Mambo 11 niliyoyaona Simba vs Gwanengy Galaxy leo

Ni kama kuna remote ina control wachezaji wasifunge. Ila ukweli hatuna timu lawama zote ni kwa viongozi wamefanya usajiri wa kipuuzi sana.
 
Hakuna uchawi hapo, wachezaji mliosajili uwezo mdogo na wazoefu wamechoka. Kocha apewe muda asajili wachezaji anaowataka. Uzuri ni kwamba kocha ni mzoefu wa soka la Africa.
Kocha akipewa nafasi ya kusajili viongozi watapataje dili lao na hao atakahitaji timu ina fedha za kutosha?
 
Watanzania wanaamini sana UCHAWI Sijui kwanini!!!!.
 
Yanga mnaujulia wapi mpira Nakupa mechi nne Benchika aanze kuwapachika
 
Hilo la kusema wachezaji wa Simba eti hawajitumi sio kweli ila hapo ndipo uwezo wao ulipofika, ule mkwaju wa Chama mbona ulizuiliwa na mwamba vinginevyo ilikuwa ni goli kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…