Mambo 5 mwanamke hapaswi kumwambia mume wako! Never!

Mambo 5 mwanamke hapaswi kumwambia mume wako! Never!

Mama mmoja tuliwahi kufanya naye kazi ofisi moja, ilikuwa mara kwa mara anafunguka kuhusu habari za familia yake hadi za chumbani. Anafika asubuhi yuko na mnuno mmoja wa hatari....kwa madai ya kwamba eti jana yake usiku mumewe alimtaka akampa halafu asubuhi tena mumewe anataka tena lakini yeye kamnyima. Mtu anayeelezea hadi size ya uboor wa mumewe!!

Unamtazama unamtafakari kisha unamuacha na mipasho yake unaendelea na kazi zako.
huyo mama namjua nitaenda kusema umemwanika huku😂🙌🏾ila alizingua hadi size ya dusheleleee
 
labda kam gari halijawashwa il kama ufunguo umesha kekenya kila kitu kitakuwa waz haina ubishi
 
huyo mama namjua nitaenda kusema umemwanika huku😂🙌🏾ila alizingua hadi size ya dusheleleee
Baadhi ya wanawake wanafyatuka mambo yasiyostahili kuhadithia hata kwa rafiki yake. Akikonyezwa tu huko keshafyatuka, akigongwa huko na mume wake lazima afyatuke. Ni shida
 
 
Baadhi ya wanawake wanafyatuka mambo yasiyostahili kuhadithia hata kwa rafiki yake. Akikonyezwa tu huko keshafyatuka, akigongwa huko na mume wake lazima afyatuke. Ni shida
huo uchizi sasa khaah,,basi wawe wanafanya tu hadharan coz sio faragha tena.
 
Wanawake gani hao unawaambia haya mambo? Wenzako wako mbele balaa wanasuguana wao kwa wao, hivi wewe bado uko local sana nini, mume ni nani wakati wazazi tu wanakemewa au hawasikilizwi ng’o, dawa ya mwanamke ajue kabisa mume wake akimzingua anapata adhabu au moto mkubwa utamwakia ikiwa pamoja na kurudishwa kwao haraka..!! Na mwanaume hata kama unampenda mkeo acha kucheka cheka hovyo, atakudharau, wakati mwingine cheka nae shortly, ila akikuangalia anajua kabisa hili jamaa nilizingua tu analianzisha moto mbaya sana… codes zako hazisomi kwake.. Ujue hapo maisha yatakuwepo..!!
Wakaka mnakuwa wakali namna hii, hivi kweli mkeo atakuelewa.
Wanawake tupo tulio tulia, mi nadhani labda umekutana na waliochoka maisha.
Mwanamke anataka kubembelezzwa na kuchukuliwa kama mtoto.
 
Ukiwa na mwanamke ukamuliza idadi akakutajia kuanzia watatu oa huyo ni wife material!!
Kina Sisi idadi yetu ni moja Tu mmoja!!
Na mwanaume anayeuliza maswali ya hivyo hamnazo huyo!!!chenga kabisa
 
1. Bikra yangu ilitoka na baiskeli
2. Kwakuwa hujanikuta bikra ww ni wa pili
3. 🤐
4. 🤐
5. Sitokuja kufanya hivyo, mimi napenda sana wamama..!! Hata akinichukia nitazidi kumpenda mpk ataona aibu.
6. Nitajua nikifika ndani ya ndoa ( Huwezi kujua uchungu wa kunguni usiowalalia)
 
6 usijifanye mjuaji wa kila kitu, hata kama kitu/sehemu unaijua jifanye mjinga
ukijidai unazijua sehemu kibao atakuona malaya hata kama siyo
Nilikuwa na demu fulani nikashangaa alivyo jasiri wa kutembea usiku tena kwenye vichochoro ambavyo wanaume wengi wataogopa kukatisha. Halafu sehemu za starehe anazijua karibu zote, kwenye kitongoji anachokaa. Baade nikaja kugundua kuwa ni kahaba.
 
Umekuta Mlango uko wazi alaf unauliza nan alikutoa bikra khaaa....we piga mkuu ila acha kumuonea wivu
 
1. Bikra yangu ilitoka na baiskeli
2. Kwakuwa hujanikuta bikra ww ni wa pili
3. 🤐
4. 🤐
5. Sitokuja kufanya hivyo, mimi napenda sana wamama..!! Hata akinichukia nitazidi kumpenda mpk ataona aibu.
6. Nitajua nikifika ndani ya ndoa ( Huwezi kujua uchungu wa kunguni usiowalalia)
Hiyo namba 5 huyu mtu wangu kafeli kabisa...bahati mbaya ni muhaya,aysee hii kitu inanikera sana...na asipoangalia nampiga chini kwa sababu ya hili! Kabisa wallahi
 
Ila ili kuepukana na yote muoe mwanamke mwenye bikra tu ndoa hizi zinatulia sana

Mwanamke kapitiwa na watu zaidi wa watatu wanini huyo
 
Back
Top Bottom