Mambo 15 ya Kuwashauri Viongozi wa Simba baada ya kuambulia Sare vs Coastal Union Leo

Mambo 15 ya Kuwashauri Viongozi wa Simba baada ya kuambulia Sare vs Coastal Union Leo

Mambo 15 ya kuwashauri viongozi wa Simba

1. Mikakati ya Yanga ni migumu nyie kuijua hivyo Yanga anaweza kubeba ndoo miaka 10 mfululizo

2. ⁠Msitumie neno Ubaya Ubwela vibaya coz mwisho wa msimu mtakosa cha kutuambia mashabiki wenu

3. ⁠Bado kuna wanafiki wapiga dili ndani ya timu yetu ambao sio waadilifu na waaminifu

4. ⁠Kama tunashindwa kuzifunga timu zenye udhamini wa GSM hivi mbabe wa vita mwenyewe tutamweza kweli hiyo Oktoba 19 au tujiandae kudhalilika tena

5. ⁠Wachezaji kama Ahoua, Chamou, Mutale, Valentino Nouma, Mukwala wameshindwa kuisaidia timu yetu watafute changamoto nyingine

6. ⁠Timu yetu haina wataalamu wazuri nje ya uwanja mfano mechi ya Coastal kuna kitu kilichimbiwa goli la Coastal na mashabiki walikiona Ila nyie mkaona sawa tu

7. ⁠Wachezaji wetu wanaletwa wakiwa wazuri lkn baada ya muda wanaonekana wachezaji wa mchongo tu kwa sababu hawafanyiwi dua zinazoeleweka kama zile za Kurujuani

8. ⁠Waambieni kweli mashabiki na wanachama kuwa kubeba ndoo msimu huu sio kweli labda GSM aache udhamini ajiondoe Yanga

9. ⁠Kuweni na utamaduni wa kuwajibika ili wenye uwezo kiutendaji walete furaha ndani ya timu yetu

10. ⁠Kocha Fahdu anaweza kuwa kocha mzuri lakini kwa mazingira ya kikwetu ameshaonyesha kufeli, mfano leo Ahoua hakuwa kabisa na kiwango lakini amemuacha hadi mwisho tukakamata sare

11. ⁠Msikasirike tukiwaambia ukweli mfano mm leo kila nnachokifanya hakikai sawa nikifiria sare ya leo, kula ctamani, nyapu sina hamu nayo, simu sina raha nayo kwa sababu ya matusi mitandaoni huku nyie mnakula maisha tu bila hofu wala nini.

12. ⁠Mechi za mikoani ni ngumu sana fanyeni mpango wa kusaka kocha mwingine na mrudisheni Juma Mgunda, mmemuondoa Simba Queens kiubinafsi sana.

13. ⁠Kocha Fahdu anaweza kuipa ubingwa Yanga mapema sana kama ataendelea kufanya mzaha katika upangaji wa kikosi.

14. ⁠Kocha aambiwe akina Chasambi na Karabaka wanahitaji kucheza sio kuua viwango vyao halafu yeye arudi kwao sauzi.

15. ⁠Tujenge uwanja wetu vinginevyo viwanja vyote vitawekwa miba hadi tushike adabu yetu, mfano mabao aliyofungwa Camara leo ni jini mtupu yule wala sio mabao, yeye mwenyewe ameshangaa ghafla tu goli
Mpira wa kitaalamu mtafungwa popote ligi ya Tanzania ni ya 6 kwa ubora Africa na mwaka huu timu zinazo shiriki zimesajiri kutokana uwezo wao upinzani ni mkali, (mkubwa).
Mpira wa Tanzania siyo yanga na simba tu, mpira unalipa vijana wanafanya mazoezi na wanajituma kwasasa mpira ni biashara
 
Acha ushabiki maandazi wewe
Droo moja tu unsoma kila mtu hafai.
Mbona mlipoingia makundi shirikisho hujaja kusema wachezaji hawafai
Huo ushamba!!!
 
