Mambo 15 niliyoyaona Simba vs CS Sfaxien ya Tunisia leo

Mambo 15 niliyoyaona Simba vs CS Sfaxien ya Tunisia leo

Nenda mkatambie Coast union mlioenda nao kushiriki mashindano yenu ya akina mama
Sisi tupo club bingwa
Mko nafasi gani ninyi utopolo huko club bingwa?Naanza kuamini kuna aina nyingi za donkeys:1-Punda 2-Pundamilia 3-Pundamliaji.
Sasa,wafungwe wengine ninyi mlie kweli?Aaaaa hebu tulieni vyuraaaa!
 
6, 8, 9 nakuunga mkono. Hamza ni mwoga akiwa na mpira anaogopa kuanzisha mashambulizi . Ateba hachezeshwi. Mutale apewe thank you.
 
Mko nafasi gani ninyi utopolo huko club bingwa?Naanza kuamini kuna aina nyingi za donkeys:1-Punda 2-Pundamilia 3-Pundamliaji.
Sasa,wafungwe wengine ninyi mlie kweli?Aaaaa hebu tulieni vyuraaaa!
Tatizo mnashangalia kama mmecheza mechi ya maana kumbe UMISETA
 
Huyu ndugu yetu wa kuitwa Mutale kiukweli atupishe...Bora angebaki hata Konde boy Luis.
 
Back
Top Bottom