Mambo 10 nilioyaona kwenye Simba Day

Usitoke jasho la kwapa nafasi bdo zipo za kuwa na hisa ndani ya club.Muhindi ama 49 na club ina 51.club inao uwezo wa kukuuzia hisa na ww ili mlete ushindani ktk club.Sisi tinahitaji maendeleo ya Club na heshima ktk soka la Africa na dunia kwa ujumla.kazi kwako kama kidume kachukue hisa na ww sio kubwabwaja tu
 
[emoji23][emoji23] hapo hakuna timu hata ya kubeba ligi kuu msimu huu, sembuse hilo kombe la cuf, au unafikiri kule kuna kina vital o
Yaani nyani hajawahi kuwa na akili kabsa, HILO KOMBE LA CUF ndio lipi?? Lipumba ana kombe siku hiz?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…