mkisyeli
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 260
- 76
Haya ni baadhi ya matukio ambayo wanafunzi huwa
wanayafurahia vyuoni: 1. Ile assignment haitakusanywa leo. 2. Lecturer kasafiri, kipindi hakuna had atakapo rudi. 3. Hiyo kazi mfanye kwa group, sio individual. 4. Hakuna presentation, mkusanye hivyo hivyo. 5. Hii assignment ni page moja tu na si lazima
uichape. 6. Final exam soma test 1 and 2 na ile assingment ya
kwanza. 7. Matokeo yametoka hakuna sap. 9. Ratiba inaonyesha vipindi vitakuwa vinaisha
Alhamisi saa sita.
Ongeza na ya kwako unayoijua wewe
wanayafurahia vyuoni: 1. Ile assignment haitakusanywa leo. 2. Lecturer kasafiri, kipindi hakuna had atakapo rudi. 3. Hiyo kazi mfanye kwa group, sio individual. 4. Hakuna presentation, mkusanye hivyo hivyo. 5. Hii assignment ni page moja tu na si lazima
uichape. 6. Final exam soma test 1 and 2 na ile assingment ya
kwanza. 7. Matokeo yametoka hakuna sap. 9. Ratiba inaonyesha vipindi vitakuwa vinaisha
Alhamisi saa sita.
Ongeza na ya kwako unayoijua wewe