Mambo 5 ya kufanya ukiwa umechoka kila kitu

Mambo 5 ya kufanya ukiwa umechoka kila kitu

Habari wakuu,

Nini cha kufanya ukiwa umechoka na kila kitu?

Katika maisha kila mtu huexperience maisha kwa mtindo wake wapo ambao huona maisha ni mazuri wapo ambao huona maisha ni kawaida na wapo ambao huona maisha ni machungu'-

Makundi yote matatu ya watu hawa basi hufikia sehemu mwili hukosa amani kila kona na kupelekea akili kukosa ufanisi mzuri huenda ikawa ni siku nzima ama wiki nzima au mwezi mzima hadi pale linapotokea jambo la kushtua akili yake na kuanza kuishughulisha.

Kufupisha maelezo kulingana na uchovu ulionao muda huu hata wa kusoma thread hii basi nikujuze ni mambo gani matano ya kufanya ukiwa umechoka kila kitu.

1: KWENDA MIAYO (Yawning)
Hii njia husaidia mtu ambaye kachoka akili na pia anakosa hata nafasi ya kuipa fikra mpya akili yake basi Ikiwa unajihisi umechoka kila kitu na hata akili haifanyi kazi vizuri na hata usingizi hauji pia basi nenda miayo ambayo sio ya asili mara 3 na moja kwa moja utaanza kuona miayo inakuja yenyewe kwa mfululizo mara nyingi.
Miayo husaidia ufunguzi wa akili na mawazo mapya na kupoteza ama kuanzisha jipya tofauti na lile uliyokuwa ukifikiria ukipiga Mingi zaidi basi moja kwa moja hata kama huna usingizi macho yataleta kishawishi kikubwa cha kulala.

2: KUFUTA PAJI LA USO
Hii njia husaidia mtu ambaye anakuwa kachoka mwili na kuanza kupata maumivu ya kichwa kama kipanda uso basi kwa hakika yoyote mwenye kusugua mafundo ya viganja vyake na kupata umoto kisha akabandika kwenye macho yake huku kafumba na kupandisha kwenye paji lake la uso akifanya hivyo mara saba moja kwa moja kipanda uso kitaisha vile vile kwa mtu mwenye kisirani.

3: KUVUTA PUMZI
Ikiwa mtu atakuwa kachoka kiroho yaani mtu mwenye kuchoka hadi kufikia hatua ya kuona suluhu ni kujiua basi ni vema zaidi akavuta pumzi ndefu puani kwa sauti na kisha akatoa kwa sauti mdomoni mara saba moja kwa moja hata waza tena kujiua na ataanza kuogopa kujitoa nafsi yake mwenyewe na ataepukana na kukata tamaa.

4: KUONGEA NA ROHO:
Kila kiumbe hai kina roho hivyo ikiwa uchovu wako umesababishwa na jambo moja tu lenye kujirudia kila mara basi ni vevma zaidi ukaongea na Roho (Mungu/Malaika/Jini/Shetani/roho yako mwenyewe) nimejaza roho hizo kwa maana kila mtu ana imani yake hivyo ukiwa uchovu wako unasababishwa na mikwamo ya kila kitu basi fumba macho na ongea na kichwa chako mithili kwa wenye imani ya Mungu unaweza kusema.
"Hakika hakuna anayejua yaliyopo rohoni na moyoni kwangu Isipokuwa wewe uliyenipa roho na kuniumba wewe unajua nini mimi nataka na nini mimi sitaki, unajua hasa ni ipi dhamira yangu ikiwa ni nzuri unajua mwanzo na mwisho wake na ikiwa mbaya unajua mwanzo na mwisho wake na hakika hili umenijalia wewe na utanisaidia wewe" Kisha sikiliza majibu.

5: KUJICHEKA AU KUCHEKA:
Ikiwa uchovu wako umetokana na hasira au kisirani au jeuri na kiburi basi kaa pembeni faragha peke yako kisha anza kujicheka au cheka na hakikisha kicheko chako kinakuwa straight yaani kisiwe cha uongo kama vile mambo yakikupiga na ukakosa raha na ukaanza kulia basi kaa vile vile na ujicheke mwenyewe kwa maana mkwamo mkubwa wa maisha na uchovu huletwa na kukosa furaha na furaha humuweka mtu karibu na malaika na huzuni humuweka mtu karibu na shetani. Hivyo ni vyema kucheka peke yako kama vile unavyolia peke yako hii itamfanya shetani wako akuone wewe ni mwehu na akukimbie kwa maana mitihani anayokuletea mategemeo yake uadhirike na uchukie hukumu za Mungu wako sasa anaona unafurahia matatizo muda huo yeye ndio atanuna. hii ni msaada pia kwa watu wenye msongo wa mawazo.

