Mamba wameonywa kutoogelea hapa

Mamba wameonywa kutoogelea hapa

Mjukuu wa kigogo

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2023
Posts
445
Reaction score
1,094
Wahusika wametoa onyo Kwa mamba wenye tabia za kuogelea ovyo wajitathmini upya.

FB_IMG_1719683646046.jpg
 
Mi niliwahi kusema mamba ni kiumbe muelewa sana....

Si unaona wanawekewa na mabango kabisa...Hapo ni ngumu kukuta mamba...

Bora ukutane na mamba ila sio mzee wa hovyo akiwa anafakamia katoto ka 2000 . Wanakuaga na hasira za ajabu...

Huku jf unawakuta wapole ila kwenye vitoto wanakua wakali kama mbwa mwitu...
 
Mi niliwahi kusema mamba ni kiumbe muelewa sana....

Si unaona wanawekewa na mabango kabisa...Hapo ni ngumu kukuta mamba...

Bora ukutane na mamba ila sio mzee wa hovyo akiwa anafakamia katoto ka 2000 . Wanakuaga na hasira za ajabu...

Huku jf unawakuta wapole ila kwenye vitoto wanakua wakali kama mbwa mwitu...
Kijana kuna mzee amekuumiza sana. Pole utapona tu.
 
Mi niliwahi kusema mamba ni kiumbe muelewa sana....

Si unaona wanawekewa na mabango kabisa...Hapo ni ngumu kukuta mamba...

Bora ukutane na mamba ila sio mzee wa hovyo akiwa anafakamia katoto ka 2000 . Wanakuaga na hasira za ajabu...

Huku jf unawakuta wapole ila kwenye vitoto wanakua wakali kama mbwa mwitu...
Kuweni na huruma na Wazee 😜
 
Back
Top Bottom