Simba day ni propaganda kupoteza lengo kuwa wanachama na wapenzi wa simba wame tapeliwa na kunyanganywa timu yao na mhindi na genge lake la walio harakisha deal hio baada kuwahonga.
Anacheza na akili za wapenzi wa soka .
Hili sio wengi wana uwezo wa kilifikiria.
Ni sawa na ile show ya mitama ya ccm uwanja wa uhuru.
Kwangu simba ni tapeli ametuibia club yetu kwa manufaa ya biashara zake
Sent using
Jamii Forums mobile app