Chanzo:
Vitabu elfu vya maarifa

Rakims

Hili andiko limenilenga! Asante
 
Habari wakuu,

Nini cha kufanya ukiwa umechoka na kila kitu?

Katika maisha kila mtu huexperience maisha kwa mtindo wake wapo ambao huona maisha ni mazuri wapo ambao huona maisha ni kawaida na wapo ambao huona maisha ni machungu'-

Makundi yote matatu ya watu hawa basi hufikia sehemu mwili hukosa amani kila kona na kupelekea akili kukosa ufanisi mzuri huenda ikawa ni siku nzima ama wiki nzima au mwezi mzima hadi pale linapotokea jambo la kushtua akili yake na kuanza kuishughulisha.

Kufupisha maelezo kulingana na uchovu ulionao muda huu hata wa kusoma thread hii basi nikujuze ni mambo gani matano ya kufanya ukiwa umechoka kila kitu.

1: KWENDA MIAYO (Yawning)
Hii njia husaidia mtu ambaye kachoka akili na pia anakosa hata nafasi ya kuipa fikra mpya akili yake basi Ikiwa unajihisi umechoka kila kitu na hata akili haifanyi kazi vizuri na hata usingizi hauji pia basi nenda miayo ambayo sio ya asili mara 3 na moja kwa moja utaanza kuona miayo inakuja yenyewe kwa mfululizo mara nyingi.
Miayo husaidia ufunguzi wa akili na mawazo mapya na kupoteza ama kuanzisha jipya tofauti na lile uliyokuwa ukifikiria ukipiga Mingi zaidi basi moja kwa moja hata kama huna usingizi macho yataleta kishawishi kikubwa cha kulala.

2: KUFUTA PAJI LA USO
Hii njia husaidia mtu ambaye anakuwa kachoka mwili na kuanza kupata maumivu ya kichwa kama kipanda uso basi kwa hakika yoyote mwenye kusugua mafundo ya viganja vyake na kupata umoto kisha akabandika kwenye macho yake huku kafumba na kupandisha kwenye paji lake la uso akifanya hivyo mara saba moja kwa moja kipanda uso kitaisha vile vile kwa mtu mwenye kisirani.

3: KUVUTA PUMZI
Ikiwa mtu atakuwa kachoka kiroho yaani mtu mwenye kuchoka hadi kufikia hatua ya kuona suluhu ni kujiua basi ni vema zaidi akavuta pumzi ndefu puani kwa sauti na kisha akatoa kwa sauti mdomoni mara saba moja kwa moja hata waza tena kujiua na ataanza kuogopa kujitoa nafsi yake mwenyewe na ataepukana na kukata tamaa.

4: KUONGEA NA ROHO:
Kila kiumbe hai kina roho hivyo ikiwa uchovu wako umesababishwa na jambo moja tu lenye kujirudia kila mara basi ni vevma zaidi ukaongea na Roho (Mungu/Malaika/Jini/Shetani/roho yako mwenyewe) nimejaza roho hizo kwa maana kila mtu ana imani yake hivyo ukiwa uchovu wako unasababishwa na mikwamo ya kila kitu basi fumba macho na ongea na kichwa chako mithili kwa wenye imani ya Mungu unaweza kusema.
"Hakika hakuna anayejua yaliyopo rohoni na moyoni kwangu Isipokuwa wewe uliyenipa roho na kuniumba wewe unajua nini mimi nataka na nini mimi sitaki, unajua hasa ni ipi dhamira yangu ikiwa ni nzuri unajua mwanzo na mwisho wake na ikiwa mbaya unajua mwanzo na mwisho wake na hakika hili umenijalia wewe na utanisaidia wewe" Kisha sikiliza majibu.

