Mambo 10 niliyoyaona jana Yanga vs CRB ya Algeria

Mambo 10 niliyoyaona jana Yanga vs CRB ya Algeria

Yaani Simba utasema hufanya la maana klabu bingwa na kwamba yanga kishatoka
Yanga kishatoka Ngoja alahly naye aje ajipigie 🤣🤣🤣
Mshike mkia kwenye Kundi lenu hakafu ndo mtajua kwanini ni ngumu kufika Robo Fainali kwenye Club bingwa
 
Piga utopolooo hao, nataka kuwaona mkicheza na kina pesi tau🤣🤣
 
Kama Gamondi angekuwa na akili ya ziada angejifunza kitu kutoka kwa Waarabu jana, Pamoja na kuwa Belouizdad walikuwa kwao ila muda mwingi sana waliutumia Kupaki Basi,

Ila yanga wenyew walikuwa wanafunguka tu ovyo na Belouizdad wakawa wakipata mipira wanaikuta yanga imetawanyika na Gapes zipo nyingi sana hivyo wanaenda kupata magoli kiurahisi tu,

kilichowafanya jana Yanga kufungwa ni kutojua tu kuyacheza haya mashindano vingnevyo wangeshinda, haya mashindano inabid ujilinde zaid alaf ndo upange mipango ya kushinda hata kama ni kwa Goli moja,

otherwise ukitaka kupata matokeo ya Goli za haraka haraka na kwa Kufunguka kushambulia kila muda basi Yale ndo yanayokukuta,.... Naimani watajirekebisha na Kujifunza.
 
Uto tarehe 2 december watafukuza kocha.
Tangu 2019 Yanga SC "Wananchi" wamefukuzisha Makocha wa Mbumbumbu SC watano, endelea kusubiri meli Airport [emoji23]
JamiiForums1683832807.jpg
JamiiForums-751034406.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Nilichokiona ni kwamba timu moja ilikuwa na wavulana wa soka na nyingine ilikuwa na wanaume wa soka!! Wavulana wa soka hulenga kuonekana lakini wanaume wa soka hulenga kupata matokeo!! Kingine nilichokiona ni kuwa mechi ya jana imethibitisha kuwa ubora kwenye mashindano ya kombe la losers haufui dafu kwenye mashindano ya kombe la mabingwa!!
Wavulana hao hao wa soka walikutafuna bikra ya NBC PL 05/11/2023 goli 5-1 [emoji1787]

JamiiForums-31645776.jpg
JamiiForums-312072181.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Nilichokiona ni kwamba timu moja ilikuwa na wavulana wa soka na nyingine ilikuwa na wanaume wa soka!! Wavulana wa soka hulenga kuonekana lakini wanaume wa soka hulenga kupata matokeo!! Kingine nilichokiona ni kuwa mechi ya jana imethibitisha kuwa ubora kwenye mashindano ya kombe la losers haufui dafu kwenye mashindano ya kombe la mabingwa!!
2021/2022 na 2022/2023 Berkane SC & USM Alger Mabingwa wa super cup Africa walitoka kwenye Shirikisho na kuwatandika kisawasawa Mabingwa wa CL Africa.

Maumivu yako pale pale Kufa Kiume wewe [emoji38]
IMG-20231121-WA0017.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Nilichokiona ni kwamba timu moja ilikuwa na wavulana wa soka na nyingine ilikuwa na wanaume wa soka!! Wavulana wa soka hulenga kuonekana lakini wanaume wa soka hulenga kupata matokeo!! Kingine nilichokiona ni kuwa mechi ya jana imethibitisha kuwa ubora kwenye mashindano ya kombe la losers haufui dafu kwenye mashindano ya kombe la mabingwa!!
Mbona Bingwa wa Hilo kombe munaita looser alimfunga Bingwa wa CL.
Mpira ni mchezo wa makosa yoyote akifanya makosa anafungwa.
 
1. Yanga wamecheza mchezo mzuri sana lakini mpira ni matokeo

2.Ligi Kuu ya soka hapa bongo ilimpa kiburi Gamondi na kujiona kuwa anaweza kumvamia yeyote hapa duniani, hakujua kuwa ligi yetu ni kivyetu vyetu.

3.Huwezi kwenda kushiriki michuano mikubwa kama hii kwa ngazi ya afrika ukawa na mabeki aina ya Ibrahim Job na Ibrahim Bacca, au Mwamnyeto never on earth

4. Kwa kiwango cha jana cha Yanga kiukwel wakiendelea vile hapa Tanzania na afrika mashariki hakuna wa kuwazuia

5.Pacome na Mzengeli wabadilike, waache kuwa wachezaji machachari badala ya wacheza bora

6.Fowadi Yanga hakuna, Clement Mzize is too young to play against CRB

7.CRB watapata taabu sana mechi ya marudiano hapa nyumbani kwani they are not good to that extent

8.Mechi za ugenini hasa unapocheza na mwarabu kwao lazima uwe na adabu, otherwise yatakutokea kama ya jana.

