Mkuu hujui kwamba wasomi wengi wa nchi hii ni watumiaji wakubwa wa Google translate?Wahusika wametoa onyo Kwa mamba wenye tabia za kuogelea ovyo wajitathmini upya.
Hapana mkuu hii ni kwa wazee na wa hovyo..Mkuu unatufokea hadi Wazee wako Mkuu 😜
Ndio hakuna jipyaHii imetoka Facebook.
Nilivyoelewa mimi ni kwamba anatahadharishwa binadamu kuwa asiogelee hapo kwakuwa kuna mamba ndani ya maji hayo.Wahusika wametoa onyo Kwa mamba wenye tabia za kuogelea ovyo wajitathmini upya.
Hapana mkuu hilo ni onyo la mamba...Nilivyoelewa mimi ni kwamba anatahadharishwa binadamu kuwa asiogelee hapo kwakuwa kuna mamba ndani ya maji hayo.
AhahahhHiyo code Bado cjaipata
Uzuri wa mamba ni waelewa mnoHapo sasa....
Hiyo colon mark uliyoweka kwenye tangazo lako umeitoa wapi? Mleta mada yuko sahihi!Tangazo linasomeka hivi- MAMBA: SI RUHUSA KUOGELEA HAPA. Si kwamba mamba hawaruhusiwi kuogelea hapa. Watu ndio hawaruhusiwi kuogelea hapa
nimejaribu kutafuta maana, kwa kuwa haiwezekani mamba wasiruhusiwe kuogelea hapo ndio wanakoishi majini, watu ndio wamezuiwa kuogelea hapo na si mambaHiyo colon mark uliyoweka kwenye tangazo lako umeitoa wapi? Mleta mada yuko sahihi!
Ni kweli, lakini mleta mada nafikri alikuwa anawasaidia waandishi kurekebisha ili lieleweke vizuri! Hapo anamaanisha kuna makosa ya kisarufi!nimejaribu kutafuta maana, kwa kuwa haiwezekani mamba wasiruhusiwe kuogelea hapo ndio wanakoishi majini, watu ndio wamezuiwa kuogelea hapo na si mamba
wangeweka danger sign baada ya neno Mamba wangekua sawa , but ivo imekaa ni kama tangazo liwafikie mamba na sio binadamu[emoji28]Tangazo linasomeka hivi- MAMBA: SI RUHUSA KUOGELEA HAPA. Si kwamba mamba hawaruhusiwi kuogelea hapa. Watu ndio hawaruhusiwi kuogelea hapa
Jamaa kaongea kwa codeWahusika wametoa onyo Kwa mamba wenye tabia za kuogelea ovyo wajitathmini upya.
Umesema sahihi Mkuu, hao watoto wa 2000 Kwa umri wangu watakuwa ni sawa na Wajukuu tu 🤗Hapana mkuu hii ni kwa wazee na wa hovyo..
Mi siamini kama wewe unaweza kusumbuana na vitoto vya 2k mkuu
Ila unawatetea sana hawa wazee wenzako mkuu ahahaha achana nao kabisaUmesema sahihi Mkuu, hao watoto wa 2000 Kwa umri wangu watakuwa ni sawa na Wajukuu tu 🤗