Mambo 14 yaliyomshinda Mbowe kwa miaka 34 CHADEMA

Rula ya Mafisadi

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2024
Posts
404
Reaction score
852
  1. 20+ Years Freeman Mbowe ameshindwa kuitoa CCM madarakani.
  2. Ameshindwa kulinda kura za Watanzania.
  3. Ameshindwa kuweka mashinikizo chanya juu ya chaguzi huru na haki.
  4. Ameshindwa kuwatengenezea viti maalum kwa wajimbo na kupisha wengine.
  5. Ameshindwa kutengeneza vyanzo vya mapato ili achangie yeye na kusujudiwa.
  6. Ameshindwa kuweka wazi mapato na matumizi ya Chadema Digital.
  7. Amekimbia wanachama alipowachia jela na kuibukia kwa mama yao kwa wasiwasi.
  8. Anajihusisha na Wenje aliyekiri kuwa rafiki wa mtoto wa mama yao.
  9. Hajakemea na kuunda tume ya chama kuchunguza matumizi ya pesa chafu kwenye chaguzi za chama.
  10. Ameshindwa kwa 20+ yrs kuandaa mtu atakae rithi kiti cha mwenyekiti.
  11. Amesimamia kumuingiza Lowassa akijua hatapewa haki ila atapata ruzuku.
  12. Ameshindwa kulinda wanachama wake wanaotekwa, teswa, potezwa na kuuawa.
  13. Ameshindwa kulinda rasilimali za taifa ikiwemo bandari.
  14. Ameshindwa kulinda hisa ndani ya Tundu Lissu alipolazimika kufunga mikutano ya wanachama wengi kubaki na kupewa ubunge wa kukiri.
Licha ya makosa aliyoifanya, tunahitaji mwenyekiti jeuri na siyo wa maridhiano kuliko mkoa wa Tanganyika.
 

Attachments

  • IMG-20250111-WA0491.jpg
    135.9 KB · Views: 1
Ingekuwa kweli na mnakereketwa msinge muacha alipo miaka hiyo yote

PIA
Ndio maana nchi hamuwezi pewa na wananchi
 
Mwamba amepiga sana hela. Hata chama kikisambaratika ana uhakika wa kupiga ruzuku mpaka hapo Novemba
 
Ndiyo mjue chadema ni manyumbu yanayo sababisha ccm isitoke madarakani...
Hamumtaki mbowe wakat hamna hata kadi ya chadema, hamumtaki mbowe wakat hata kiongozi wako ngazi ya kata humjui...
Labda Mbowe afe leo, ila hakuna wa kumshinda uenyekit...
Busara hekima maarifa na ujuzi wa mbowe ndio umeifanya chadema idumu iwe hai hadi leo...
Ni kichaa pekee anaweza kukubali CDM iongozwe na Antipas...
 
Hakika nakuunga Mkono asilimia 2500
 
Kusini wanakolima korosho sijakanyaga tangu kampeni za 2020


Ha ha haaa kumbe mkoa ule ulisemaga unakaa enzi hizo kumbe sio kusini? Or ulipopafaja ndio kwneyewe kule mgeni.. Akili inasema noooooooo πŸ˜†

Poa poa 😍

Kila la kheri vaa kijani watakuvuta πŸ€—

Kuna wadau wawili walivutwa kutoka humu (umewakumbuka πŸ˜†) sijui wapo wapi siku hizi wa kike na kiume mmoja akawa Waziri sijui nani tena eeeh na mwingine yeye uwiiii akawa hot topic kwa tabia za kushare na wahusika.. Bila hofu yakamkutaaaa
 
Kusini wanakolima korosho sijakanyaga tangu kampeni za 2020
Kama kawaida yenu, kusini mnakuja wakati wa kampeni tu, kampeni zikiisha mnatusahau. Halafu mnataka tuwape nchi !?
Wakati wa kampeni ulifika kijijini kwangu Nkotokwiana (Newala), au uliishia Mtwara mjini tu?
(Wewe ulikacha maandamano)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…