Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila zinategwa?Kabisa, halafu ni vile hawajui tu , pesa wala hazitafutwi 🤔
Kwani wasipokuheshimu unapungukiwa nini?Upo sahihi mkuu, ili uheshimike na kuyaenjoy maisha, unahitajika kua mwanadiplomasia zaidi kuliko kutumia hisia/mihemko zaidi.
Utajua wewe🤗Ila zinategwa?
Kwel umeshanichoka sasa🤔Anhaha kwani umeacha kazi GESHI RA PORISHI?
😂😂😂😂😂 hamna baanaaKwel umeshanichoka sasa🤔
Na ni njaa kweli. Kwenye mabar unakuta kijana mdogo anongea upumbavu mtupu usiofaa hata kusikilizwa na watu timamu ila kuna mtu mzima kakaa nae anacheeeka sababu tu bili yake italipwa.Njaa tu zinafanya tuone hivyo mkuu😂
Hivi mtu hana pesa anafuata nini bar? Huwa nashangaa sana🤔Na ni njaa kweli. Kwenye mabar unakuta kijana mdogo anongea upumbavu mtupu usiofaa hata kusikilizwa na watu timamu ila kuna mtu mzima kakaa nae anacheeeka sababu tu bili yake italipwa.
kwanini hiyo picha 👆👆👆 imetrend?"Pesa na Mamlaka ndio vittafanya uheshimike, mbali na hapo watakaokuheshimu ni watoto wako tu"
View attachment 3147964
PambanaZaidi/CottonandMore
MKUU MBONA UMENIJIBU KIKATILI HIVYO?Utajua wewe🤗
Hupungukiwi chochote, bt ukiwa mwanadiplomasia ktk maisha unapunguza vita/changamoto nyingi zisolazima.Kwani wasipokuheshimu unapungukiwa nini?
as long as hawakusaidii chochote kwenye maisha yako.
Hahaha. Wapo wengi mno hao mkuu. Wapenda miteremko. Tena wengine wana hadi ujasiri wa kuagiza na nyama na ndizi na hana hata mia mfukoni akitegemea italipwa tu.Hivi mtu hana pesa anafuata nini bar? Huwa nashangaa sana🤔
Unasemaje MkuuUtajua wewe🤗