5: KUJICHEKA AU KUCHEKA:
Ikiwa uchovu wako umetokana na hasira au kisirani au jeuri na kiburi basi kaa pembeni faragha peke yako kisha anza kujicheka au cheka na hakikisha kicheko chako kinakuwa straight yaani kisiwe cha uongo kama vile mambo yakikupiga na ukakosa raha na ukaanza kulia basi kaa vile vile na ujicheke mwenyewe kwa maana mkwamo mkubwa wa maisha na uchovu huletwa na kukosa furaha na furaha humuweka mtu karibu na malaika na huzuni humuweka mtu karibu na shetani. Hivyo ni vyema kucheka peke yako kama vile unavyolia peke yako hii itamfanya shetani wako akuone wewe ni mwehu na akukimbie kwa maana mitihani anayokuletea mategemeo yake uadhirike na uchukie hukumu za Mungu wako sasa anaona unafurahia matatizo muda huo yeye ndio atanuna. hii ni msaada pia kwa watu wenye msongo wa mawazo.

Chanzo:
Vitabu elfu vya maarifa

Rakims
elimu nzr nmeipenda pmj mkuu[emoji120]
 
Kukaa na watoto kunasaidia sana. Wanakukumbusha ulivyokuwa mtoto kipindi hukujua chochote wala kujali chochote na bado ukawa na furaha isiyo na kikomo bila sababu, kwamba maisha hayahitaji userious sana.
 
Habari wakuu,

Nini cha kufanya ukiwa umechoka na kila kitu?

Katika maisha kila mtu huexperience maisha kwa mtindo wake wapo ambao huona maisha ni mazuri wapo ambao huona maisha ni kawaida na wapo ambao huona maisha ni machungu'-

Makundi yote matatu ya watu hawa basi hufikia sehemu mwili hukosa amani kila kona na kupelekea akili kukosa ufanisi mzuri huenda ikawa ni siku nzima ama wiki nzima au mwezi mzima hadi pale linapotokea jambo la kushtua akili yake na kuanza kuishughulisha.

Kufupisha maelezo kulingana na uchovu ulionao muda huu hata wa kusoma thread hii basi nikujuze ni mambo gani matano ya kufanya ukiwa umechoka kila kitu.

1: KWENDA MIAYO (Yawning)
Hii njia husaidia mtu ambaye kachoka akili na pia anakosa hata nafasi ya kuipa fikra mpya akili yake basi Ikiwa unajihisi umechoka kila kitu na hata akili haifanyi kazi vizuri na hata usingizi hauji pia basi nenda miayo ambayo sio ya asili mara 3 na moja kwa moja utaanza kuona miayo inakuja yenyewe kwa mfululizo mara nyingi.
Miayo husaidia ufunguzi wa akili na mawazo mapya na kupoteza ama kuanzisha jipya tofauti na lile uliyokuwa ukifikiria ukipiga Mingi zaidi basi moja kwa moja hata kama huna usingizi macho yataleta kishawishi kikubwa cha kulala.

2: KUFUTA PAJI LA USO
Hii njia husaidia mtu ambaye anakuwa kachoka mwili na kuanza kupata maumivu ya kichwa kama kipanda uso basi kwa hakika yoyote mwenye kusugua mafundo ya viganja vyake na kupata umoto kisha akabandika kwenye macho yake huku kafumba na kupandisha kwenye paji lake la uso akifanya hivyo mara saba moja kwa moja kipanda uso kitaisha vile vile kwa mtu mwenye kisirani.

3: KUVUTA PUMZI
Ikiwa mtu atakuwa kachoka kiroho yaani mtu mwenye kuchoka hadi kufikia hatua ya kuona suluhu ni kujiua basi ni vema zaidi akavuta pumzi ndefu puani kwa sauti na kisha akatoa kwa sauti mdomoni mara saba moja kwa moja hata waza tena kujiua na ataanza kuogopa kujitoa nafsi yake mwenyewe na ataepukana na kukata tamaa.

