rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Chasambi anacheza mpira wa kisasa akipata anatoa siyo wale wanaolazimisha kukaa na mpira mwisho wanapoteza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuangalia hii mechi ila mnazidi kunichanganya. Balua alicheza beki 3? Kuna sehemu nimeona mtu anasema Zimbwe alicheza middle?Balua anacheza vizuri namba 3
Yanga na Simba bila kubebwa hamna kitu1. Mechi ilikuwa nzuri kwa upande wetu na hasa binafsi nilifurahishwa sana na upangaji wa kikosi pale Fahdu alipomweka Awesu Awesu kucheza namba 10 na Augustine Okajepha kucheza kiungo wa juu yaani namba ila kocha alinikera mno alipomtoa Awesu Awesu wakati akiwa Bado anautaka mpira huku akipenyeza pasi za upendo kwa mtu habari kabisa Leonel Ateba Mbida
2.Kipa Camara ameanza kupoteza kujiamini Sasa kutokana na mabao aliyofungwa vs Coastal pamoja na Utopolo lakini ni Moja ya makipa Bora kabisa kuwahi kuchezea Simba.
3.Chamou Karaboue ni beki mzuri lakini mzito mno na kama akikutana na mawinga viberenge unaweza kumkuta anamdondosha ndani ya 18 watu tukaanza kulaumiana.Apewe programu maalum ya kupunguza uzito.
4.Kiungo Augustine Okajepha anaendeleza kunikufurahisha sana na Leo ameupiga mwingi sana eneo la juu ambapo mara nyingi tunamtegemea Fernandez.
5.Kibu Dennis kwa Sasa hapa nchini hakuna kiungo wa pembeni kama yeye kama unabisha endelea kubisha, mwanaume huyu anajua boli, kwanza ana nguvu, pili ana control, akikamata mpira kuuchukua lambda uje na greda.Yanga wanajua shughuli yake, alifunga goli refa akakataa, akaangushwa kwenye penati zaidi ya mara nne refa kwa sababu naye Yuko kwenye payroll ya GMS hakuna namna
6.Ladrack Shasambi ni winga mzuri sana kwangu pengine kushindwa hata Mutale na Balua, huyu dogo pamoja na kukaa benchi muda mrefu lakini Leo amewaendesha puta sana Prisons, huyu hapaswi kukaa benchi.
7.Kocha kama ana matatizo na Awesu Awesu aseme tumwelewe maana sikuona sababu ya kumtoa Awesu wakati tulikuwa tunaona kabisa akisambaza pasi za upendo kwa Leonel Ateba, uzuri wake Awesu ni tofauti na Ahoua, Awesu hana haja ya kufungua, akikamata anamwangalia Ateba, sio Ahoua Kila mda anautaka kufungua yeye.
8.Simba hii haimtegemei mchezaji mmoja, Leo hakuwepo Ahoua Wala Fernandez na moto tumeuwasha mwanzo mwisho.
Soma Pia: Full Time Tanzania Prisons 0 - 1 Simba SC | NBC Premierleague | Sokoine Mbeya | Oktoba 22, 2024
9.Siwezi kumaliza 10 Bora yangu Bila kumtaja Leonel Ateba, mwamba huyu Yuko vizuri mno, kama akipatikana Elie Mpanzu hakika Ateba Mbida atakuwa anaokota dodo kwenye mpera.Ateba ana control, ana nguvu lakini hana watu wa kumpenyezea matokeo yake anasaka mwenyewe mwanzo mwisho, Leo alipotolewa TU Prisons wakaanza kutushambulia.
10.Kocha wetu ana matatizo makubwa kwenye sub zake, Leo tumeshinda lakini huu mchezo wa kubadilisha wachezaji ambapo Bado wanaonekana Wana msaada na wanasumbua halafu unaingia akina Mukwala na Mutale kwenda kutuudhi uwanjani, siku yoyote tutamlilia kocha huyu maana tumeona Prisons almanusura wasawazishe.
unavyo ielezea simba kwa kuipamba utafikiri kuna timu mle,mpira kacheza wakawaida sana,kimbia kimbia,papatu papatu kila kona.1. Mechi ilikuwa nzuri kwa upande wetu na hasa binafsi nilifurahishwa sana na upangaji wa kikosi pale Fahdu alipomweka Awesu Awesu kucheza namba 10 na Augustine Okajepha kucheza kiungo wa juu yaani namba ila kocha alinikera mno alipomtoa Awesu Awesu wakati akiwa Bado anautaka mpira huku akipenyeza pasi za upendo kwa mtu habari kabisa Leonel Ateba Mbida
2.Kipa Camara ameanza kupoteza kujiamini Sasa kutokana na mabao aliyofungwa vs Coastal pamoja na Utopolo lakini ni Moja ya makipa Bora kabisa kuwahi kuchezea Simba.
