Mambo 10 niliyoyaona Simba ikiikaanga Al Ahly Tripoli ya Libya

Mambo 10 niliyoyaona Simba ikiikaanga Al Ahly Tripoli ya Libya

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
1. Mchezo ulikuwa mzuri lkn ulitaka kuwa mgumu baada ya Mabululu kututanguliza na waarabu kuweka viungo wengi kati kuliko sisi ambao tulimtegemea sana Kagoma na Fernandez

2. Che Malone ameanza kutupanda kichwani, yeye na Hamza uchezaji wao uko slow sana na kama tungecheza na timu kubwa kama zile za Champions leo kufuzu ingekuw ngumu

3. Timu aliishika sana Kibbu Denis leo, nilitukana na kulaani sana alipotolewa kabla ya Joshua Mutale. Kumtoa Kibbu kungeweza kutugharimu sana

4. Kweli nimeamini refa alipewa gemu kujaribiwa, unawezaje kukataa clear goal namna ile

5. Ukweli ni kuwa viungo wetu wa pembeni bado wana kazi kama tunahitaji mafanikio, afadhali nimemuona jukwaani Elie Mpanzu

6 Lionel Ateba ni mtu hatari sana kwa usalama wa Taifa

7. Jean Charles Ahoua bado hajaniridhisha kabisa kiwango chake alipaswa kukaa benchi kitambo t

8 Mussa Camara na Kibbu Denis ndio Nyota wa mchezo leo

9 Fahdu aambiwe tumeshinda leo lkn bado Simba haichezi mpira mzuri na hata sub pia zinamshinda

10 Mabululu anaipenda Sana na mshambuliaji aliyekamilika 100%, Simba inaweza kumuacha Mukwala ikambeba Mabululu

Nimefurahi sanaaaaaa leo

Soma Pia: FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024
 
1. Mchezo ulikuwa mzuri lkn ulitaka kuwa mgumu baada ya Mabululu kututanguliza na waarabu kuweka viungo wengi kati kuliko sisi ambao tulimtegemea sana Kagoma na Fernandez

2. Che Malone ameanza kutupanda kichwani, yeye na Hamza uchezaji wao uko slow sana na kama tungecheza na timu kubwa kama zile za Champions leo kufuzu ingekuw ngumu

3. Timu aliishika sana Kibbu Denis leo, nilitukana na kulaani sana alipotolewa kabla ya Joshua Mutale. Kumtoa Kibbu kungeweza kutugharimu sana

4. Kweli nimeamini refa alipewa gemu kujaribiwa, unawezaje kukataa clear goal namna ile

5. Ukweli ni kuwa viungo wetu wa pembeni bado wana kazi kama tunahitaji mafanikio, afadhali nimemuona jukwaani Elie Mpanzu

6 Lionel Ateba ni mtu hatari sana kwa usalama wa Taifa

7. Jean Charles Ahoua bado hajaniridhisha kabisa kiwango chake alipaswa kukaa benchi kitambo t

8 Mussa Camara na Kibbu Denis ndio Nyota wa mchezo leo

9 Fahdu aambiwe tumeshinda leo lkn bado Simba haichezi mpira mzuri na hata sub pia zinamshinda

10 Mabululu anaipenda Sana na mshambuliaji aliyekamilika 100%, Simba inaweza kumuacha Mukwala ikambeba Mabululu

Nimefurahi sanaaaaaa leo

Soma Pia: FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024
Ada ya usajili ya mabululu unajenga reli ya SGR toka kibaha mpaka mlandizi,mshahara wake wa mwezi ni mafao ya mwalimu kwa miaka 35 kazini
 
Zilikutana pipa na mfuniko timu zote 2, Hawa waarabu wangekutana na yanga hakika wangechapika kuanzia kule kule kwao na uku wangeondoka na aibu ya mwaka, Simba imeingia group stage lakini timu bado sana tunawaambia, kama Hawa waarabu tu weupe hivi wanakupa tabu vipi ukikutana na timu inayojielewa itakuwaje?
 
Ile ni offside, hata mimi nilishangaa goli kukataliwa ila baada ya mechi Azam waliirudia lile tukio. Unaona mshika kibendera alinyoosha kibendera mapema kabisa baada ya mchezaji aliyepo kwenye offside position kuuingilia mchezo. Refa wa kati ndiye aliyechelewa kuona.
 