4: KUONGEA NA ROHO:
Kila kiumbe hai kina roho hivyo ikiwa uchovu wako umesababishwa na jambo moja tu lenye kujirudia kila mara basi ni vevma zaidi ukaongea na Roho (Mungu/Malaika/Jini/Shetani/roho yako mwenyewe) nimejaza roho hizo kwa maana kila mtu ana imani yake hivyo ukiwa uchovu wako unasababishwa na mikwamo ya kila kitu basi fumba macho na ongea na kichwa chako mithili kwa wenye imani ya Mungu unaweza kusema.
"Hakika hakuna anayejua yaliyopo rohoni na moyoni kwangu Isipokuwa wewe uliyenipa roho na kuniumba wewe unajua nini mimi nataka na nini mimi sitaki, unajua hasa ni ipi dhamira yangu ikiwa ni nzuri unajua mwanzo na mwisho wake na ikiwa mbaya unajua mwanzo na mwisho wake na hakika hili umenijalia wewe na utanisaidia wewe" Kisha sikiliza majibu.

5: KUJICHEKA AU KUCHEKA:
Ikiwa uchovu wako umetokana na hasira au kisirani au jeuri na kiburi basi kaa pembeni faragha peke yako kisha anza kujicheka au cheka na hakikisha kicheko chako kinakuwa straight yaani kisiwe cha uongo kama vile mambo yakikupiga na ukakosa raha na ukaanza kulia basi kaa vile vile na ujicheke mwenyewe kwa maana mkwamo mkubwa wa maisha na uchovu huletwa na kukosa furaha na furaha humuweka mtu karibu na malaika na huzuni humuweka mtu karibu na shetani. Hivyo ni vyema kucheka peke yako kama vile unavyolia peke yako hii itamfanya shetani wako akuone wewe ni mwehu na akukimbie kwa maana mitihani anayokuletea mategemeo yake uadhirike na uchukie hukumu za Mungu wako sasa anaona unafurahia matatizo muda huo yeye ndio atanuna. hii ni msaada pia kwa watu wenye msongo wa mawazo.

Chanzo:
Vitabu elfu vya maarifa

Rakims
🙏🙏🙏
 
Habari wakuu,

Nini cha kufanya ukiwa umechoka na kila kitu?

Katika maisha kila mtu huexperience maisha kwa mtindo wake wapo ambao huona maisha ni mazuri wapo ambao huona maisha ni kawaida na wapo ambao huona maisha ni machungu'-

Makundi yote matatu ya watu hawa basi hufikia sehemu mwili hukosa amani kila kona na kupelekea akili kukosa ufanisi mzuri huenda ikawa ni siku nzima ama wiki nzima au mwezi mzima hadi pale linapotokea jambo la kushtua akili yake na kuanza kuishughulisha.

Kufupisha maelezo kulingana na uchovu ulionao muda huu hata wa kusoma thread hii basi nikujuze ni mambo gani matano ya kufanya ukiwa umechoka kila kitu.

1: KWENDA MIAYO (Yawning)
Hii njia husaidia mtu ambaye kachoka akili na pia anakosa hata nafasi ya kuipa fikra mpya akili yake basi Ikiwa unajihisi umechoka kila kitu na hata akili haifanyi kazi vizuri na hata usingizi hauji pia basi nenda miayo ambayo sio ya asili mara 3 na moja kwa moja utaanza kuona miayo inakuja yenyewe kwa mfululizo mara nyingi.
Miayo husaidia ufunguzi wa akili na mawazo mapya na kupoteza ama kuanzisha jipya tofauti na lile uliyokuwa ukifikiria ukipiga Mingi zaidi basi moja kwa moja hata kama huna usingizi macho yataleta kishawishi kikubwa cha kulala.

2: KUFUTA PAJI LA USO
Hii njia husaidia mtu ambaye anakuwa kachoka mwili na kuanza kupata maumivu ya kichwa kama kipanda uso basi kwa hakika yoyote mwenye kusugua mafundo ya viganja vyake na kupata umoto kisha akabandika kwenye macho yake huku kafumba na kupandisha kwenye paji lake la uso akifanya hivyo mara saba moja kwa moja kipanda uso kitaisha vile vile kwa mtu mwenye kisirani.

3: KUVUTA PUMZI
Ikiwa mtu atakuwa kachoka kiroho yaani mtu mwenye kuchoka hadi kufikia hatua ya kuona suluhu ni kujiua basi ni vema zaidi akavuta pumzi ndefu puani kwa sauti na kisha akatoa kwa sauti mdomoni mara saba moja kwa moja hata waza tena kujiua na ataanza kuogopa kujitoa nafsi yake mwenyewe na ataepukana na kukata tamaa.

