Mambo 12 Niliyoyaona leo Azam vs Simba Uwanja wa Aman

Mambo 12 Niliyoyaona leo Azam vs Simba Uwanja wa Aman

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
1. Hivi kocha wetu kweli haoni tofauti kati ya Jean Charles Ahoua na Awesu Awesu? Hata asiyejua mpira anaweza kuwatofautisha wachezaji hao

2. Hivi kocha unawezaje kumtoa Kibbu ambaye ametolewa akiwa bado Ana energy ya kutosha na madefender wa Azam bado walikuwa wanamhofia?

3. Shomari Kapombe has improved a lot, kocha awe anampumzisha kwa sababu ana kazi maalum

4. Upande wa Kipa Camara na Tshabalala Manula na Valentione Nouma watafute kazi ya kufanya

5. Simba inaelemewa sana kwa namna wanavyocheza, walielemewa na al Ahly na leo tena wameelemewa, mfumo wa kocha sio mzuri

6 Joshua Mutale hakuna cha SGR wala nn

7.Leonel Ateba ananikumbusha enzi za mliberia William Fanbullah, mtu wa maana kabisa

8. Fabrice Ngoma amecheza vizuri lakini navutiwa sana na Augustine Okajepha

9. Awesu Awesu hastahili kukaa benchi Simba, Chasambi hastahili kukaa benchi Simba

10 Bao alilofunga Ngoma ni mapenzi tu ya mshika kibendera ama mwamuzi msaidizi na wala sio makosa ya kibinadamu.

11 Kiujumla Azam wamecheza vizuri sana kuliko Simba, Fahdu aliangalie hilo, upangaji wake wa timu sio mzuri.

12. Kwa mpira huu tutazifunga timu nyingine lakini sio kwa wale wajinga wajinga wa Jangwani, wale tunahitaji kujipanga zaidi kwani Mh.

Soma Pia: FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 2024
 
Nakubaliana na ww kwenye baadhi ya maeneo. Hata hivyo, Ahoua ni mchezaji lakini bado anacheza kama ligi ya kwao. Kuna wakati anajisahau halafu apewe kuku zaidi awe na nguvu, kwani upepo kidogo tu anayumba.

Mengine ikiwa pamoja namba 8, niko na wewe kwa 💯.
 
1. Hivi kocha wetu kweli haoni tofauti kati ya Jean Charles Ahoua na Awesu Awesu? Hata asiyejua mpira anaweza kuwatofautisha wachezaji hao...
Bodi ya Ligi ao marefa wa kike hawana uwezo wa kuchezesha mechi za kiume, uyo kheri Sasi refa wa kati hafai sio tu kupewa mechi kubwa aendelee kuwa kamisaa wa mchezo msimpe kuwa refa wa kati.

Mna sababisha taharuki zisizo na sababu kwa refa kuendelea kuharibu katika mechi kubwa na nyinyi FA mnaendelea kumpa mechi izo.
 
Sawa Kuna makosa ya refarii ..
Ila azam wamecheza Nini Leo kiuhalisia .....Azam tunayoijua sisi...zaidi ya 🚮

Kuhusu tactics binafsi Kuna kitu naamini mwalim anakipika hasa transition ya haraka kama silaha yetu hatari....mfano wake ni kama goli la 3 la barua vs Ahly tripoli

Akiongezeka na mpanzu naamini Kuna kitu kitakaa sawa ....
Naungana na Chief hapo .....Awesu ni tofauti na Ahua ....sometimes kocha anajiweka kitanzi mwenyewe tu bila sababu....
 
Ule mpira uliingia ndani baada ya kibu kupiga kichwa kipa wa AZAM aliokelea mpira ndani nenda kaangalie tena ila ngoma ilikuwa clear offside.
 
Namba 6 hapana nakukatalia Kapomne na Ngoma walikuwa wanampa mzigo mzito Mutale
 
Mnaenda mbele, Halafu mnarudi nyuma..!

Umesema Kibu hakupaswa Kutolewa..? Au mie nimekuelewa kinyume?

Mmeanza Kumkubali Kibu eee? Basi muache kumsema kuwa Kafunga goli 1 msimu mzima..!
Afu Yeye mwenyewe hamaindi wala nini!
 
1. Hivi kocha wetu kweli haoni tofauti kati ya Jean Charles Ahoua na Awesu Awesu? Hata asiyejua mpira anaweza kuwatofautisha wachezaji hao

2. Hivi kocha unawezaje kumtoa Kibbu ambaye ametolewa akiwa bado Ana energy ya kutosha na madefender wa Azam bado walikuwa wanamhofia?

3. Shomari Kapombe has improved a lot, kocha awe anampumzisha kwa sababu ana kazi maalum

4. Upande wa Kipa Camara na Tshabalala Manula na Valentione Nouma watafute kazi ya kufanya

5. Simba inaelemewa sana kwa namna wanavyocheza, walielemewa na al Ahly na leo tena wameelemewa, mfumo wa kocha sio mzuri

6 Joshua Mutale hakuna cha SGR wala nn

7.Leonel Ateba ananikumbusha enzi za mliberia William Fanbullah, mtu wa maana kabisa

8. Fabrice Ngoma amecheza vizuri lakini navutiwa sana na Augustine Okajepha

9. Awesu Awesu hastahili kukaa benchi Simba, Chasambi hastahili kukaa benchi Simba

10 Bao alilofunga Ngoma ni mapenzi tu ya mshika kibendera ama mwamuzi msaidizi na wala sio makosa ya kibinadamu.

11 Kiujumla Azam wamecheza vizuri sana kuliko Simba, Fahdu aliangalie hilo, upangaji wake wa timu sio mzuri.

12. Kwa mpira huu tutazifunga timu nyingine lakini sio kwa wale wajinga wajinga wa Jangwani, wale tunahitaji kujipanga zaidi kwani Mh.

Soma Pia: FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 2024
Yanga wanawazoom tu, hakika Kuna kilio kikubwa trh 19 October, Gamond alivyo katili na bahati nzuri sana keshawazoom mwanzo mwisho kipindi kile cha ngao ya jamii mlijificha kwenye kichaka cha kwamba ajawaona popote mnacheza na ajajua mnatumia mbinu Gani kwenye style ya kucheza kuanzia mifumo na kadhalika sasa keshawaona vizuri narudia Tena Kuna kiama kingine October kwa uchezaji wenu huo!
 
Hujui boli wewe... eti goli la ngoma ni offside?...

Ila kichwa wakati kibu anaigonga boli ngoma hakuwa offside, kwahiyo amefunga rebound baada ya kibu kupiga kichwa na kipa kutema ilihali yeye alikuwa kwenye motion lakini hakuwa offside position... kumbe vijana huku hamjui kabisa boli
 
Ingawa EDWIN BALUA alifunga goli agoaist AHYL TRIPOLI, ..Lakini bado kwangu sio favourite kwa SIMBA....

Hana control,.... hana jicho zuri la pasi,..ni hadi tu mpira ujae kwenye mguu afumue shuti...
 
Back
Top Bottom