Mambo 6 Duniani yaliyotokea kwa namna ya kuacha Mdomo wazi

Ila wa baiskel ya injin katishaaaa sanaaaa
 
sorry mkuu naomba uattach hiki kitabu nidownload maana nmekitafuta mtandaon nmeshndwa
 
Moja ya Uzi bora sana big up mtoa mada!
 
Hitler shall be back again, Kim il sun shall be back again, Hugo Teves shall be back again, Mohhamall quadhafi shall be back again, No one can stop revolution no one can stop socialism's
 
Duh! dunia iko na maajabu yake kwakweli.
 
"ulukwego", kwamba kama katika ukoo mtu ameua aidha kwa bahati mbaya au kwa makusudu, ili hilo tendo lisirudi kwa mtu mwingine katika familia basi zipo dawa za kuwapa wana familia wote au hata kaya. Siku hizi tunakemea mapepo kwa jina la YESU. kwenye uzi huu angalia tukio la kugongwa na gari ndugu sehemu moja. nakushukuru kwa kumbukumbu hizi.
 
Wajenzi huru hao wataalamu wa hesabu, wazee wa dunia, au waite wazee wa mipango
 
"kazaliwa tarehe moja na kiumbe mmoja wa muhimu sana maishani mwangu"

Niko curious kujua lol

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NAMBA tisa Ndo hit matter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…