ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Nendeni mkatambie Coast union na Namungo mlioenda nao kushiriki mashindano yenu ya akina mamaAibu za kwako kipindi unacheza zinatosha usitulazimishe aibu na sisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nendeni mkatambie Coast union na Namungo mlioenda nao kushiriki mashindano yenu ya akina mamaAibu za kwako kipindi unacheza zinatosha usitulazimishe aibu na sisi
Mko nafasi gani ninyi utopolo huko club bingwa?Naanza kuamini kuna aina nyingi za donkeys:1-Punda 2-Pundamilia 3-Pundamliaji.Nenda mkatambie Coast union mlioenda nao kushiriki mashindano yenu ya akina mama
Sisi tupo club bingwa
Tatizo mnashangalia kama mmecheza mechi ya maana kumbe UMISETAMko nafasi gani ninyi utopolo huko club bingwa?Naanza kuamini kuna aina nyingi za donkeys:1-Punda 2-Pundamilia 3-Pundamliaji.
Sasa,wafungwe wengine ninyi mlie kweli?Aaaaa hebu tulieni vyuraaaa!
Mfocus kwenye timu yenu na muache kisebengo cha kutolea macho mnyama.Tatizo mnashangalia kama mmecheza mechi ya maana kumbe UMISETA
[emoji16][emoji16]Mfocus kwenye timu yenu na muache kisebengo cha kutolea macho mnyama.
Kwakuwa kaongea ukweli? Mashabiki akili zenu mnazijua wenyewe,,ukiongea fact unakuwa mbaya🚮🚮Ww sio shabiki wa simba