cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Mmmmh huu sasa uongo, LolHawaamini ktk kujitawaza baada ya haja kubw, kushika kinyes ni Lana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmh huu sasa uongo, LolHawaamini ktk kujitawaza baada ya haja kubw, kushika kinyes ni Lana
Aisee maeneo ya shambani kule liweta zamani kulikuwa na ngedere wengi,lakini walipoingia wamatengo kulima, ngedere wote wameisha
Shughuli za wamatengo mfano msiba au sherehe kupika kitimoto ni jambo la kawaida kabisa
Upo sahihi kabisa mkuuu. Mayani gapata tabu sana Kwa vamatenguUwepo wa mmatengo huwa ni tishio kwa usalama wa nyani na ngedere.