Miye nimependa hapa

Aaahaaaa

"mfano mabao aliyofungwa Camara leo ni jini mtupu yule wala sio mabao, yeye mwenyewe ameshangaa ghafla tu goli"
 
mtoa mada unaonyesha kias gan shabik wa simba na yanga ila aio shabik wa mpira wa miguu umecoment ki simba yanga ila unge coment ki football usingeona wachezaj hawafai kwa droo 1 wangeshinda ungekuj na uzi wako ambao auhakis dunia ya soka ilivo ungekua unatazama na lig ya uingereza ufaransa italy ujerman spain usingekua mwana michezo wa kienyej kias hik kushinda kupo ku droo kupo ka droo mancty na asernal ikiw ina upnguf wa mchezaj jana man u ka droo na porto juz bayan kafungwa na aston vila madrid na mbape na top star player kafungwa 1bila na lile yenye kikos cha buku 3 mashabik wake awajaj na uzi cz wanajua what is futbal kuna sik upo saw kuna kidroo kufngwa ila wanahukum tim inapokos kombe si kwa sare 1 au kufungw x2 mar 3 na unakut uwanja unajaa kilabsiku tim ht inaofanya vbay km manchester ila simba akifngwa mech 3 au mbil mashabk hawaend uwanjan hawanui tket socer lina forum zake jfunze uachan na mambo ya kienyej kam hay mashabik wasiojua soka dizain yenu ndio yanazfanya simba na yanga zidumae zisiend levo za mamelod na al ahly ajil mnatia presha viongoz tim ht ikisale wachezaj washakua wabay kocha afai tunalogwa tunahujumiana manura anamloga diara yn blabla bla
Mangungu acha kujitetea unahujumu simba
 
Mambo 15 ya kuwashauri viongozi wa Simba

1. Mikakati ya Yanga ni migumu nyie kuijua hivyo Yanga anaweza kubeba ndoo miaka 10 mfululizo

2. ⁠Msitumie neno Ubaya Ubwela vibaya coz mwisho wa msimu mtakosa cha kutuambia mashabiki wenu

3. ⁠Bado kuna wanafiki wapiga dili ndani ya timu yetu ambao sio waadilifu na waaminifu

4. ⁠Kama tunashindwa kuzifunga timu zenye udhamini wa GSM hivi mbabe wa vita mwenyewe tutamweza kweli hiyo Oktoba 19 au tujiandae kudhalilika tena

5. ⁠Wachezaji kama Ahoua, Chamou, Mutale, Valentino Nouma, Mukwala wameshindwa kuisaidia timu yetu watafute changamoto nyingine

6. ⁠Timu yetu haina wataalamu wazuri nje ya uwanja mfano mechi ya Coastal kuna kitu kilichimbiwa goli la Coastal na mashabiki walikiona Ila nyie mkaona sawa tu

7. ⁠Wachezaji wetu wanaletwa wakiwa wazuri lkn baada ya muda wanaonekana wachezaji wa mchongo tu kwa sababu hawafanyiwi dua zinazoeleweka kama zile za Kurujuani

8. ⁠Waambieni kweli mashabiki na wanachama kuwa kubeba ndoo msimu huu sio kweli labda GSM aache udhamini ajiondoe Yanga

9. ⁠Kuweni na utamaduni wa kuwajibika ili wenye uwezo kiutendaji walete furaha ndani ya timu yetu

10. ⁠Kocha Fahdu anaweza kuwa kocha mzuri lakini kwa mazingira ya kikwetu ameshaonyesha kufeli, mfano leo Ahoua hakuwa kabisa na kiwango lakini amemuacha hadi mwisho tukakamata sare

11. ⁠Msikasirike tukiwaambia ukweli mfano mm leo kila nnachokifanya hakikai sawa nikifiria sare ya leo, kula ctamani, nyapu sina hamu nayo, simu sina raha nayo kwa sababu ya matusi mitandaoni huku nyie mnakula maisha tu bila hofu wala nini.

