Mambo ambayo Babu zetu walitusihi tuyafuate kwenye mahusiano lakini tuliyapuuza sasa tunaonja joto la Jiwe

Taikon umesahau jambo la Muhimu sana, Mwanaume tahiriwa jandoni na peleka kijana wako Jando

Hili linasaidia sana kulinda hulka za kiume namaadili pia yanayopatikana kwenye mafunzo ya jandoni

Tabia ya Wanawake kupeleka Watoto tena wadogo kutahiriwa hospitalini ni mbaya inatengeneza mashoga

Excuse me kama ni nje ya mada yako

Jambo lingine ni Mwanaume kufanya KAZI na kuprovide kwa familia na sio Mwanamke ndio alete mkate wa nyumbani, hii inaleta dhana mbaya kwa watoto
 

Mkuu, hakuna ulichokosea, ulichofanya ni kuongeza nyama.

Ipo haja ya kufanya mapitio katika mambo haya
 
I think kikubwa ambacho watu wamepuuza ni "Uzuri wa mwanamke si sura ni tabia"
 
I think kikubwa ambacho watu wamepuuza ni "Uzuri wa mwanamke si sura ni tabia"

Wanaume tumejisahahu Kwa mambo mengi.
Mbali na hivyo, baadhi ya wanaume wamekuwa wakifanya ukatili na unyanyasaji Kisa wajibu wao wa kuhudumia familia.

Taikon ninafuata mfumo dume kwani ndio mfumo salama Kwa familia na Jamii. Lakini wengine Mfumo dume wanautumia kufanya Isivyo Haki.

Uzuri WA Mwanamke ni Tabia, Sura itatokana na matunzo Kutoka Kwa mumewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…