MENERIKI II
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 642
- 1,294
Nakazia.Umaskini wa fikra ndio huu. Nyuzi za hivi zinachafua akili,najilaumu kusoma huu upuuzi. Mtoa mada badili title andika "Mambo 10 ya kishirikina niliyoona jana" ili kuepusha kupotezea muda wenye akili timamu.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Cc : Aden Rage
Popoma kwenye ID nyingineViongozi wangu wa Simba, Naomba mnisikilize kwa umakini na muuzingatie ushauri wangu.
1. Mbinu zenu zote mlizokuwa mnazitumia kwa Mkapa kwa sasa zimeibwa na wenzenu waliofuzu jana, Zungu Pori ameuza silaha zenu zote.
2.Wenzenu wanapotaka kufanya jambo lao wanakufuru mara 100, hawana tena uoga na mungu, mfano believe me or not mechi ya jana ndumba zilikuwa za umafia kama ule waliotufanyia sisi wakatupiga mkono wa nyani, ninazo taarifa mijusi na mchanga wa kaburini vilisafirishwa kutoka nachingwea hadi dar es salaam kwa ajili ya kumaliza mechi ya jana.Na wazee waliotumwa hivyo vitu wameniambia live.
4.Yale malalamiko ya zungu pori kuwa kocha wa Stars alikuwa anawahujumu ilikuwa janja ya nyani tu na sisi wajanja tulishang'amua.
5.Tafuteni watu wenye roho mbaya kama wenzenu, wanaojua kumchukiza mungu, watu wanakufuru hadi wanamzimisha mwenzao ujue hawana masihara hao.
5.Msicheke na nyani sasa hiv, wenzenu ni wakatili sana, hawana uwezo dimbani isipokuwa wanafanya makafara ya hatari ambayo nyie ndio mlikuwa waanzilishi na sasa wanatamba nazo mbinu zenu.
Mambo yenu yote kiukweli wameyachukua wao, kwa mkapa ss hv ni kwao na sio kwenu tena.
Msipobadilika watachukua ubingwa mara 10 mfululizo na jini lao wanalolitumia na kuligharamia pale nyumbani kwa zungu pori.
Nilikuambiaje jamaa ni mijinga jinga...tazama nyuzi zao...za ki mbumbumbu tuDaaah ila kuna Mda Unacheka unasema UTANI HUU UENDELEE. Tu
Yani Simba wanavyo haha saiv kama Ex akuache halaf ategemew utamulilia ila we unakausha halaf unaenda kuopoa PISI kaliii halaf yeye upande wa Pili apigwe na kitu kizito mhuni aliekua anamtegea awe hamjali😂😂😂
Upo sahihi kabisaUmaskini wa fikra ndio huu. Nyuzi za hivi zinachafua akili,najilaumu kusoma huu upuuzi. Mtoa mada badili title andika "Mambo 10 ya kishirikina niliyoona jana" ili kuepusha kupotezea muda wenye akili timamu.
Akili za mbumbumbu hiziViongozi wangu wa Simba, Naomba mnisikilize kwa umakini na muuzingatie ushauri wangu.
1. Mbinu zenu zote mlizokuwa mnazitumia kwa Mkapa kwa sasa zimeibwa na wenzenu waliofuzu jana, Zungu Pori ameuza silaha zenu zote.
2.Wenzenu wanapotaka kufanya jambo lao wanakufuru mara 100, hawana tena uoga na mungu, mfano believe me or not mechi ya jana ndumba zilikuwa za umafia kama ule waliotufanyia sisi wakatupiga mkono wa nyani, ninazo taarifa mijusi na mchanga wa kaburini vilisafirishwa kutoka nachingwea hadi dar es salaam kwa ajili ya kumaliza mechi ya jana.Na wazee waliotumwa hivyo vitu wameniambia live.
4.Yale malalamiko ya zungu pori kuwa kocha wa Stars alikuwa anawahujumu ilikuwa janja ya nyani tu na sisi wajanja tulishang'amua.