12. ⁠Mechi za mikoani ni ngumu sana fanyeni mpango wa kusaka kocha mwingine na mrudisheni Juma Mgunda, mmemuondoa Simba Queens kiubinafsi sana.

13. ⁠Kocha Fahdu anaweza kuipa ubingwa Yanga mapema sana kama ataendelea kufanya mzaha katika upangaji wa kikosi.

14. ⁠Kocha aambiwe akina Chasambi na Karabaka wanahitaji kucheza sio kuua viwango vyao halafu yeye arudi kwao sauzi.

15. ⁠Tujenge uwanja wetu vinginevyo viwanja vyote vitawekwa miba hadi tushike adabu yetu, mfano mabao aliyofungwa Camara leo ni jini mtupu yule wala sio mabao, yeye mwenyewe ameshangaa ghafla tu goli
Hivi ni ile sare na Coast Union inayowaanya kila baada ya lisaa mfungue nyuzi? Au baada ya ile mechi usiku Simba ilienda kucheza mechi nyingine na yenyewe mkafungwa?

Mashabiki wa Yanga na Simba mna shida kubwa sana, na sijui ilikuwaje mkaanza kushabikia soka.

Wenzenu Yanga nao naona walishajazwa mtaroni nao wakajaa, timu inashinda wakawa wanajazwa eti ushindi ni mdogo sana inaonekana timu imeshuka kiwango, wakajaa wakawa hawana amani wakaanza minong'ono.

Halafu soma vizuri ulichokiandika, umeandika "mambo 15 ya kuwashauri Simba", lakini nikiangalia hayafiki 15. Mfano hilo la kwanza; "Mikakati ya Yanga ni migumu nyie kuijua hivyo Yanga anaweza kubeba ndoo miaka 10 mfululizo". Huu siyo ushauri, hii ni taarifa.

Kuna mengine 6 na kufanya jumla yake kuwa 7 ambayo yote ni mchanganyiko wa malalamiko na taarifa tu, siyo ushauri.
 
Hivi ni ile sare na Coast Union inayowaanya kila baada ya lisaa mfungue nyuzi? Au baada ya ile mechi usiku Simba ilienda kucheza mechi nyingine na yenyewe mkafungwa?

Mashabiki wa Yanga na Simba mna shida kubwa sana, na sijui ilikuwaje mkaanza kushabikia soka.

Wenzenu Yanga nao naona walishajazwa mtaroni nao wakajaa, timu inashinda wakawa wanajazwa eti ushindi ni mdogo sana inaonekana timu imeshuka kiwango, wakajaa wakawa hawana amani wakaanza minong'ono.

Halafu soma vizuri ulichokiandika, umeamdika "mambo 15 ya kuwashauri Simba", lakini nikiangalia hayafiki 15. Mfano hilo la kwanza; "Mikakati ya Yanga ni migumu nyie kuijua hivyo Yanga anaweza kubeba ndoo miaka 10 mfululizo". Huu siyo ushauri, hii ni taarifa.

Kuna mengine 6 na kufanya jumla yake kuwa 7 ambayo yote ni mchanganyiko wa malalamiko na taarifa tu, siyo ushauri.
Tumsamehe mleta post, kipindi ana post alikua kichakani anakata gogo, ili akawashe moto.
 
Hapana tatzo mashabiki tunataka timu zetu zishinde kila siku. Mm ni yanga ila mpira walio cheza simba kipindi cha kwanza ata tungekuwa sisi yanga tunge haa
Sahihi kabisa! Mimi ni Yanga 110% lakini niliiona uhai mwingi kwenye uchezaji wa Simba.
Simba kikosi kinaboreka wakati Yanga kina dhoofika!

