Sammo Hung
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 1,151
- 1,321
huyo youtube inaitwajeIt's on you tube
Hii kitu imenikumbusha kitu, tumefanana muda,tarehe na mwezi wa kuzaliwa mwanangu na mimi.Wazungu wana maisha ya kuweka rekodi,tofauti na sisi,inawezekana hapo ulipo hata hujui muda na saa uliozaliwa,inaweza kuja kugongana exactly na muda atakaozaliwa labda mwanao au mjukuu wako,na matukio mengineyo
Hii ndio ile unasikia mtoto kafanana na na babu wa babu yake!Hapa si bure, Ozil atwambie ukweli.
ahhaahh ahahNa mm je nilpozaliwa tu nikaongea siku hyo hyo tena kingereza umenisahau
Sent using Jamii Forums mobile app