Mambo 10 niliyoyaona jana CRB na Utopolo

Mambo 10 niliyoyaona jana CRB na Utopolo

5.Msicheke na nyani sasa hiv, wenzenu ni wakatili sana, hawana uwezo dimbani isipokuwa wanafanya makafara ya hatari ambayo nyie ndio mlikuwa waanzilishi na sasa wanatamba nazo mbinu zenu.

Kuna vitu mkiwa mnaandika muwe mnavisoma kwanza...

Kwamba wachezaji wa Yanga hawana uwezo dimbani???

Umetazama ile mechi au umesimuliwa?
 
Viongozi wangu wa Simba, Naomba mnisikilize kwa umakini na muuzingatie ushauri wangu.

1. Mbinu zenu zote mlizokuwa mnazitumia kwa Mkapa kwa sasa zimeibwa na wenzenu waliofuzu jana, Zungu Pori ameuza silaha zenu zote.

2.Wenzenu wanapotaka kufanya jambo lao wanakufuru mara 100, hawana tena uoga na mungu, mfano believe me or not mechi ya jana ndumba zilikuwa za umafia kama ule waliotufanyia sisi wakatupiga mkono wa nyani, ninazo taarifa mijusi na mchanga wa kaburini vilisafirishwa kutoka nachingwea hadi dar es salaam kwa ajili ya kumaliza mechi ya jana.Na wazee waliotumwa hivyo vitu wameniambia live.

4.Yale malalamiko ya zungu pori kuwa kocha wa Stars alikuwa anawahujumu ilikuwa janja ya nyani tu na sisi wajanja tulishang'amua.

5.Tafuteni watu wenye roho mbaya kama wenzenu, wanaojua kumchukiza mungu, watu wanakufuru hadi wanamzimisha mwenzao ujue hawana masihara hao.

5.Msicheke na nyani sasa hiv, wenzenu ni wakatili sana, hawana uwezo dimbani isipokuwa wanafanya makafara ya hatari ambayo nyie ndio mlikuwa waanzilishi na sasa wanatamba nazo mbinu zenu.

Mambo yenu yote kiukweli wameyachukua wao, kwa mkapa ss hv ni kwao na sio kwenu tena.

Msipobadilika watachukua ubingwa mara 10 mfululizo na jini lao wanalolitumia na kuligharamia pale nyumbani kwa zungu pori.
Haya mambo ya kuroga sijui majini embu acheni.
Investment katika mpira ndio kila kitu.
Hata mechi ya kwanza na CRB mpaka Yanga akafungwa ile mechi kila mtu alisema Yanga alistahili kushinda maana alimzidi CRB kila idara kiuchezaji isipokua Metacha alizingua na golini Yanga hawakuwa Clinical.
ACHENI KULIALIA FANYENI INVESTMENT MAKOLO.
 
Uchawi Wetu Ni KuwaNa Wachezaji Wenye Quality Ya Juu Ambao Ni Pacome, Aziz Ki, Max , Aucho, Bacca, Diara & Lomalisa


Uchawi Wenu Ni Kuwa Na Wachezaji Umri Umekwenda Saidoo, Freddy, Kapombe, Manula, Mzamiri, Kibu.


Hapo Tukitafuta Mchawi Ni Nani Bado Unaona Dar Young Africans Mabingwa Wana Majini Kumbe Umbumbumbu Umetawala Kichwani Na Kuamini Ushirikina Instead Of Uwekezaji
 
Wazoefu wa kufuzu na kutoa burudani Simba wanawakaribisha tarehe 2 kwa mkapa mje mpate burudani.
 
Viongozi wangu wa Simba, Naomba mnisikilize kwa umakini na muuzingatie ushauri wangu.

1. Mbinu zenu zote mlizokuwa mnazitumia kwa Mkapa kwa sasa zimeibwa na wenzenu waliofuzu jana, Zungu Pori ameuza silaha zenu zote.

2.Wenzenu wanapotaka kufanya jambo lao wanakufuru mara 100, hawana tena uoga na mungu, mfano believe me or not mechi ya jana ndumba zilikuwa za umafia kama ule waliotufanyia sisi wakatupiga mkono wa nyani, ninazo taarifa mijusi na mchanga wa kaburini vilisafirishwa kutoka nachingwea hadi dar es salaam kwa ajili ya kumaliza mechi ya jana.Na wazee waliotumwa hivyo vitu wameniambia live.

4.Yale malalamiko ya zungu pori kuwa kocha wa Stars alikuwa anawahujumu ilikuwa janja ya nyani tu na sisi wajanja tulishang'amua.

5.Tafuteni watu wenye roho mbaya kama wenzenu, wanaojua kumchukiza mungu, watu wanakufuru hadi wanamzimisha mwenzao ujue hawana masihara hao.

5.Msicheke na nyani sasa hiv, wenzenu ni wakatili sana, hawana uwezo dimbani isipokuwa wanafanya makafara ya hatari ambayo nyie ndio mlikuwa waanzilishi na sasa wanatamba nazo mbinu zenu.

Mambo yenu yote kiukweli wameyachukua wao, kwa mkapa ss hv ni kwao na sio kwenu tena.

Msipobadilika watachukua ubingwa mara 10 mfululizo na jini lao wanalolitumia na kuligharamia pale nyumbani kwa zungu pori.
Mbumbumbu
 
Uliposema tu “hawana uwezo dimbani” nikajua tu hili bandiko ni la hovyo kabisa
 
Viongozi wangu wa Simba, Naomba mnisikilize kwa umakini na muuzingatie ushauri wangu.

