Hahah jaman DARIUS sasa unataka kila siku waanzishw wao??haha haya mkuu
Haya ni baadhi ya matukio ambayo wanafunzi huwa
wanayafurahia vyuoni: 1. Ile assignment haitakusanywa leo. 2. Lecturer kasafiri, kipindi hakuna had atakapo rudi. 3. Hiyo kazi mfanye kwa group, sio individual. 4. Hakuna presentation, mkusanye hivyo hivyo. 5. Hii assignment ni page moja tu na si lazima
uichape. 6. Final exam soma test 1 and 2 na ile assingment ya
kwanza. 7. Matokeo yametoka hakuna sap. 9. Ratiba inaonyesha vipindi vitakuwa vinaisha
Alhamisi saa sita.
Ongeza na ya kwako unayoijua wewe
watu kwa ku copy na ku pest wako vizuri..! Ungetakiwa ueleze na ulipoitoa hii kitu..! Shout out kwa masanja mkandamizaji kweny account yake ya fb...
We kibaka unamjua..kilaza wewe
Haya ni baadhi ya matukio ambayo wanafunzi huwa
wanayafurahia vyuoni: 1. Ile assignment haitakusanywa leo. 2. Lecturer kasafiri, kipindi hakuna had atakapo rudi. 3. Hiyo kazi mfanye kwa group, sio individual. 4. Hakuna presentation, mkusanye hivyo hivyo. 5. Hii assignment ni page moja tu na si lazima
uichape. 6. Final exam soma test 1 and 2 na ile assingment ya
kwanza. 7. Matokeo yametoka hakuna sap. 9. Ratiba inaonyesha vipindi vitakuwa vinaisha
Alhamisi saa sita.
Ongeza na ya kwako unayoijua wewe