Mambo 10 niliyoyaona jana CRB na Utopolo

Mambo 10 niliyoyaona jana CRB na Utopolo

Dar hakuna mijusi wala Makabuli mpaka itoke Konde boy?
Ingekua mpira unaendana na unachosema,timu zetu zisingepata tabu kutafuta wachezaji wenye viwango vikubwa
 
akuna kitu kama icho,Hersi tu anazurula huko Duniani kutafuta mali anatoa hela anazileta kwenye timu na zinaleta faida.
 
Umaskini wa fikra ndio huu. Nyuzi za hivi zinachafua akili,najilaumu kusoma huu upuuzi. Mtoa mada badili title andika "Mambo 10 ya kishirikina niliyoona jana" ili kuepusha kupotezea muda wenye akili timamu.
Nakazia.
 
Viongozi wangu wa Simba, Naomba mnisikilize kwa umakini na muuzingatie ushauri wangu.

1. Mbinu zenu zote mlizokuwa mnazitumia kwa Mkapa kwa sasa zimeibwa na wenzenu waliofuzu jana, Zungu Pori ameuza silaha zenu zote.

2.Wenzenu wanapotaka kufanya jambo lao wanakufuru mara 100, hawana tena uoga na mungu, mfano believe me or not mechi ya jana ndumba zilikuwa za umafia kama ule waliotufanyia sisi wakatupiga mkono wa nyani, ninazo taarifa mijusi na mchanga wa kaburini vilisafirishwa kutoka nachingwea hadi dar es salaam kwa ajili ya kumaliza mechi ya jana.Na wazee waliotumwa hivyo vitu wameniambia live.

4.Yale malalamiko ya zungu pori kuwa kocha wa Stars alikuwa anawahujumu ilikuwa janja ya nyani tu na sisi wajanja tulishang'amua.

5.Tafuteni watu wenye roho mbaya kama wenzenu, wanaojua kumchukiza mungu, watu wanakufuru hadi wanamzimisha mwenzao ujue hawana masihara hao.

5.Msicheke na nyani sasa hiv, wenzenu ni wakatili sana, hawana uwezo dimbani isipokuwa wanafanya makafara ya hatari ambayo nyie ndio mlikuwa waanzilishi na sasa wanatamba nazo mbinu zenu.

Mambo yenu yote kiukweli wameyachukua wao, kwa mkapa ss hv ni kwao na sio kwenu tena.

Msipobadilika watachukua ubingwa mara 10 mfululizo na jini lao wanalolitumia na kuligharamia pale nyumbani kwa zungu pori.
Popoma kwenye ID nyingine

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Daaah ila kuna Mda Unacheka unasema UTANI HUU UENDELEE. Tu

Yani Simba wanavyo haha saiv kama Ex akuache halaf ategemew utamulilia ila we unakausha halaf unaenda kuopoa PISI kaliii halaf yeye upande wa Pili apigwe na kitu kizito mhuni aliekua anamtegea awe hamjali😂😂😂
Nilikuambiaje jamaa ni mijinga jinga...tazama nyuzi zao...za ki mbumbumbu tu
 
Umaskini wa fikra ndio huu. Nyuzi za hivi zinachafua akili,najilaumu kusoma huu upuuzi. Mtoa mada badili title andika "Mambo 10 ya kishirikina niliyoona jana" ili kuepusha kupotezea muda wenye akili timamu.
Upo sahihi kabisa
 
Viongozi wangu wa Simba, Naomba mnisikilize kwa umakini na muuzingatie ushauri wangu.

1. Mbinu zenu zote mlizokuwa mnazitumia kwa Mkapa kwa sasa zimeibwa na wenzenu waliofuzu jana, Zungu Pori ameuza silaha zenu zote.

2.Wenzenu wanapotaka kufanya jambo lao wanakufuru mara 100, hawana tena uoga na mungu, mfano believe me or not mechi ya jana ndumba zilikuwa za umafia kama ule waliotufanyia sisi wakatupiga mkono wa nyani, ninazo taarifa mijusi na mchanga wa kaburini vilisafirishwa kutoka nachingwea hadi dar es salaam kwa ajili ya kumaliza mechi ya jana.Na wazee waliotumwa hivyo vitu wameniambia live.

4.Yale malalamiko ya zungu pori kuwa kocha wa Stars alikuwa anawahujumu ilikuwa janja ya nyani tu na sisi wajanja tulishang'amua.

5.Tafuteni watu wenye roho mbaya kama wenzenu, wanaojua kumchukiza mungu, watu wanakufuru hadi wanamzimisha mwenzao ujue hawana masihara hao.

5.Msicheke na nyani sasa hiv, wenzenu ni wakatili sana, hawana uwezo dimbani isipokuwa wanafanya makafara ya hatari ambayo nyie ndio mlikuwa waanzilishi na sasa wanatamba nazo mbinu zenu.

Mambo yenu yote kiukweli wameyachukua wao, kwa mkapa ss hv ni kwao na sio kwenu tena.

Msipobadilika watachukua ubingwa mara 10 mfululizo na jini lao wanalolitumia na kuligharamia pale nyumbani kwa zungu pori.
Akili za mbumbumbu hizi
 
Umesema Mambo 10. Hapa umeandika mangapi? Akili haiko sawa bado 5G mnara umesimama
 
Huyu alikomwe atakufa mapema maana mijini anayobebeshwa ni mizito mpaka anazimia
 
Viongozi wangu wa Simba, Naomba mnisikilize kwa umakini na muuzingatie ushauri wangu.

1. Mbinu zenu zote mlizokuwa mnazitumia kwa Mkapa kwa sasa zimeibwa na wenzenu waliofuzu jana, Zungu Pori ameuza silaha zenu zote.

2.Wenzenu wanapotaka kufanya jambo lao wanakufuru mara 100, hawana tena uoga na mungu, mfano believe me or not mechi ya jana ndumba zilikuwa za umafia kama ule waliotufanyia sisi wakatupiga mkono wa nyani, ninazo taarifa mijusi na mchanga wa kaburini vilisafirishwa kutoka nachingwea hadi dar es salaam kwa ajili ya kumaliza mechi ya jana.Na wazee waliotumwa hivyo vitu wameniambia live.

4.Yale malalamiko ya zungu pori kuwa kocha wa Stars alikuwa anawahujumu ilikuwa janja ya nyani tu na sisi wajanja tulishang'amua.

5.Tafuteni watu wenye roho mbaya kama wenzenu, wanaojua kumchukiza mungu, watu wanakufuru hadi wanamzimisha mwenzao ujue hawana masihara hao.

5.Msicheke na nyani sasa hiv, wenzenu ni wakatili sana, hawana uwezo dimbani isipokuwa wanafanya makafara ya hatari ambayo nyie ndio mlikuwa waanzilishi na sasa wanatamba nazo mbinu zenu.

Mambo yenu yote kiukweli wameyachukua wao, kwa mkapa ss hv ni kwao na sio kwenu tena.

Msipobadilika watachukua ubingwa mara 10 mfululizo na jini lao wanalolitumia na kuligharamia pale nyumbani kwa zungu pori.
itaendelea au!!!
mambo 0 kwenu ni matano?
 
Ukiona Manara kaenda kunyoa nywele, ujue ndio basi, zinatumika sana katika kuchanganyia madawa, hata pale simba walizitumia sana.
[emoji23][emoji23][emoji23]Namna simba inayoupa kipaumbele uchawi inaonyesha ni kiasi gani ndio mbinu yenu
 
Back
Top Bottom