DINHO
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 880
- 1,750
JWANENG GALAXY alitoka CCM KIRUMBA??minachojua kwa Mkapa atoki mtu balaa lipo mechi ya marudiano,mashaka yangu ni kule South mechi ya marudiano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JWANENG GALAXY alitoka CCM KIRUMBA??minachojua kwa Mkapa atoki mtu balaa lipo mechi ya marudiano,mashaka yangu ni kule South mechi ya marudiano.
Hapo kwenye udhaifu wa Orlando Pirates tukumbuke ligi yao ni bora zaidi ya ligi yetu.Orlando Pyrates kwa sasa ni timu ya kawaida sana, sio kwenye shirikisho tu hata kwenye ligi yao, hivyo Simba na mashabiki msiwe na wasiwasi wote zaidi ya kuwa makini na nidhamu.
Tatizo liko hapa zaidi.
1. Uwepo wa VAR kwa Mkapa (hii sio habari njema sana kwa Simba)
2. Hatari ya Simba kuruhusu goli (hili ni jambo linaloweza kutokea kwa kuwa Simba itaingia uwanjani kwa msukumo wa kusaka magoli tu na kujisahau kuzuia)
3. Hatari ya Simba kupata magoli machache (Ni wazi Orlando watakuja na msukumo wa kuzuia tu)
Binafsi nadhani huenda mechi itakwisha kwa Simba kuvuna goli mbili kwa bila.
Hii game inapresha kubwa saana,binafsi nawahofia pirates
Fact hii mkuuGame ipo hapa, kule naishauri Simba iwaite makocha wakongwe wazawa kushauri game za away hasa Kibaden. Kikosi kikipangwa vizuri na game plan nzuri hata kule hawatoki. Mfano game za away sioni umuhimu wa Kapombe na Tshabalala.
Ni kupanga solid back 3 ya Wawa, Inonga na Onyango. Alafu Viungo 5 Kennedy ,Lwanga, Kanoute, Mzamiru, na Erasto ( Mzamiru na Kanoute kusaidia counter attack). Mbele weka Mugalu na Sakho. Hapo hatufungwi goli zaidi ya 2
Tatizo njia ina mibaTusipofika final msimu huu sijui tutafika msimu gani.
Nimeambiwa ile ilikuwa planned.JWANENG GALAXY alitoka CCM KIRUMBA??
Alisikika mchunga ng'ombe wa mayele akibwabwajaSimba hii ya Bocco, Kagere, Mugallu etc haiwezi kumfunga OP kwa Mkapa wala kule SA. Ninachoona ni Simba 0 -3 OP leo, na OP 5 - 0 Simba, Jpili ijayo
Aamin na Dua zako zikawe kweliDua zangu simba wafungwe 2 kwa 0
Hapo namba 2 angecheza Mwenda, G Michael akacheza 3,Kapombe na Shambalala wakacheza kama mawinga wa uwongo, Wawa akacheza kama 6 wa uwongo na Engeneer kama 8 wa uwongo, Onyango na Inonga kama kawaida, Mgalu Sakho mbele sawa. Hapo hata moja hawapatiGame ipo hapa, kule naishauri Simba iwaite makocha wakongwe wazawa kushauri game za away hasa Kibaden. Kikosi kikipangwa vizuri na game plan nzuri hata kule hawatoki. Mfano game za away sioni umuhimu wa Kapombe na Tshabalala.
Ni kupanga solid back 3 ya Wawa, Inonga na Onyango. Alafu Viungo 5 Kennedy ,Lwanga, Kanoute, Mzamiru, na Erasto ( Mzamiru na Kanoute kusaidia counter attack). Mbele weka Mugalu na Sakho. Hapo hatufungwi goli zaidi ya 2
Great planHapo namba 2 angecheza Mwenda, G Michael akacheza 3,Kapombe na Shambalala wakacheza kama mawinga wa uwongo, Wawa akacheza kama 6 wa uwongo na Engeneer kama 8 wa uwongo, Onyango na Inonga kama kawaida, Mgalu Sakho mbele sawa. Hapo hata moja hawapati