Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
1. Mchezo ulikuwa mzuri lkn ulitaka kuwa mgumu baada ya Mabululu kututanguliza na waarabu kuweka viungo wengi kati kuliko sisi ambao tulimtegemea sana Kagoma na Fernandez
2. Che Malone ameanza kutupanda kichwani, yeye na Hamza uchezaji wao uko slow sana na kama tungecheza na timu kubwa kama zile za Champions leo kufuzu ingekuw ngumu
3. Timu aliishika sana Kibbu Denis leo, nilitukana na kulaani sana alipotolewa kabla ya Joshua Mutale. Kumtoa Kibbu kungeweza kutugharimu sana
4. Kweli nimeamini refa alipewa gemu kujaribiwa, unawezaje kukataa clear goal namna ile
5. Ukweli ni kuwa viungo wetu wa pembeni bado wana kazi kama tunahitaji mafanikio, afadhali nimemuona jukwaani Elie Mpanzu
6 Lionel Ateba ni mtu hatari sana kwa usalama wa Taifa
7. Jean Charles Ahoua bado hajaniridhisha kabisa kiwango chake alipaswa kukaa benchi kitambo t
8 Mussa Camara na Kibbu Denis ndio Nyota wa mchezo leo
9 Fahdu aambiwe tumeshinda leo lkn bado Simba haichezi mpira mzuri na hata sub pia zinamshinda
10 Mabululu anaipenda Sana na mshambuliaji aliyekamilika 100%, Simba inaweza kumuacha Mukwala ikambeba Mabululu
Nimefurahi sanaaaaaa leo
Soma Pia: FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024
2. Che Malone ameanza kutupanda kichwani, yeye na Hamza uchezaji wao uko slow sana na kama tungecheza na timu kubwa kama zile za Champions leo kufuzu ingekuw ngumu
3. Timu aliishika sana Kibbu Denis leo, nilitukana na kulaani sana alipotolewa kabla ya Joshua Mutale. Kumtoa Kibbu kungeweza kutugharimu sana
4. Kweli nimeamini refa alipewa gemu kujaribiwa, unawezaje kukataa clear goal namna ile
5. Ukweli ni kuwa viungo wetu wa pembeni bado wana kazi kama tunahitaji mafanikio, afadhali nimemuona jukwaani Elie Mpanzu
6 Lionel Ateba ni mtu hatari sana kwa usalama wa Taifa
7. Jean Charles Ahoua bado hajaniridhisha kabisa kiwango chake alipaswa kukaa benchi kitambo t
8 Mussa Camara na Kibbu Denis ndio Nyota wa mchezo leo
9 Fahdu aambiwe tumeshinda leo lkn bado Simba haichezi mpira mzuri na hata sub pia zinamshinda
10 Mabululu anaipenda Sana na mshambuliaji aliyekamilika 100%, Simba inaweza kumuacha Mukwala ikambeba Mabululu
Nimefurahi sanaaaaaa leo
Soma Pia: FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024