1. Mchezo ulikuwa mzuri lkn ulitaka kuwa mgumu baada ya Mabululu kututanguliza na waarabu kuweka viungo wengi kati kuliko sisi ambao tulimtegemea sana Kagoma na Fernandez

2. Che Malone ameanza kutupanda kichwani, yeye na Hamza uchezaji wao uko slow sana na kama tungecheza na timu kubwa kama zile za Champions leo kufuzu ingekuw ngumu

3. Timu aliishika sana Kibbu Denis leo, nilitukana na kulaani sana alipotolewa kabla ya Joshua Mutale. Kumtoa Kibbu kungeweza kutugharimu sana

4. Kweli nimeamini refa alipewa gemu kujaribiwa, unawezaje kukataa clear goal namna ile

5. Ukweli ni kuwa viungo wetu wa pembeni bado wana kazi kama tunahitaji mafanikio, afadhali nimemuona jukwaani Elie Mpanzu

6 Lionel Ateba ni mtu hatari sana kwa usalama wa Taifa

7. Jean Charles Ahoua bado hajaniridhisha kabisa kiwango chake alipaswa kukaa benchi kitambo t

8 Mussa Camara na Kibbu Denis ndio Nyota wa mchezo leo

9 Fahdu aambiwe tumeshinda leo lkn bado Simba haichezi mpira mzuri na hata sub pia zinamshinda

10 Mabululu anaipenda Sana na mshambuliaji aliyekamilika 100%, Simba inaweza kumuacha Mukwala ikambeba Mabululu

Nimefurahi sanaaaaaa leo

Soma Pia: FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024
Kuwa mpole mkuu, wanaocheza ni binadamu sio malaika. Kinachokufanya uponde uliyoyaponda ni kwakuwa tu Yanga yuko kwenye fomu ya hatari. Jambo hilo ni kawaida katika soka.
 
1: ATEBA walau ameongeza kitu ktk forward ya Simba nadhani pia ni apontment ya KOCHA mwenyewe.
2: kama MO wenzake wako serious + vision kuirudisha SIMBA, basi wanahitajika FOWARD PLAYERS 2 wenye level ya ATEBA ...
3: Mavambo leo alikuwa classic
4: kipa CAMARA sasa ni kipenzi number 1 - pale MSIMBAZI.
5: Style ya KOCHA FADLU ya kucheza haraka haraka ni nzuri, ...Lakini bado hajatunyesha mbinu zake za kuingia ndani ya box ( clear chances) Naweza kusema tu Goal la from no-where la KIBU liliamsha ARI, ...
6: Magoli yote 3 ya simba haikuwa build up bali makosa ya defense na counter ya BALUA
6: pamoja na kosa la MALONE , bt overall defence huwa inacheza vizuri
 
1: ATEBA walau ameongeza kitu ktk forward ya Simba nadhani pia ni apontment ya KOCHA mwenyewe.
2: kama MO wenzake wako serious + vision kuirudisha SIMBA, basi wanahitajika FOWARD PLAYERS 2 wenye level ya ATEBA ...
3: Mavambo leo alikuwa classic
4: kipa CAMARA sasa ni kipenzi number 1 - pale MSIMBAZI.
5: Style ya KOCHA FADLU ya kucheza haraka haraka ni nzuri, ...Lakini bado hajatunyesha mbinu zake za kuingia ndani ya box ( clear chances) Naweza kusema tu Goal la from no-where la KIBU liliamsha ARI, ...
6: Magoli yote 3 ya simba haikuwa build up bali makosa ya defense na counter ya BALUA
6: pamoja na kosa la MALONE , bt overall defence huwa inacheza vizuri
Simba ni nzuri ikiwa inatumia mpira wa pasi ndefu, ila kwa pasi fupi fupi naona wengi control ya mpira inawakataa na kutoa pasi ya ovyo
 
Simba ni nzuri ikiwa inatumia mpira wa pasi ndefu, ila kwa pasi fupi fupi naona wengi control ya mpira inawakataa na kutoa pasi ya ovyo
Pasi ndefu sio culture ya Simba
Simba=samba
 