4: KUONGEA NA ROHO:
Kila kiumbe hai kina roho hivyo ikiwa uchovu wako umesababishwa na jambo moja tu lenye kujirudia kila mara basi ni vevma zaidi ukaongea na Roho (Mungu/Malaika/Jini/Shetani/roho yako mwenyewe) nimejaza roho hizo kwa maana kila mtu ana imani yake hivyo ukiwa uchovu wako unasababishwa na mikwamo ya kila kitu basi fumba macho na ongea na kichwa chako mithili kwa wenye imani ya Mungu unaweza kusema.
"Hakika hakuna anayejua yaliyopo rohoni na moyoni kwangu Isipokuwa wewe uliyenipa roho na kuniumba wewe unajua nini mimi nataka na nini mimi sitaki, unajua hasa ni ipi dhamira yangu ikiwa ni nzuri unajua mwanzo na mwisho wake na ikiwa mbaya unajua mwanzo na mwisho wake na hakika hili umenijalia wewe na utanisaidia wewe" Kisha sikiliza majibu.

5: KUJICHEKA AU KUCHEKA:
Ikiwa uchovu wako umetokana na hasira au kisirani au jeuri na kiburi basi kaa pembeni faragha peke yako kisha anza kujicheka au cheka na hakikisha kicheko chako kinakuwa straight yaani kisiwe cha uongo kama vile mambo yakikupiga na ukakosa raha na ukaanza kulia basi kaa vile vile na ujicheke mwenyewe kwa maana mkwamo mkubwa wa maisha na uchovu huletwa na kukosa furaha na furaha humuweka mtu karibu na malaika na huzuni humuweka mtu karibu na shetani. Hivyo ni vyema kucheka peke yako kama vile unavyolia peke yako hii itamfanya shetani wako akuone wewe ni mwehu na akukimbie kwa maana mitihani anayokuletea mategemeo yake uadhirike na uchukie hukumu za Mungu wako sasa anaona unafurahia matatizo muda huo yeye ndio atanuna. hii ni msaada pia kwa watu wenye msongo wa mawazo.

Chanzo:
Vitabu elfu vya maarifa

Rakims
Umeongea vizuri sana na ni kweli kabisa however natamani kufafanuliwa kidogo. Haya ni matendo yanayotokea voluntarily au? Tunafahamu miayo sio kitu ambacho mtu anaamua.
Siku hizi mtu akichoka pia anakimbilia Instagram, Twitter na mitandao mingine ya kijamii hiyo inakaa sehemu gani mtaalamu.
 
Kukaa na watoto kunasaidia sana. Wanakukumbusha ulivyokuwa mtoto kipindi hukujua chochote wala kujali chochote na bado ukawa na furaha isiyo na kikomo bila sababu, kwamba maisha hayahitaji userious sana.
Wakitoka hapo wana baba zao wakiumwa au wakiwa na njaa ama chochote wapo chini ya ulinzi. wewe je?

Umeielewa makala mkuu au ndio stress zenyewe.

Rakims
 
Umeongea vizuri sana na ni kweli kabisa however natamani kufafanuliwa kidogo. Haya ni matendo yanayotokea voluntarily au? Tunafahamu miayo sio kitu ambacho mtu anaamua.
Siku hizi mtu akichoka pia anakimbilia Instagram, Twitter na mitandao mingine ya kijamii hiyo inakaa sehemu gani mtaalamu.
Well, ukichoka akili pia hata hiyo inaweza ikawa inakutibua tu. ukatukana watu mitandaoni baadae ukajiona mjinga ndio kama member wengine humu mkuu.

Rakims
 
Habari wakuu,

Nini cha kufanya ukiwa umechoka na kila kitu?

Katika maisha kila mtu huexperience maisha kwa mtindo wake wapo ambao huona maisha ni mazuri wapo ambao huona maisha ni kawaida na wapo ambao huona maisha ni machungu'-

Makundi yote matatu ya watu hawa basi hufikia sehemu mwili hukosa amani kila kona na kupelekea akili kukosa ufanisi mzuri huenda ikawa ni siku nzima ama wiki nzima au mwezi mzima hadi pale linapotokea jambo la kushtua akili yake na kuanza kuishughulisha.

