Mambo bado kesi ya Dr Manguruwe, kuendelea kusota rumande, kesi yaahirishwa

Mambo bado kesi ya Dr Manguruwe, kuendelea kusota rumande, kesi yaahirishwa

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Limited, Saimon Mnkondya, maarufu Manguruwe akitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo baada ya kesi inayomkabili kuahirishwa kutokana na kutokamilika kwa upelelezi ambapo anashtakiwa kwa makosa 29 ikiwamo ya uhujumu uchumi pamoja na kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu.

Soma, Pia: Dkt. Manguruwe matatani, asomewa mashtaka 28 ya utapeli, uhujumu Uchumi
IMG_1775.jpeg
 
Akikaa mpaka mwaka mpya ilo tabasam linaisha🤣🤣

Mle ndani Ni km upo kwa shwatan
 
Baada ya Kiboko ya Wachawi huyu nae amewafirimba Watanganyika... hivi nani katuroga??
Elimu yetu inatufanya tuwe wavivu kufikiri, kosa kubwa ni kutumia kiwahili kama lugha ya kufundishia, hatuwezi kutoka nje ya duara.
With english mtu anatapata uwanjea mpana sana wa maarifa na hii ndio hupelekea werevu.
 
Elimu yetu inatufanya tuwe wavivu kufikiri, kosa kubwa ni kutumia kiwahili kama lugha ya kufundishia, hatuwezi kutoka nje ya duara.
With english mtu anatapata uwanjea mpana sana wa maarifa na hii ndio hupelekea werevu.
Naigeria wanatumia kingereza ilaa dunia inawajua kwa mziki wao kwahyo kaz ya utp
 
Lakini hebu tuwe bayana. Aliwatapeli watu au serikali ilihisi kuwa waliotoa hela kwake watatapeliwa? Maana naona projects zake (vanila na nguruwe) ndio zilikuwa zimeanza
 
Back
Top Bottom