Ongezea hizi,japo umeshazitaja ila nimezifafanua zaidi.
Huchukulia kwa uzito maoni na ushauri wanaopewa na kuyapima kwanza kisha kuyafanyia kazi,
Huheshimu kila mtu,mwenye nacho na asiye nacho,mwenye cheo fulani na asiye na cheo fulani,ni watu wanaoishi Free life.