Mkiwapa pressure hizo mbili wachezaji wenu watapoteana sana!
 
mtoa mada unaonyesha kias gan shabik wa simba na yanga ila aio shabik wa mpira wa miguu umecoment ki simba yanga ila unge coment ki football usingeona wachezaj hawafai kwa droo 1 wangeshinda ungekuj na uzi wako ambao auhakis dunia ya soka ilivo ungekua unatazama na lig ya uingereza ufaransa italy ujerman spain usingekua mwana michezo wa kienyej kias hik kushinda kupo ku droo kupo ka droo mancty na asernal ikiw ina upnguf wa mchezaj jana man u ka droo na porto juz bayan kafungwa na aston vila madrid na mbape na top star player kafungwa 1bila na lile yenye kikos cha buku 3 mashabik wake awajaj na uzi cz wanajua what is futbal kuna sik upo saw kuna kidroo kufngwa ila wanahukum tim inapokos kombe si kwa sare 1 au kufungw x2 mar 3 na unakut uwanja unajaa kilabsiku tim ht inaofanya vbay km manchester ila simba akifngwa mech 3 au mbil mashabk hawaend uwanjan hawanui tket socer lina forum zake jfunze uachan na mambo ya kienyej kam hay mashabik wasiojua soka dizain yenu ndio yanazfanya simba na yanga zidumae zisiend levo za mamelod na al ahly ajil mnatia presha viongoz tim ht ikisale wachezaj washakua wabay kocha afai tunalogwa tunahujumiana manura anamloga diara yn blabla bla
Duh!
 
Mambo 15 ya kuwashauri viongozi wa Simba

1. Mikakati ya Yanga ni migumu nyie kuijua hivyo Yanga anaweza kubeba ndoo miaka 10 mfululizo

2. ⁠Msitumie neno Ubaya Ubwela vibaya coz mwisho wa msimu mtakosa cha kutuambia mashabiki wenu

3. ⁠Bado kuna wanafiki wapiga dili ndani ya timu yetu ambao sio waadilifu na waaminifu

4. ⁠Kama tunashindwa kuzifunga timu zenye udhamini wa GSM hivi mbabe wa vita mwenyewe tutamweza kweli hiyo Oktoba 19 au tujiandae kudhalilika tena

5. ⁠Wachezaji kama Ahoua, Chamou, Mutale, Valentino Nouma, Mukwala wameshindwa kuisaidia timu yetu watafute changamoto nyingine

6. ⁠Timu yetu haina wataalamu wazuri nje ya uwanja mfano mechi ya Coastal kuna kitu kilichimbiwa goli la Coastal na mashabiki walikiona Ila nyie mkaona sawa tu

7. ⁠Wachezaji wetu wanaletwa wakiwa wazuri lkn baada ya muda wanaonekana wachezaji wa mchongo tu kwa sababu hawafanyiwi dua zinazoeleweka kama zile za Kurujuani

8. ⁠Waambieni kweli mashabiki na wanachama kuwa kubeba ndoo msimu huu sio kweli labda GSM aache udhamini ajiondoe Yanga

9. ⁠Kuweni na utamaduni wa kuwajibika ili wenye uwezo kiutendaji walete furaha ndani ya timu yetu

10. ⁠Kocha Fahdu anaweza kuwa kocha mzuri lakini kwa mazingira ya kikwetu ameshaonyesha kufeli, mfano leo Ahoua hakuwa kabisa na kiwango lakini amemuacha hadi mwisho tukakamata sare

11. ⁠Msikasirike tukiwaambia ukweli mfano mm leo kila nnachokifanya hakikai sawa nikifiria sare ya leo, kula ctamani, nyapu sina hamu nayo, simu sina raha nayo kwa sababu ya matusi mitandaoni huku nyie mnakula maisha tu bila hofu wala nini.

12. ⁠Mechi za mikoani ni ngumu sana fanyeni mpango wa kusaka kocha mwingine na mrudisheni Juma Mgunda, mmemuondoa Simba Queens kiubinafsi sana.

