Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Mikia bhana sasa mmeamua kujifariji.na hao wakongo waliojichokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usitoke jasho la kwapa nafasi bdo zipo za kuwa na hisa ndani ya club.Muhindi ama 49 na club ina 51.club inao uwezo wa kukuuzia hisa na ww ili mlete ushindani ktk club.Sisi tinahitaji maendeleo ya Club na heshima ktk soka la Africa na dunia kwa ujumla.kazi kwako kama kidume kachukue hisa na ww sio kubwabwaja tuSimba day ni propaganda kupoteza lengo kuwa wanachama na wapenzi wa simba wame tapeliwa na kunyanganywa timu yao na mhindi na genge lake la walio harakisha deal hio baada kuwahonga.
Anacheza na akili za wapenzi wa soka .
Hili sio wengi wana uwezo wa kilifikiria.
Ni sawa na ile show ya mitama ya ccm uwanja wa uhuru.
Kwangu simba ni tapeli ametuibia club yetu kwa manufaa ya biashara zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani nyani hajawahi kuwa na akili kabsa, HILO KOMBE LA CUF ndio lipi?? Lipumba ana kombe siku hiz?[emoji23][emoji23] hapo hakuna timu hata ya kubeba ligi kuu msimu huu, sembuse hilo kombe la cuf, au unafikiri kule kuna kina vital o