1. Mbinu zenu zote mlizokuwa mnazitumia kwa Mkapa kwa sasa zimeibwa na wenzenu waliofuzu jana, Zungu Pori ameuza silaha zenu zote.

2.Wenzenu wanapotaka kufanya jambo lao wanakufuru mara 100, hawana tena uoga na mungu, mfano believe me or not mechi ya jana ndumba zilikuwa za umafia kama ule waliotufanyia sisi wakatupiga mkono wa nyani, ninazo taarifa mijusi na mchanga wa kaburini vilisafirishwa kutoka nachingwea hadi dar es salaam kwa ajili ya kumaliza mechi ya jana.Na wazee waliotumwa hivyo vitu wameniambia live.

4.Yale malalamiko ya zungu pori kuwa kocha wa Stars alikuwa anawahujumu ilikuwa janja ya nyani tu na sisi wajanja tulishang'amua.

5.Tafuteni watu wenye roho mbaya kama wenzenu, wanaojua kumchukiza mungu, watu wanakufuru hadi wanamzimisha mwenzao ujue hawana masihara hao.

5.Msicheke na nyani sasa hiv, wenzenu ni wakatili sana, hawana uwezo dimbani isipokuwa wanafanya makafara ya hatari ambayo nyie ndio mlikuwa waanzilishi na sasa wanatamba nazo mbinu zenu.

Mambo yenu yote kiukweli wameyachukua wao, kwa mkapa ss hv ni kwao na sio kwenu tena.

Msipobadilika watachukua ubingwa mara 10 mfululizo na jini lao wanalolitumia na kuligharamia pale nyumbani kwa zungu pori.
Kweli sisi simba ni mambumbumbu

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 
Wengine ambao tunaangalia mambo kwa undani na tunajua mambo mawili matatu kuhusu undani wa hizi timu, hili suala tulishaliongelea toka mwaka jana.
Kama uchawi unanafasi kubwa kwanini wanasajili wachezaji wa gharama?
 
Viongozi wangu wa Simba, Naomba mnisikilize kwa umakini na muuzingatie ushauri wangu.

1. Mbinu zenu zote mlizokuwa mnazitumia kwa Mkapa kwa sasa zimeibwa na wenzenu waliofuzu jana, Zungu Pori ameuza silaha zenu zote.

2.Wenzenu wanapotaka kufanya jambo lao wanakufuru mara 100, hawana tena uoga na mungu, mfano believe me or not mechi ya jana ndumba zilikuwa za umafia kama ule waliotufanyia sisi wakatupiga mkono wa nyani, ninazo taarifa mijusi na mchanga wa kaburini vilisafirishwa kutoka nachingwea hadi dar es salaam kwa ajili ya kumaliza mechi ya jana.Na wazee waliotumwa hivyo vitu wameniambia live.

4.Yale malalamiko ya zungu pori kuwa kocha wa Stars alikuwa anawahujumu ilikuwa janja ya nyani tu na sisi wajanja tulishang'amua.

5.Tafuteni watu wenye roho mbaya kama wenzenu, wanaojua kumchukiza mungu, watu wanakufuru hadi wanamzimisha mwenzao ujue hawana masihara hao.

5.Msicheke na nyani sasa hiv, wenzenu ni wakatili sana, hawana uwezo dimbani isipokuwa wanafanya makafara ya hatari ambayo nyie ndio mlikuwa waanzilishi na sasa wanatamba nazo mbinu zenu.

Mambo yenu yote kiukweli wameyachukua wao, kwa mkapa ss hv ni kwao na sio kwenu tena.

Msipobadilika watachukua ubingwa mara 10 mfululizo na jini lao wanalolitumia na kuligharamia pale nyumbani kwa zungu pori.
Nonsense!

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Viongozi wangu wa Simba, Naomba mnisikilize kwa umakini na muuzingatie ushauri wangu.

1. Mbinu zenu zote mlizokuwa mnazitumia kwa Mkapa kwa sasa zimeibwa na wenzenu waliofuzu jana, Zungu Pori ameuza silaha zenu zote.

2.Wenzenu wanapotaka kufanya jambo lao wanakufuru mara 100, hawana tena uoga na mungu, mfano believe me or not mechi ya jana ndumba zilikuwa za umafia kama ule waliotufanyia sisi wakatupiga mkono wa nyani, ninazo taarifa mijusi na mchanga wa kaburini vilisafirishwa kutoka nachingwea hadi dar es salaam kwa ajili ya kumaliza mechi ya jana.Na wazee waliotumwa hivyo vitu wameniambia live.

4.Yale malalamiko ya zungu pori kuwa kocha wa Stars alikuwa anawahujumu ilikuwa janja ya nyani tu na sisi wajanja tulishang'amua.

5.Tafuteni watu wenye roho mbaya kama wenzenu, wanaojua kumchukiza mungu, watu wanakufuru hadi wanamzimisha mwenzao ujue hawana masihara hao.

5.Msicheke na nyani sasa hiv, wenzenu ni wakatili sana, hawana uwezo dimbani isipokuwa wanafanya makafara ya hatari ambayo nyie ndio mlikuwa waanzilishi na sasa wanatamba nazo mbinu zenu.

Mambo yenu yote kiukweli wameyachukua wao, kwa mkapa ss hv ni kwao na sio kwenu tena.

Msipobadilika watachukua ubingwa mara 10 mfululizo na jini lao wanalolitumia na kuligharamia pale nyumbani kwa zungu pori.
Mleta post ana kitu huyu asipuuzwe
 
Back
Top Bottom