Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Miaka 20+ mingi sana huku kijijni binti anawatoto wa3 kabisa. Hii haikubariki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wakipewa nchi wataimeza iwe tumboni mwao kabisaaaIngekuwa kweli na mnakereketwa msinge muacha alipo miaka hiyo yote
PIA
Ndio maana nchi hamuwezi pewa na wananchi
Kwa maoni yangu mbowe abaki mshauri wa chama au apewe uwenyekiti wa Baraza la wadhamini Huu ni wakati sahihi wa mabadiliko kwa chademaLicha ya makosa aliyoifanya, tunahitaji mwenyekiti jeuri na siyo wa maridhiano kuliko mkoa wa Tanganyika.
- 20+ Years Freeman Mbowe ameshindwa kuitoa CCM madarakani.
- Ameshindwa kulinda kura za Watanzania.
- Ameshindwa kuweka mashinikizo chanya juu ya chaguzi huru na haki.
- Ameshindwa kuwatengenezea viti maalum kwa wajimbo na kupisha wengine.
- Ameshindwa kutengeneza vyanzo vya mapato ili achangie yeye na kusujudiwa.
- Ameshindwa kuweka wazi mapato na matumizi ya Chadema Digital.
- Amekimbia wanachama alipowachia jela na kuibukia kwa mama yao kwa wasiwasi.
- Anajihusisha na Wenje aliyekiri kuwa rafiki wa mtoto wa mama yao.
- Hajakemea na kuunda tume ya chama kuchunguza matumizi ya pesa chafu kwenye chaguzi za chama.
- Ameshindwa kwa 20+ yrs kuandaa mtu atakae rithi kiti cha mwenyekiti.
- Amesimamia kumuingiza Lowassa akijua hatapewa haki ila atapata ruzuku.
- Ameshindwa kulinda wanachama wake wanaotekwa, teswa, potezwa na kuuawa.
- Ameshindwa kulinda rasilimali za taifa ikiwemo bandari.
- Ameshindwa kulinda hisa ndani ya Tundu Lissu alipolazimika kufunga mikutano ya wanachama wengi kubaki na kupewa ubunge wa kukiri.
Hataki heshima anataka fedhehaKwa maoni yangu mbowe abaki mshauri wa chama au apewe uwenyekiti wa Baraza la wadhamini Huu ni wakati sahihi wa mabadiliko kwa chadema
Hii imeendaLicha ya makosa aliyoifanya, tunahitaji mwenyekiti jeuri na siyo wa maridhiano kuliko mkoa wa Tanganyika.
- 20+ Years Freeman Mbowe ameshindwa kuitoa CCM madarakani.
- Ameshindwa kulinda kura za Watanzania.
- Ameshindwa kuweka mashinikizo chanya juu ya chaguzi huru na haki.
- Ameshindwa kuwatengenezea viti maalum kwa wajimbo na kupisha wengine.
- Ameshindwa kutengeneza vyanzo vya mapato ili achangie yeye na kusujudiwa.
- Ameshindwa kuweka wazi mapato na matumizi ya Chadema Digital.
- Amekimbia wanachama alipowachia jela na kuibukia kwa mama yao kwa wasiwasi.
- Anajihusisha na Wenje aliyekiri kuwa rafiki wa mtoto wa mama yao.
- Hajakemea na kuunda tume ya chama kuchunguza matumizi ya pesa chafu kwenye chaguzi za chama.
- Ameshindwa kwa 20+ yrs kuandaa mtu atakae rithi kiti cha mwenyekiti.
- Amesimamia kumuingiza Lowassa akijua hatapewa haki ila atapata ruzuku.
- Ameshindwa kulinda wanachama wake wanaotekwa, teswa, potezwa na kuuawa.
- Ameshindwa kulinda rasilimali za taifa ikiwemo bandari.
- Ameshindwa kulinda hisa ndani ya Tundu Lissu alipolazimika kufunga mikutano ya wanachama wengi kubaki na kupewa ubunge wa kukiri.
SawaKama kawaida yenu, kusini mnakuja wakati wa kampeni tu, kampeni zikiisha mnatusahau. Halafu mnataka tuwape nchi !?
Wakati wa kampeni ulifika kijijini kwangu Nkotokwiana (Newala), au uliishia Mtwara mjini tu?
(Wewe ulikacha maandamano)