5.Tafuteni watu wenye roho mbaya kama wenzenu, wanaojua kumchukiza mungu, watu wanakufuru hadi wanamzimisha mwenzao ujue hawana masihara hao.
5.Msicheke na nyani sasa hiv, wenzenu ni wakatili sana, hawana uwezo dimbani isipokuwa wanafanya makafara ya hatari ambayo nyie ndio mlikuwa waanzilishi na sasa wanatamba nazo mbinu zenu.
Mambo yenu yote kiukweli wameyachukua wao, kwa mkapa ss hv ni kwao na sio kwenu tena.
Msipobadilika watachukua ubingwa mara 10 mfululizo na jini lao wanalolitumia na kuligharamia pale nyumbani kwa zungu pori.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mchawi anaeshinda makaburini utamjua tu.
Kwa YANGA mtabadirisha kila aina ya tred,mtabadirisha kila aina ya misemo, mtabadirisha kila aina ya mikao,mtaendelea kugongwa tu. Mtateseka sana.
Popoma huwa hana akili kabisa [emoji23]Kwa aina ya maneno yaliyotamkwa humu, leo nimethibitisha kuwa huyu ni popoma mkuu akiwa katika ID nyingine
Wamechanganyikiwa wasamehe bure...anasema mambo 10 anaandika 5 tena kwa kuruka ruka...kaanza 1, 2, 4, 5, 5[emoji1787][emoji1787]Mbona umeandika matano mzee,malizia hayo mengine au tukuingilie[emoji848]
itaendelea au!!!Viongozi wangu wa Simba, Naomba mnisikilize kwa umakini na muuzingatie ushauri wangu.
1. Mbinu zenu zote mlizokuwa mnazitumia kwa Mkapa kwa sasa zimeibwa na wenzenu waliofuzu jana, Zungu Pori ameuza silaha zenu zote.
2.Wenzenu wanapotaka kufanya jambo lao wanakufuru mara 100, hawana tena uoga na mungu, mfano believe me or not mechi ya jana ndumba zilikuwa za umafia kama ule waliotufanyia sisi wakatupiga mkono wa nyani, ninazo taarifa mijusi na mchanga wa kaburini vilisafirishwa kutoka nachingwea hadi dar es salaam kwa ajili ya kumaliza mechi ya jana.Na wazee waliotumwa hivyo vitu wameniambia live.
4.Yale malalamiko ya zungu pori kuwa kocha wa Stars alikuwa anawahujumu ilikuwa janja ya nyani tu na sisi wajanja tulishang'amua.
5.Tafuteni watu wenye roho mbaya kama wenzenu, wanaojua kumchukiza mungu, watu wanakufuru hadi wanamzimisha mwenzao ujue hawana masihara hao.
5.Msicheke na nyani sasa hiv, wenzenu ni wakatili sana, hawana uwezo dimbani isipokuwa wanafanya makafara ya hatari ambayo nyie ndio mlikuwa waanzilishi na sasa wanatamba nazo mbinu zenu.
Mambo yenu yote kiukweli wameyachukua wao, kwa mkapa ss hv ni kwao na sio kwenu tena.
Msipobadilika watachukua ubingwa mara 10 mfululizo na jini lao wanalolitumia na kuligharamia pale nyumbani kwa zungu pori.
[emoji23][emoji23][emoji23]Namna simba inayoupa kipaumbele uchawi inaonyesha ni kiasi gani ndio mbinu yenuUkiona Manara kaenda kunyoa nywele, ujue ndio basi, zinatumika sana katika kuchanganyia madawa, hata pale simba walizitumia sana.
Umbumbu kwa simba unaendelea na utaendelea hadi vizaza na vizazi vya simbaNilikuambiaje jamaa ni mijinga jinga...tazama nyuzi zao...za ki mbumbumbu tu
Haitoisha hiyoUmbumbu kwa simba unaendelea na utaendelea hadi vizaza na vizazi vya simba