Mambo 5 mwanamke hapaswi kumwambia mume wako! Never!

unaongea na hawa wadada wenye midomo kama chiriku mdomo propera,mdomo unaongea mpk unajiuma wenyewe! halafu akijiuma anasema ati mdomo umeji-restart!..πŸ˜‚
Hahahahahah. Dah. Mbona kujirestart. !!
 
unaongea na hawa wadada wenye midomo kama chiriku mdomo propera,mdomo unaongea mpk unajiuma wenyewe! halafu akijiuma anasema ati mdomo umeji-restart!..πŸ˜‚
🀣🀣🀣🀣🀭
 
Wanawake wa kuoa walikufa wakati wa vita vya maji maji wamebakia wa haki sawa
 
Ana roho mbaya hajui mama kabeba baraka nyingi za watoto wake!! Mwambiea aache chuki
Ni mjinga sana...sijui ana wenge gani?! Kila siku namwambia no matter what happens heshima iwepo pale pale! Nadhani ni wale wanawake ambao wanaingia ndoani wakiwa na baadhi na notions kichwani kuhusu ndoa! Ni mjinga sana aysee na ninamuonea huruma kwa nitakachomfanyia!analeta uhaya me mnyakyusa! Atajuta
 
Basi hiyo ndoa ngumu ulivyosema Mnyaki na Muhaya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Bora muhaya angeoa mnyaki angepretend nidhamu ya kinafiki sababu wanyaki kwa maigizo wako vzr. Ila huyo muhaya lazima mshindwane.!! Muwe mnauliza wazee kabla ya kuoa
 
Basi hiyo ndoa ngumu ulivyosema Mnyaki na Muhaya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Bora muhaya angeoa mnyaki angepretend nidhamu ya kinafiki sababu wanyaki kwa maigizo wako vzr. Ila huyo muhaya lazima mshindwane.!! Muwe mnauliza wazee kabla ya kuoa
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€hamna ugumu wowote,nshammudu huyu...kuna mfumo ameshajaa na atapata fundisho la milele na kutuliza mshono! Though ni hardway kwake kwenye kujifunza ila hamna namna,its the only way
 
unaongea na hawa wadada wenye midomo kama chiriku mdomo propera,mdomo unaongea mpk unajiuma wenyewe! halafu akijiuma anasema ati mdomo umeji-restart!..πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
unaongea na hawa wadada wenye midomo kama chiriku mdomo propera,mdomo unaongea mpk unajiuma wenyewe! halafu akijiuma anasema ati mdomo umeji-restart!..πŸ˜‚
We Pasko Busenga nilikuwa sijapata time ya kufuatilia coment zako kumbe unaweza kuziba pengo la Max? Unachekesha sana but hiyo ni talent kubwa sana.
 
We Pasko Busenga nilikuwa sijapata time ya kufuatilia coment zako kumbe unaweza kuziba pengo la Max? Unachekesha sana but hiyo ni talent kubwa sana.
mh! mi ni kenzy na sizibi pengo la mtu ahsante kwa talentl
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…