Point namba 8 ndio ya muhimu sana kwa wanaoanza biashara. Hizo zingine zinajazia. Nashukuru nimepata kitu.
NB: Adui yangu namba moja wakati naanza biashara yangu January mwaka jana alikuwa ni TRA. Yani badala ya kukupa hamasa ya kuanza biashara anahangaika na kukukadiria kiwango cha kodi kikubwa wakati bado hata mzunguko wa biashara haujatulia. Anyway, pamoja na yote hayo bado nadunda hadi lengo langu litimie.