Mambo 10 kuhusu mkeo yazingatie

Mambo 10 kuhusu mkeo yazingatie

Omopa

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
335
Reaction score
1,466
MAMBO 10 KUHUSU MKEO YAZINGATIE..

1. Mkeo sio mkamilifu, msamehe.

2. Mkeo ndio uti wako wa mgongo, usiuvunje.

3. Mkeo ni tunu, mthamini.

4. Mkeo ni kito adimu, mtunze.

5. Mkeo ni rafiki yako bora, muweke karibu yako.

6. Mkeo ni furaha yako, mnawirishe.

7. Mkeo anatakiwa kuwa bora kabisa, mchangamkie.

8. Mkeo ni pande la mwili wako, mstawishe.

9. Mkeo sio ibilisi, usimpige teke.

10. Mkeo sio mzuri tu kitandani, mshirikishe katika kila jambo lenye maslahi yako na hata yake.

Yafanye hayo iwapo mkeo / mwenza wako atakuwa na haya mambo 10.

1.Anamuabudu Mungu ( Kufanya ibada )

2. Anakupenda

3.Anakuheshimu

4.Akuthamini / Anakuhisani

5.Akujali

6.Akuchangamkie / Akupambanie

7.Msikivu

8.Kauli yako kwake ni amri kwa hiyari na upendo

9.Awe na upendo na kuwaheshimu NDUGU zako kwa namna yeyote.

10.Hakutukani matusi madogo wala makubwa ni awe ni mwenye kufurahia uwepo wako ( Hatamani ukasirike kwa namna yeyote ).

Jumapili njema.
 
MAMBO 10 KUHUSU MKEO YAZINGATIE..

1. Mkeo sio mkamilifu, msamehe.

2. Mkeo ndio uti wako wa mgongo, usiuvunje.

3. Mkeo ni tunu, mthamini.

4. Mkeo ni kito adimu, mtunze.

5. Mkeo ni rafiki yako bora, muweke karibu yako.

6. Mkeo ni furaha yako, mnawirishe.

7. Mkeo anatakiwa kuwa bora kabisa, mchangamkie.

8. Mkeo ni pande la mwili wako, mstawishe.

9. Mkeo sio ibilisi, usimpige teke.

10. Mkeo sio mzuri tu kitandani, mshirikishe katika kila jambo lenye maslahi yako na hata yake.

YAFANYE HAYO IWAPO MKEO / MWENZA WAKO ATAKUWA NA HAYA MAMBO 10.

1.Anamuabudu Mungu ( Kufanya ibada )
2. Anakupenda
3.Anakuheshimu
4.Akuthamini / Anakuhisani
5.Akujali
6.Akuchangamkie / Akupambanie
7.Msikivu
8.Kauli yako kwake ni amri kwa hiyari na upendo
9.Awe na upendo na kuwaheshimu NDUGU zako kwa namna yeyote.
10.Hakutukani matusi madogo wala makubwa ni awe ni mwenye kufurahia uwepo wako ( Hatamani ukasirike kwa namna yeyote ).

Jumapili njema.
Tafuta hela mengine ni mbwembwe tu.
 
Screenshot_20241224-134119~2.jpg
 
MAMBO 10 KUHUSU MKEO YAZINGATIE..

1. Mkeo sio mkamilifu, msamehe.

2. Mkeo ndio uti wako wa mgongo, usiuvunje.

3. Mkeo ni tunu, mthamini.

4. Mkeo ni kito adimu, mtunze.

5. Mkeo ni rafiki yako bora, muweke karibu yako.

6. Mkeo ni furaha yako, mnawirishe.

7. Mkeo anatakiwa kuwa bora kabisa, mchangamkie.

8. Mkeo ni pande la mwili wako, mstawishe.

9. Mkeo sio ibilisi, usimpige teke.

10. Mkeo sio mzuri tu kitandani, mshirikishe katika kila jambo lenye maslahi yako na hata yake.

Yafanye hayo iwapo mkeo / mwenza wako atakuwa na haya mambo 10.

1.Anamuabudu Mungu ( Kufanya ibada )

2. Anakupenda

3.Anakuheshimu

4.Akuthamini / Anakuhisani

5.Akujali

6.Akuchangamkie / Akupambanie

7.Msikivu

8.Kauli yako kwake ni amri kwa hiyari na upendo

9.Awe na upendo na kuwaheshimu NDUGU zako kwa namna yeyote.

10.Hakutukani matusi madogo wala makubwa ni awe ni mwenye kufurahia uwepo wako ( Hatamani ukasirike kwa namna yeyote ).

Jumapili njema.
Sawa mkuu
 
Haya yanawezekana:
1. Ukiwa na ukwasi wa kutosha kuhudumia familia bila tatizo.
2. Ukiwa na mamlaka kama mwanaume rijali.
3. Ukimuweka vizuri, muweke haswa ili asiwe na genye za kijinga.
4. Hakikisha tu pesa ipo....

Short of that wanawake are less appreciative, fanya yote hayo ila ukikosea padogo tu yote yanafutwa.
 
MAMBO 10 KUHUSU MKEO YAZINGATIE..

