Mamba wameonywa kutoogelea hapa

Hiyo colon mark uliyoweka kwenye tangazo lako umeitoa wapi? Mleta mada yuko sahihi!
nimejaribu kutafuta maana, kwa kuwa haiwezekani mamba wasiruhusiwe kuogelea hapo ndio wanakoishi majini, watu ndio wamezuiwa kuogelea hapo na si mamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…