Mambo 8 ya kushangaza yanayofanywa na mwili wako kukulinda pasipo wewe kujua

asante ndugu kwa mada nzuri,ila kuna sehemu kama sijaelewa vile! kwenye hio dayafram umesema hubakia mahali pake wakati hewa ikitoka, lakini ikiwa inaingia hushuka chini, sio inapanda na kushuka kama ulivyo upumuaji?
Ongezea;Ukipata kwikwi tulikuwa tunaambiwa kunywa maji na ukinywa tu kwikwi inakata,je ni sawa? Je kuna uhusiano ktk hili?
 
9)Kujigeuza geuza mara kwa mara ukiwa usingizini;Wataalam wanasema unapokuwa umelala upande mmoja kwa muda upelekea upande kuchoka kwa misuli na mishipa ya damu na kufanya mzunguko wa damu kuwa mdogo upande huo so automatic utajikuta unajigeuza mwenyewe bila kujua na kurelease upande huo wa mwili
 
Vipi kuhusu ngozi kutetemeka hususani kama unatembea usiku kwenye maeneo yalikuwa na ukimya sana
 
Mwili una njia nyingi za kujilinda mpaka unasababisha kero ya allergy
 
Kwa kuongezea pia mwili unakupa taarifa au taadhari kupita hisia mbali mbali zifuatazo ni hisia kumi
Action Signals

According to Tony, here are what the 10 Action Signals mean:

01. Uncomfortable – When you feel uncomfortable, this is a signal to change your state. Clarify what you want, then take action in that direction.
02. Fear – Fear is a signal to prepare ourselves or get prepared. Get yourself prepared to deal with something that’s about to come. If it’s beyond your control, then change your perception and let it go.

03.Hurt – Hurt is a signal that you have an expectation that’s not being met or you have a sense of loss. Evaluate whether there really is a loss. Next, change your perception or change your way of communicating your needs or change your behavior.

04.Anger – This is a signal that an important rule that you have in your life has been violated by somebody else or maybe even you. Clarify your rules or adjust them. Your rules might not match other people’s rules so if you don’t change them, you might be angry the rest of your life.

05.Frustration – The signal is you’re doing the same thing over again and expecting a different result. You need to change your approach to achieving your goal.

06. Disappointment – This is a signal that you need to realize that an expectation or an outcome you had won’t happen, and you need to change your expectation. For example, maybe your timeframe was too short.

07 Guilt – Guilt is a signal that you violated one of your own standards. Don’t stay in guilt, but don’t deny it. Make things right when you screw up. When you can’t change the past, change your present and future behaviors. Recognize when you’re feeling guilty when you shouldn’t be, change your perception, and let it go.

08. Inadequacy – This is a signal that you need to do something to get better. Get up and do something to get better or change your criteria. Maybe your rules are too harsh. You don’t have to be perfect – you simply need to start taking action, such as go practice, to improve at whatever it is.

09. Overloaded – This is a signal to reevaluate what is most important to you in this situation. Distinguish between what is a necessity versus. what is a desire. Prioritize your list. Take the first one on your list and do something about it. Do something to take control of events instead of let them control you. The simplest way is to chunk it down, take one thing, and act on it.

10. Loneliness – The signal is we need a connection with people. Clarify what kind of connection you need: basic friendship, somebody to laugh with, somebody to listen to you, etc. Then change your approach or change your perception..

I have to say, this is some of the most effective and actionable guidance I’ve heard on mastering emotions.
 
Pale kwenye namba 8 umesema
Kuna machozi ya vilainishi, ya ulinzi na ya uchungu, na kila aina umeifafanua vizuri na imeeleweka vyema

Je pale mtu anapofurahi sana hadi akalia, ile nayo unaisemeaje?

Au furaha na uchungu katika sayansi hiyo vina tafsiri sawa?
 
Ndiyo mkuu, kwa jina jingine tunayaita MACHOZI YA HISIA furaha na uchungu zipo sehem moja
 
Ongezea;Ukipata kwikwi tulikuwa tunaambiwa kunywa maji na ukinywa tu kwikwi inakata,je ni sawa? Je kuna uhusiano ktk hili?
Zipo njia nyingi zinazoelezwa ambazo zinzweza saidia kuondoa kwikwi, mojawapo ni kunywa maji, nyingine ni kupata mshtuko kwa kushtuliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…