frankkilulya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2022
- 590
- 1,494
We nae unataka tushinde tu kila siku sisi, tuna mtoa Ahoua ukacheze ww shwaini kabsa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Meno ya mbwa hayaumani, Mzee Magoma wazee wezie wamemuomba Kurujuani anielekeze Mbumbu fc.1. Kocha Fahdu na Jean Charles Ahoua ndio walioiua Simba leo, Ahoua yuko slow, mchoyo na hajui kupiga faulo, kila nikitoa maoni mnatukana leo mmeona
2. Jean Charles Ahoua kama ndio MVP ligi ya kwao basi Ditram Nchimbi ana uwezo wa kucheza soka Ivory Coast
3. Kama Simba ingecheza na timu nzuri leo tungeongea mengine jioni wala sio sare
4. Uchezaji wa timu uko slow sanaaaa tofauti na Simba ile ya kasi
5. Joshua Mutale mpelekeni Ken Gold huko
6. Augustine Okajepha nakubali ni kiungo wa maana kabisa
7. Hivi chasambi na Karabaka hata leo mechi mbovu kabisa mmeshindwa kuwapanga?
8. Leonel Ateba Mbida anashindwa kufunga kwa sababu Ahoua mbinafsi sana
9. Kila mchezaji leo alikuwa anacheza kivyake wala hakukuwa na mfumo wowote
10. Mikoani kugumu sana, kocha wetu anaweza kudondosha point kizembe kabisa kama hatobadilika na mbinu zake za mwaka 1970.
11 Mwisho wa yote Simba haina mafia nje ya uwanja, leo wametegwa na wakategeka, mpango ulianzia Dodoma na bado wataendelea kutupiga pini
12. Nina uhakika tutashika nafasi ya 2 tena msimu huu kwa kocha huyu mchovu.
Soma Pia: FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024
Kwani nyie makocha wehu wezetu munawatoa wapi!!?Hakuna kocha wa hovyo kuwahi kuletwa Simba kama huyu fadul. Ni swala la muda tu. Joshua mtale na charlz A. Game iliwakataa Toka dakika ya kwanza lkn kocha hakufanya sub kwa wakati. Sasa kama kocha hawezi kuona mapungufu ya mchezaji basi huyo uwezo wake ni mdogo.
Mimi mara mia acheze balua kuliko kibabu joshua
Timu iuzwe tuwekeze kwenye kilimo cha TikitiDuuu! Nimeshangaa sana hii come back, nini kifanyike wanasimba?