Mambo 10 niliyoyaona Simba vs Tabora

Awesu Awesu huyu huyu aliyekuwa flop of the season Azam ndiyo anayepigiwa mapambio humu🤣🤣
 
Uwezo wa kuangalia mpira Tz kiufundi bado upo chini sana....mechi moja tu lakini anavyoimbwa ktk MEDIA...
Nilengaliq mpira sikuuona cha ajabu kwake....hii ni pressure tu
 
Awesu ndio anamalizia mpira wake ,

Mngemuona kipindi yupo Arusha anacheza ndondo 2010 mngesemaje?

Nashangaa Leo et ana miaka 28

Ina maana kipind kile anakichafua Sheikh Amri Abeid pale Arusha alikuwa ana miaka 14?
kinda hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…