Kufupisha maelezo kulingana na uchovu ulionao muda huu hata wa kusoma thread hii basi nikujuze ni mambo gani matano ya kufanya ukiwa umechoka kila kitu.

1: KWENDA MIAYO (Yawning)
Hii njia husaidia mtu ambaye kachoka akili na pia anakosa hata nafasi ya kuipa fikra mpya akili yake basi Ikiwa unajihisi umechoka kila kitu na hata akili haifanyi kazi vizuri na hata usingizi hauji pia basi nenda miayo ambayo sio ya asili mara 3 na moja kwa moja utaanza kuona miayo inakuja yenyewe kwa mfululizo mara nyingi.
Miayo husaidia ufunguzi wa akili na mawazo mapya na kupoteza ama kuanzisha jipya tofauti na lile uliyokuwa ukifikiria ukipiga Mingi zaidi basi moja kwa moja hata kama huna usingizi macho yataleta kishawishi kikubwa cha kulala.

2: KUFUTA PAJI LA USO
Hii njia husaidia mtu ambaye anakuwa kachoka mwili na kuanza kupata maumivu ya kichwa kama kipanda uso basi kwa hakika yoyote mwenye kusugua mafundo ya viganja vyake na kupata umoto kisha akabandika kwenye macho yake huku kafumba na kupandisha kwenye paji lake la uso akifanya hivyo mara saba moja kwa moja kipanda uso kitaisha vile vile kwa mtu mwenye kisirani.

3: KUVUTA PUMZI
Ikiwa mtu atakuwa kachoka kiroho yaani mtu mwenye kuchoka hadi kufikia hatua ya kuona suluhu ni kujiua basi ni vema zaidi akavuta pumzi ndefu puani kwa sauti na kisha akatoa kwa sauti mdomoni mara saba moja kwa moja hata waza tena kujiua na ataanza kuogopa kujitoa nafsi yake mwenyewe na ataepukana na kukata tamaa.

4: KUONGEA NA ROHO:
Kila kiumbe hai kina roho hivyo ikiwa uchovu wako umesababishwa na jambo moja tu lenye kujirudia kila mara basi ni vevma zaidi ukaongea na Roho (Mungu/Malaika/Jini/Shetani/roho yako mwenyewe) nimejaza roho hizo kwa maana kila mtu ana imani yake hivyo ukiwa uchovu wako unasababishwa na mikwamo ya kila kitu basi fumba macho na ongea na kichwa chako mithili kwa wenye imani ya Mungu unaweza kusema.
"Hakika hakuna anayejua yaliyopo rohoni na moyoni kwangu Isipokuwa wewe uliyenipa roho na kuniumba wewe unajua nini mimi nataka na nini mimi sitaki, unajua hasa ni ipi dhamira yangu ikiwa ni nzuri unajua mwanzo na mwisho wake na ikiwa mbaya unajua mwanzo na mwisho wake na hakika hili umenijalia wewe na utanisaidia wewe" Kisha sikiliza majibu.

5: KUJICHEKA AU KUCHEKA:
Ikiwa uchovu wako umetokana na hasira au kisirani au jeuri na kiburi basi kaa pembeni faragha peke yako kisha anza kujicheka au cheka na hakikisha kicheko chako kinakuwa straight yaani kisiwe cha uongo kama vile mambo yakikupiga na ukakosa raha na ukaanza kulia basi kaa vile vile na ujicheke mwenyewe kwa maana mkwamo mkubwa wa maisha na uchovu huletwa na kukosa furaha na furaha humuweka mtu karibu na malaika na huzuni humuweka mtu karibu na shetani. Hivyo ni vyema kucheka peke yako kama vile unavyolia peke yako hii itamfanya shetani wako akuone wewe ni mwehu na akukimbie kwa maana mitihani anayokuletea mategemeo yake uadhirike na uchukie hukumu za Mungu wako sasa anaona unafurahia matatizo muda huo yeye ndio atanuna. hii ni msaada pia kwa watu wenye msongo wa mawazo.

Chanzo:
Vitabu elfu vya maarifa

Rakims
mmh Hapo kwenye Miayo hapana aisee nimeshuhudia jamaa akipiga Miayo mingi ujuwe anataka kupandisha ruhan wake 😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom