Mambo 10 niliyoyaona Leo Singida Vs Simba

Sawa,dawa ya mpira bahasha kwa Yanga na Simba ni kucheza limataifa kule hakuna mbeleko
 
Ila ndio inayeya hiyo mjue ohoooo,!!!mtakalia hivyo hivyo ahly naye atawekwa kwa mkapa kwa simba hii hii.

Kwenye kumuamini hamis abdalla na chilunda niko pamoja na wewe,ila labda anawasuka vyema wakae kwenye mfumo anaoutaka yeye,ngoja tuone his next move.
 
Inayeya ndiyo,ila karma itakurudia tu

Huwezi danganya mile

Simba na Yanga wote ni wazee wa mbereko

Mechi za kimataifa ndo kipimo tosha

Tarehe Ishirini siyo mbali na makundi hayapo mbali
 
Miqson kuingia kwake kumeleta impakiti kubwa sana leo tofauti na hapo mechi ya leo simba ilikuwa ina dondosha poit.
 
Aiseee
 
Rotation ya wachezaji Simba SC ni kama anasa ni kitu adimu sana sana. Awamu Al Ahly anatupiga nyingi sana kwa Mkapa. Hata turoge vipi tutapigwa nyingi sana kama sio Hamsa sijui
 
Jamaa kila wakitaka kufurahi wanakuta ushindiwao kwa kiasi kikubwa unachangiwa na marefa
Na bado
Inayeya ndiyo,ila karma itakurudia tu

Huwezi danganya mile

Simba na Yanga wote ni wazee wa mbereko

Mechi za kimataifa ndo kipimo tosha

Tarehe Ishirini siyo mbali na makundi hayapo mbali
Hahahahaaaa sasa chifu unamkumbusha askari saluti??
Hivi kati ya Simba na yanga nani ni bingwa wa michezo ya kimataifa?
Nikuhakikishie tu Simba itafanya vizuri hofu kwenyu ambao tayari viongoz wenu wamesharusha taulo.
 
Observation nzuri
 
11...naongezea Boko auzwe au atolewe kabisa Simba
Hawa wachezaji wakongwe labda wanaonewa aibu kung'atuliwa pamoja na hofu ya nini kitatokea baada ya kuondolewa, Kama ilivyokuwa kwa mkude
 
11. Amefungwa Singida wanaumia Utopolo
 
Umeongea vema kama shabiki.

Vinginevyo kocha ndiye anayejua ni nani anayefaa kucheza wakati gani kulingana na aina ya mazoezi yaliyofanyika.

Uzuri ni kwamba kila shabiki anadhani anaweza kufundisha mpira, lakini ukweli hauko hivyo.
Well done
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…