Mambo 13 ya busara

Hii imekaa kinafiki sana ila tunaishi nayo

8. Kama mkuu (kiongozi) wako wa kazi atahitaji muende kwenye mualiko alioalikwa, usivae nguo (suits) ya kiwango cha juu kuliko ya mwenyeji (kiongozi) wako.
Mimi kwa hili atajijua mwenyewe mkuu wa kazi,,,Kwenye mambo ya kupendeza sinaga simile ni minyoosho kwa kadri itakavyoniwia kwa siku hiyo.
 
Kama maisha yamekuwa magumu mueleze ukweli mwenzako.

Mueleze ukweli ili na yeye afanye maamuzi yake.
 
Hii imekaa kinafiki sana ila tunaishi nayo

8. Kama mkuu (kiongozi) wako wa kazi atahitaji muende kwenye mualiko alioalikwa, usivae nguo (suits) ya kiwango cha juu kuliko ya mwenyeji (kiongozi) wako.
Na mimi nimejiuliza.
Utajuaje kama yeye atavaa ya kiwango cha chini wakati mnakutana tayari kila mtu kavaa ya kwake? Au unarudi kubadilisha?
 
Ikitoke Mtu kakujibu vibaya jitahidi tu kumuelewa na kumsamehe, Kuna time watu wanapitia mambo yasio Elezeka
 
hapo namba 7 naye akiamuwa kufata huu ustaarabu itakuwaje?
14. ukiwa kwenye kadamnasi wakat wa kula jitahd kula kistaarabu na kunywa pia kistaarab hata kama kwako umezoea kula rafuli 😄 specifically namna ya kutafuna & kunywa hapa wengi tunafeli....15 usipende kutafuna jojo kizembe huku umeachia mdomo na mawazo yapo ulaya 😄
 
Siku ukienda marekani jichunge SANA usikwenda nyumbani kwa p.diddy atakufanya kitu kibaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…