3.Chamou Karaboue ni beki mzuri lakini mzito mno na kama akikutana na mawinga viberenge unaweza kumkuta anamdondosha ndani ya 18 watu tukaanza kulaumiana.Apewe programu maalum ya kupunguza uzito.
4.Kiungo Augustine Okajepha anaendeleza kunikufurahisha sana na Leo ameupiga mwingi sana eneo la juu ambapo mara nyingi tunamtegemea Fernandez.
5.Kibu Dennis kwa Sasa hapa nchini hakuna kiungo wa pembeni kama yeye kama unabisha endelea kubisha, mwanaume huyu anajua boli, kwanza ana nguvu, pili ana control, akikamata mpira kuuchukua lambda uje na greda.Yanga wanajua shughuli yake, alifunga goli refa akakataa, akaangushwa kwenye penati zaidi ya mara nne refa kwa sababu naye Yuko kwenye payroll ya GMS hakuna namna
6.Ladrack Shasambi ni winga mzuri sana kwangu pengine kushindwa hata Mutale na Balua, huyu dogo pamoja na kukaa benchi muda mrefu lakini Leo amewaendesha puta sana Prisons, huyu hapaswi kukaa benchi.
7.Kocha kama ana matatizo na Awesu Awesu aseme tumwelewe maana sikuona sababu ya kumtoa Awesu wakati tulikuwa tunaona kabisa akisambaza pasi za upendo kwa Leonel Ateba, uzuri wake Awesu ni tofauti na Ahoua, Awesu hana haja ya kufungua, akikamata anamwangalia Ateba, sio Ahoua Kila mda anautaka kufungua yeye.
8.Simba hii haimtegemei mchezaji mmoja, Leo hakuwepo Ahoua Wala Fernandez na moto tumeuwasha mwanzo mwisho.
Soma Pia: Full Time Tanzania Prisons 0 - 1 Simba SC | NBC Premierleague | Sokoine Mbeya | Oktoba 22, 2024
9.Siwezi kumaliza 10 Bora yangu Bila kumtaja Leonel Ateba, mwamba huyu Yuko vizuri mno, kama akipatikana Elie Mpanzu hakika Ateba Mbida atakuwa anaokota dodo kwenye mpera.Ateba ana control, ana nguvu lakini hana watu wa kumpenyezea matokeo yake anasaka mwenyewe mwanzo mwisho, Leo alipotolewa TU Prisons wakaanza kutushambulia.
10.Kocha wetu ana matatizo makubwa kwenye sub zake, Leo tumeshinda lakini huu mchezo wa kubadilisha wachezaji ambapo Bado wanaonekana Wana msaada na wanasumbua halafu unaingia akina Mukwala na Mutale kwenda kutuudhi uwanjani, siku yoyote tutamlilia kocha huyu maana tumeona Prisons almanusura wasawazishe.
Che Malone,hamza nao ni magaraza mkuu?kweli boli unalijua walahUkweli ni kwamba tuna wachezaji 3 tu wa maana
1. Camara
2. Ateba
3. Fernandes
Waliobaki ni magarasa tu.
Unauliza huku Simba inacheza kila baada ya siku 2.Mechi 6 siku 18.Utopolo mechi 6 siku 20.Ratiba imepangwa kimkakati wachezaji wawe na fatigue na wapoteze mechi.Vita ni kubwa2nd half kocha huwa anataka kujihami, kuzuia, kukaba na wachezaji nao wanakuwa wamechoka sijui kwanini?
Vyura watajaa kwenye mfumo tu. Ni suala la muda.Unauliza huku Simba inacheza kila baada ya siku 2.Mechi 6 siku 18.Utopolo mechi 6 siku 20.Ratiba imepangwa kimkakati wachezaji wawe na fatigue na wapoteze mechi.Vita ni kubwa
Kama inauma chomoaYaani mechi za Simba zinaboa sana huwa hakuna goli halali, ndo maana iko kombe la looser.
Leo Kibu kapiga krosi kipa wa Prison kautema mpira na kuuwahi Che Malone kamkanyaga tumboni kipa wa Prison na kupiga mpira ukiwa mikononi mwa kipa na kulazimisha kufunga. Ovyooo!!
Wachezaji wa Prison walinyoosha mikono kwa faulo refa ana muamala wala hakujali !! Ndo maana hawa marefa wetu huchezesha ndondo tu huko Afcon hawajulikani.
Ndo maana Simba haikatizi kwa Yanga!! Makolo watakandwa kila derby.