13. ⁠Kocha Fahdu anaweza kuipa ubingwa Yanga mapema sana kama ataendelea kufanya mzaha katika upangaji wa kikosi.

14. ⁠Kocha aambiwe akina Chasambi na Karabaka wanahitaji kucheza sio kuua viwango vyao halafu yeye arudi kwao sauzi.

15. ⁠Tujenge uwanja wetu vinginevyo viwanja vyote vitawekwa miba hadi tushike adabu yetu, mfano mabao aliyofungwa Camara leo ni jini mtupu yule wala sio mabao, yeye mwenyewe ameshangaa ghafla tu goli
16.yanga bingwa
 
Mambo 15 ya kuwashauri viongozi wa Simba

1. Mikakati ya Yanga ni migumu nyie kuijua hivyo Yanga anaweza kubeba ndoo miaka 10 mfululizo

2. ⁠Msitumie neno Ubaya Ubwela vibaya coz mwisho wa msimu mtakosa cha kutuambia mashabiki wenu

3. ⁠Bado kuna wanafiki wapiga dili ndani ya timu yetu ambao sio waadilifu na waaminifu

4. ⁠Kama tunashindwa kuzifunga timu zenye udhamini wa GSM hivi mbabe wa vita mwenyewe tutamweza kweli hiyo Oktoba 19 au tujiandae kudhalilika tena

5. ⁠Wachezaji kama Ahoua, Chamou, Mutale, Valentino Nouma, Mukwala wameshindwa kuisaidia timu yetu watafute changamoto nyingine

6. ⁠Timu yetu haina wataalamu wazuri nje ya uwanja mfano mechi ya Coastal kuna kitu kilichimbiwa goli la Coastal na mashabiki walikiona Ila nyie mkaona sawa tu

7. ⁠Wachezaji wetu wanaletwa wakiwa wazuri lkn baada ya muda wanaonekana wachezaji wa mchongo tu kwa sababu hawafanyiwi dua zinazoeleweka kama zile za Kurujuani

8. ⁠Waambieni kweli mashabiki na wanachama kuwa kubeba ndoo msimu huu sio kweli labda GSM aache udhamini ajiondoe Yanga

9. ⁠Kuweni na utamaduni wa kuwajibika ili wenye uwezo kiutendaji walete furaha ndani ya timu yetu

10. ⁠Kocha Fahdu anaweza kuwa kocha mzuri lakini kwa mazingira ya kikwetu ameshaonyesha kufeli, mfano leo Ahoua hakuwa kabisa na kiwango lakini amemuacha hadi mwisho tukakamata sare

11. ⁠Msikasirike tukiwaambia ukweli mfano mm leo kila nnachokifanya hakikai sawa nikifiria sare ya leo, kula ctamani, nyapu sina hamu nayo, simu sina raha nayo kwa sababu ya matusi mitandaoni huku nyie mnakula maisha tu bila hofu wala nini.

12. ⁠Mechi za mikoani ni ngumu sana fanyeni mpango wa kusaka kocha mwingine na mrudisheni Juma Mgunda, mmemuondoa Simba Queens kiubinafsi sana.

13. ⁠Kocha Fahdu anaweza kuipa ubingwa Yanga mapema sana kama ataendelea kufanya mzaha katika upangaji wa kikosi.

14. ⁠Kocha aambiwe akina Chasambi na Karabaka wanahitaji kucheza sio kuua viwango vyao halafu yeye arudi kwao sauzi.

15. ⁠Tujenge uwanja wetu vinginevyo viwanja vyote vitawekwa miba hadi tushike adabu yetu, mfano mabao aliyofungwa Camara leo ni jini mtupu yule wala sio mabao, yeye mwenyewe ameshangaa ghafla tu goli
Bado hamjasema, mpaka mseme.
 
Back
Top Bottom