Mambo 12 Niliyoyaona leo Azam vs Simba Uwanja wa Aman

Mambo 12 Niliyoyaona leo Azam vs Simba Uwanja wa Aman

Hujui boli wewe... eti goli la ngoma ni offside?...

Ila kichwa wakati kibu anaigonga boli ngoma hakuwa offside, kwahiyo amefunga rebound baada ya kibu kupiga kichwa na kipa kutema ilihali yeye alikuwa kwenye motion lakini hakuwa offside position... kumbe vijana huku hamjui kabisa boli
Wakati mpira unapigwa kichwa, Ngoma alikuwa kwenye offside position na jana Azam walilichambua hilo goli kuwa halikuwa halali kwa mujibu wa sheria za soka
IMG_20240927_092524.jpg
 
Ule mpira uliingia ndani baada ya kibu kupiga kichwa kipa wa AZAM aliokelea mpira ndani nenda kaangalie tena ila ngoma ilikuwa clear offside.
Sio Kibu bali ni Ngoma ndiye aliyefunga. Sijui hata unaongelea kipi mara unasema Ngoma ni clear offside. Kwani Kibu jana kuna alifunga? Goli kafunga Ateba na Ngoma asa sijui umejichanganya vipi
 
Sio Kibu bali ni Ngoma ndiye aliyefunga. Sijui hata unaongelea kipi mara unasema Ngoma ni clear offside. Kwani Kibu jana kuna alifunga? Goli kafunga Ateba na Ngoma asa sijui umejichanganya vipi
Tatizo hujasoma nilichoandika mpira kabla ya ngoma kufunga ulipigwa kichwa ndio ukamkuta ngoma akamalizia au umeangalia highlights hujaangalia live.
 
Tatizo hujasoma nilichoandika mpira kabla ya ngoma kufunga ulipigwa kichwa ndio ukamkuta ngoma akamalizia au umeangalia highlights hujaangalia live.
Kama Ngma ndiye aliyefunga na umekiri kuwa Ngoma alikuwa yupo kwenye offside position ina maana goli ni la offside ndio hicho
 
Huyu.kocha akae na wachezaji wake na kuwaeleza Nini maana ya kucheza kitimu
Ana wachezaji wengi lakini anachezesha walewale wakati.anajua.mechi.xinafatana. Kibu .Hamza .Deborah.eote.walionyesha uchovu
 
Mechi wacheze Azam lakini wachambuzi wa matokeo ni Utopolo
 
Huyu pascal msindo, simba umchukue next season. Dogo ana kitu
 
1. Hivi kocha wetu kweli haoni tofauti kati ya Jean Charles Ahoua na Awesu Awesu? Hata asiyejua mpira anaweza kuwatofautisha wachezaji hao

2. Hivi kocha unawezaje kumtoa Kibbu ambaye ametolewa akiwa bado Ana energy ya kutosha na madefender wa Azam bado walikuwa wanamhofia?

3. Shomari Kapombe has improved a lot, kocha awe anampumzisha kwa sababu ana kazi maalum

4. Upande wa Kipa Camara na Tshabalala Manula na Valentione Nouma watafute kazi ya kufanya

5. Simba inaelemewa sana kwa namna wanavyocheza, walielemewa na al Ahly na leo tena wameelemewa, mfumo wa kocha sio mzuri

6 Joshua Mutale hakuna cha SGR wala nn

7.Leonel Ateba ananikumbusha enzi za mliberia William Fanbullah, mtu wa maana kabisa

8. Fabrice Ngoma amecheza vizuri lakini navutiwa sana na Augustine Okajepha

9. Awesu Awesu hastahili kukaa benchi Simba, Chasambi hastahili kukaa benchi Simba

10 Bao alilofunga Ngoma ni mapenzi tu ya mshika kibendera ama mwamuzi msaidizi na wala sio makosa ya kibinadamu.

11 Kiujumla Azam wamecheza vizuri sana kuliko Simba, Fahdu aliangalie hilo, upangaji wake wa timu sio mzuri.

12. Kwa mpira huu tutazifunga timu nyingine lakini sio kwa wale wajinga wajinga wa Jangwani, wale tunahitaji kujipanga zaidi kwani Mh.

Soma Pia: FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 202
Analysis nzuri kabisaa kutoka kwako mzee wa msimbazi!ila je wenzio watakuelewa au watakutukana humu??maana kuna mashabiki wenzio hawajui kupinga kwa hoja zaidi ya vioja!!
 
Back
Top Bottom