Kwa mujibu wa jarida la Forbes tunaye mmoja.
Inawezekana wakawepo wengine, lakini kama utajiri wao siyo rahisi kufuatulia, basi forbes hawaorodheshi
Forbes wanaorodhesha utajiri wanaoweza kuufuatilia kwa usahihi.
Nitakuwa bilionea kabla sijawa rais,
Na urais siuchukulii kama sehemu ya kutengeneza kipato, bali sehemu ya kutoa kile kilichopo ndani yangu kwa ajili ya taifa langu, kwa ngazi kubwa.