Zilikutana pipa na mfuniko timu zote 2, Hawa waarabu wangekutana na yanga hakika wangechapika kuanzia kule kule kwao na uku wangeondoka na aibu ya mwaka, Simba imeingia group stage lakini timu bado sana tunawaambia, kama Hawa waarabu tu weupe hivi wanakupa tabu vipi ukikutana na timu inayojielewa itakuwaje?
usajili wa Mabululu ni bajeti ya usajili wa Yanga yote msimu huu
 
1. Mchezo ulikuwa mzuri lkn ulitaka kuwa mgumu baada ya Mabululu kututanguliza na waarabu kuweka viungo wengi kati kuliko sisi ambao tulimtegemea sana Kagoma na Fernandez

2. Che Malone ameanza kutupanda kichwani, yeye na Hamza uchezaji wao uko slow sana na kama tungecheza na timu kubwa kama zile za Champions leo kufuzu ingekuw ngumu

3. Timu aliishika sana Kibbu Denis leo, nilitukana na kulaani sana alipotolewa kabla ya Joshua Mutale. Kumtoa Kibbu kungeweza kutugharimu sana

4. Kweli nimeamini refa alipewa gemu kujaribiwa, unawezaje kukataa clear goal namna ile

5. Ukweli ni kuwa viungo wetu wa pembeni bado wana kazi kama tunahitaji mafanikio, afadhali nimemuona jukwaani Elie Mpanzu

6 Lionel Ateba ni mtu hatari sana kwa usalama wa Taifa

7. Jean Charles Ahoua bado hajaniridhisha kabisa kiwango chake alipaswa kukaa benchi kitambo t

8 Mussa Camara na Kibbu Denis ndio Nyota wa mchezo leo

9 Fahdu aambiwe tumeshinda leo lkn bado Simba haichezi mpira mzuri na hata sub pia zinamshinda

10 Mabululu anaipenda Sana na mshambuliaji aliyekamilika 100%, Simba inaweza kumuacha Mukwala ikambeba Mabululu

Nimefurahi sanaaaaaa leo

Soma Pia: FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024
❤❤❤
FB_IMG_1726985190884.jpg
 
1. Waliompa jina Camara kuwa ni "spiderman" hawakukosea. Lile shuti la Mabululu wakati Camara anarudi upande mwingine ni makipa wachache sana wanaweza kufanya ile "save". Na kwa muda ule lingekuwa goli basi mechi ingeishia pale pale.
2. Che Malone anajiamini kupita kiasi huku anafanya makosa ya wazi kabisa wakati yeye ni mtu wa mwisho. Asipojirekebisha ipo siku ataichomesha Simba.
3. Benchi la ufundi Simba ni kweli lilichemsha mno na kuifanya ngumu baada ya kumuacha Mutale muda mrefu uwanjani wakati mechi ilishamshinda. Na mbaya zaidi unamtoa Kibu unamuacha Mutale anazurura uwanjani akipata mpira badala atoe pasi anakaa nao muda mrefu mpaka anayang'anywa.
4. Nilipongeze benchi la ufundi la Simba kwa kuanza kufanyia kazi " counter attack".
5. Magori na kamati yake wajulishwe kuwa bado Simba inahitaji namba 10 mwingine wa kumuongezewa Ahoua nguvu. Anatakiwa namba 10 hasa wa kulainisha mambo pale mbele.
6. Watu wengi wanalaumu mabeki wa kati kwenye goli alilofungwa Simba. Lakini mimi nawakumbusha tu mchezaji wa timu pinzani alipiga "free header" kuingiza mpira kati. Hayo makosa mara nyingi sana Kapombe na Mohamed Hussein wanayarudia sana wanashindwa ku screen mchezaji wa mwisho wakati faulu inapigwa.
7.Kwa Ateba walau Simba wamepata mtu. Kadri anavyocheza anaonyesha kuimarika akiendelea hivi atakuwa msaada sana kwa Simba.

Ni mtizamo tu
 
usajili wa Mabululu ni bajeti ya usajili wa Yanga yote msimu huu
Kwaiyo usajili wake umeisaidia nini timu yake, kama ameshindwa kusaidia timu yake kufuzu hatua inayofata na timu yake inacheza kama mashujaa fc huo ni usajili wa kutozingatia thamani ya pesa aliyopewa, ni Sawa na kununua saa feki kwa gharama ambayo ni sawasawa na Ile Ile ya saa original hapo unakuwa umeingia cha kike!
 
Back
Top Bottom