mimi vile hata kama ni hvyo na kweli mumewe hakufanya kwa kukusudia kupata wtt wote hao si angemwambia kbla?ok kaficha miaka yote bado binti kaipata siri toka Fb si yy alomwambia binti ndo alouliza na ishahidi akamwonyesha ndo mwanaume kukili ima maana bila hvyo ilikuwa nitolee aje kuwajua mwanaume akifa[emoji30][emoji30]
 
unaambiwa kaanza naye chini chini kabisa yaani kamkuta kijana hana kitu stress za mapnz cjui ndo zilikuwa zikimpeleka less unaambiwa kakuta maisha yake kawekeza kwny pombe yy na crew yake wanakunywa hadi wanalala bar binti ndo alombadilisha mpka kaja kuwa mume na baba bora ndo mana unaambiwa mama mkwe hapindui kwa binti mana anajua alikomtoa mwanae afu binti mwnyw sio lele mama anapiga kazi sana tu!
Mi naona huyu anasumbuliwa na kuwaza mali ya mwanaume vp kam hao watoto wengine itabid wapate mgao

Ni swala la tamaa za mali
 
mkuu unajifariji sio mnapenda kuteleza wkt majukumu hamuyawezi kutwa kusimanga single maza wkt the source ni nyie wnywe[emoji28][emoji28]
Kwa hiyo na yeye anataka kuongoza single mother wa 4 anyway kastori Kama kanafanana na kastori kangu ila nauhakika yangu ila Mungu ni mkuu itavukwa
 
[emoji30][emoji30][emoji30]eeee Mungu saidia Single maza wte duniani dah nyie wanaume nyie Mungu anawaona kwa kweli
Mwanangu hili balaa Kama langu nawatoto Saba mama tofauti....siku ikibumburuka
 
Hicho ndo kinamtesa kijana unaambiwa hao watoto wa2 alozaa na mkewe wa ndoa yaani wanavyopendwa ni kupitiliza kumbe suala la kutokuishi na hao watoto wengine ndo likampa hasira anapenzi makubwa na familia yake kuanzia mke mpaka watoto wake
 
[emoji30][emoji30][emoji30]Basi hii ishu inavyochukuliwa poa dah hivi ikitokea mwanamke kakudanganya kuwa hajawahi zaa kumbe ana wa2 utafanyaje mkuu?,kuna wanawake wana miili mizuri huwezi jua kama kazaa!!
Mwambie aache ufala anacholilia nini sasa,. Afunike yaliyopita wako na ukurasa mpya. Hapo wameona wazazi
 
Yaa ni kweli may be mwanaume aliona akimwambia mpma binti atamuogopa atamuona player hvyo angemkosa akaamua kucheza rafu anyway yamemwagika hayazoleki kama mlivyoshauri cha muhimu ni wakae wapange mikakati yao khsu hao watt japo sio rahisi ila ajikaze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…