Mamba wameonywa kutoogelea hapa

Mamba wameonywa kutoogelea hapa

Hiyo colon mark uliyoweka kwenye tangazo lako umeitoa wapi? Mleta mada yuko sahihi!
nimejaribu kutafuta maana, kwa kuwa haiwezekani mamba wasiruhusiwe kuogelea hapo ndio wanakoishi majini, watu ndio wamezuiwa kuogelea hapo na si mamba
 
Back
Top Bottom