9.Ligi ya mabingwa sio kama kombe la Loser, Gamondi japo ni mgeni atahadharishwe

10.Kipa Metacha Mnata sio kaliba ya Diarra, hajaacha mchezo wake wa kitoto wa kujifanya kaumia
Jipe moyo!
 
Nyie jiandaeni mwakani maana hao mliochezanao jana always hawaishii makundi na kama mgetaka kuzu hatua inayo fata jana mgelazimisha sale tu tofauti na hapo safari yenu imeishia hapo
Sawa Mungu
 
Kama Gamondi angekuwa na akili ya ziada angejifunza kitu kutoka kwa Waarabu jana, Pamoja na kuwa Belouizdad walikuwa kwao ila muda mwingi sana waliutumia Kupaki Basi,

Ila yanga wenyew walikuwa wanafunguka tu ovyo na Belouizdad wakawa wakipata mipira wanaikuta yanga imetawanyika na Gapes zipo nyingi sana hivyo wanaenda kupata magoli kiurahisi tu,

kilichowafanya jana Yanga kufungwa ni kutojua tu kuyacheza haya mashindano vingnevyo wangeshinda, haya mashindano inabid ujilinde zaid alaf ndo upange mipango ya kushinda hata kama ni kwa Goli moja,

otherwise ukitaka kupata matokeo ya Goli za haraka haraka na kwa Kufunguka kushambulia kila muda basi Yale ndo yanayokukuta,.... Naimani watajirekebisha na Kujifunza.
I second you 50%.
kupack bus sio solution ya kushinda mbona mamelod anashinda polite, mfumo wa yanga ni mzuri.

Wajue kutumia nafasi

Wajue na waunde mfumo mzuri wa kukaba mpira ukipotea

Striker yanga hakuna, konkon, msonda wapishe yanga.

Yanga kama inawezekana dirisha dogo amlete
1. Msuva
2. Striker mzuri wa kufaa km chivaviro au mwingine mzuri
3. Winger mmoja, moloko atupishe
4. Kiungo mmoja namba sita.

Lakini jana metacha kaonyesha kiwango chake ni Npl tu, diarra angeleta balance nzuri na huend akirud tutakuwa bora zaidi.
Kisha kocha anafanya rotation lakini bado ana uoga fulani....nabi jana si ajabu ungemuona kibwana na sureboy ndani lakini bado tuna nafasi.

Jana tumecheza mpira, na haipunguzi ubora wetu
 
Wapinzani wenu hawakuwa na wachezaji waliotoka timu ya taifa? Acha mzaha ndugu, mlizidiwa ubora. Achana na visingizio, wale si level yenu.
Wachezaji toka kwenye timu za Taifa walikuwa hoi kwa kukosa mapumziko ya kutosha.

Zengeli, Aziz Ki, Lomalisa hata Job hawakuwa kwenye ubora wao haswa.

Lini Mamelodi Sundowns walipaki basi ugenini?

Makolokolo SC fans pambaneni na mechi yenu ya leo kwanza maana Mwenzio akinyolewa tilia maji zako.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wanasimba punguzeni maneno jamani huwezi jua maana timu yenu mnacheza baadae mnaweza mkafa tatu kwenu huu mpira ujuee alafu yanga kashindwa game mojaa bado safari ndefuu
 
Kama Gamondi angekuwa na akili ya ziada angejifunza kitu kutoka kwa Waarabu jana, Pamoja na kuwa Belouizdad walikuwa kwao ila muda mwingi sana waliutumia Kupaki Basi,

Ila yanga wenyew walikuwa wanafunguka tu ovyo na Belouizdad wakawa wakipata mipira wanaikuta yanga imetawanyika na Gapes zipo nyingi sana hivyo wanaenda kupata magoli kiurahisi tu,

kilichowafanya jana Yanga kufungwa ni kutojua tu kuyacheza haya mashindano vingnevyo wangeshinda, haya mashindano inabid ujilinde zaid alaf ndo upange mipango ya kushinda hata kama ni kwa Goli moja,

otherwise ukitaka kupata matokeo ya Goli za haraka haraka na kwa Kufunguka kushambulia kila muda basi Yale ndo yanayokukuta,.... Naimani watajirekebisha na Kujifunza.
Wew ndo umeeleza uhalisia, wengi humu ni ushabiki tu

Pia kocha atambue beki nzuri ya Yanga ni Bacca na Mwamnyeto au Job na Mwamnyeto. Siyo Bacca na Job

Kwa golikipa akikosekana Diarra adake Mshery baas, huyu Metacha ni golikipa namba 3, hakuna kitu
 
Back
Top Bottom