1. Mkeo sio mkamilifu, msamehe.

2. Mkeo ndio uti wako wa mgongo, usiuvunje.

3. Mkeo ni tunu, mthamini.

4. Mkeo ni kito adimu, mtunze.

5. Mkeo ni rafiki yako bora, muweke karibu yako.

6. Mkeo ni furaha yako, mnawirishe.

7. Mkeo anatakiwa kuwa bora kabisa, mchangamkie.

8. Mkeo ni pande la mwili wako, mstawishe.

9. Mkeo sio ibilisi, usimpige teke.

10. Mkeo sio mzuri tu kitandani, mshirikishe katika kila jambo lenye maslahi yako na hata yake.

Yafanye hayo iwapo mkeo / mwenza wako atakuwa na haya mambo 10.

1.Anamuabudu Mungu ( Kufanya ibada )

2. Anakupenda

3.Anakuheshimu

4.Akuthamini / Anakuhisani

5.Akujali

6.Akuchangamkie / Akupambanie

7.Msikivu

8.Kauli yako kwake ni amri kwa hiyari na upendo

9.Awe na upendo na kuwaheshimu NDUGU zako kwa namna yeyote.

10.Hakutukani matusi madogo wala makubwa ni awe ni mwenye kufurahia uwepo wako ( Hatamani ukasirike kwa namna yeyote ).

Jumapili njema.
Siyo chat za FB kweli hizi?

Yaani ni kulishwa na kusokomezwa tu maneno bila ya ufafanuzi wa kila hoja!

Hii inakuwa sawa na kuwatupia mbwa marapu rapu ya Vingunguti wayafakamie.
 
K
MAMBO 10 KUHUSU MKEO YAZINGATIE..

1. Mkeo sio mkamilifu, msamehe.

2. Mkeo ndio uti wako wa mgongo, usiuvunje.

3. Mkeo ni tunu, mthamini.

4. Mkeo ni kito adimu, mtunze.

5. Mkeo ni rafiki yako bora, muweke karibu yako.

6. Mkeo ni furaha yako, mnawirishe.

7. Mkeo anatakiwa kuwa bora kabisa, mchangamkie.

8. Mkeo ni pande la mwili wako, mstawishe.

9. Mkeo sio ibilisi, usimpige teke.

10. Mkeo sio mzuri tu kitandani, mshirikishe katika kila jambo lenye maslahi yako na hata yake.

Yafanye hayo iwapo mkeo / mwenza wako atakuwa na haya mambo 10.

1.Anamuabudu Mungu ( Kufanya ibada )

2. Anakupenda

3.Anakuheshimu

4.Akuthamini / Anakuhisani

5.Akujali

6.Akuchangamkie / Akupambanie

7.Msikivu

8.Kauli yako kwake ni amri kwa hiyari na upendo

9.Awe na upendo na kuwaheshimu NDUGU zako kwa namna yeyote.

10.Hakutukani matusi madogo wala makubwa ni awe ni mwenye kufurahia uwepo wako ( Hatamani ukasirike kwa namna yeyote ).

Jumapili njema.
Kama huna hela anakuona tàkataka tuu.
 
MAMBO 10 KUHUSU MKEO YAZINGATIE..

1. Mkeo sio mkamilifu, msamehe.

2. Mkeo ndio uti wako wa mgongo, usiuvunje.

3. Mkeo ni tunu, mthamini.

4. Mkeo ni kito adimu, mtunze.

5. Mkeo ni rafiki yako bora, muweke karibu yako.

6. Mkeo ni furaha yako, mnawirishe.

7. Mkeo anatakiwa kuwa bora kabisa, mchangamkie.

8. Mkeo ni pande la mwili wako, mstawishe.

9. Mkeo sio ibilisi, usimpige teke.

10. Mkeo sio mzuri tu kitandani, mshirikishe katika kila jambo lenye maslahi yako na hata yake.

Yafanye hayo iwapo mkeo / mwenza wako atakuwa na haya mambo 10.

1.Anamuabudu Mungu ( Kufanya ibada )

2. Anakupenda

3.Anakuheshimu

4.Akuthamini / Anakuhisani

5.Akujali

6.Akuchangamkie / Akupambanie

7.Msikivu

8.Kauli yako kwake ni amri kwa hiyari na upendo

9.Awe na upendo na kuwaheshimu NDUGU zako kwa namna yeyote.

10.Hakutukani matusi madogo wala makubwa ni awe ni mwenye kufurahia uwepo wako ( Hatamani ukasirike kwa namna yeyote ).

Jumapili njema.
nakuunga mkono mia kwa mia
 
Mke ni kampan nzuri sana akikupenda, akawa na hofu ya MUNGU na mkawa marafiki ila msiwe na changamoto kubwa za kiuchumi. Aliyeleta ndoa duniani abarikiwe sana.

Mchawi fedha na tamaa ndo zinaharibu mambo.

Mfano fedha inakula kotekote usipokuwa nayo na ukiwa nayo.

Either akukubali sababu ya fedha zako au akutese sababu ya umasikini wako, ila kinyume na hapo ni burudani.
 
Back
Top Bottom