Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kutamka neno "Mama, baba".[emoji23][emoji23]Ukiwa Mzazi bila shaka unabeba jukumu kubwa la malezi na jinsi unataka kumshape mwanao. Ni mambo gani unahakikisha mwanao anayajua mapema?
Mambo ya msingi ya mwanao kujua mapema navofikiri ni kutopenda kukaa peke yake, na asiwe muoga wa kuzungumza. Wakati akikua zaidi, mfundishe Maandiko Matakatifu na kumuabudu Mungu akiwa mdogo, mfundishe umuhimu wa kuwa na Mungu katika maisha yake .Ukiwa Mzazi bila shaka unabeba jukumu kubwa la malezi na jinsi unataka kumshape mwanao. Ni mambo gani unahakikisha mwanao anayajua mapema?
Mie wanangu nawapaga buku buku wikendi,nawaambia mwanaume hatakiwi kukosa hela,Ila iwe halali.Cha kuongezea, mfundishe jinsi ya kuhesabu hela na kuwa na nidhamu ya pesa toka akiwa mdogo, mfundishe jinsi ya kupanga bajeti ya matumizi yake na ikiwezekana ayaandike kwenye daftari. Msimamie kabisa uhakikishe anayafanya yote haya.
Picha yake tafadhaliUkiwa Mzazi bila shaka unabeba jukumu kubwa la malezi na jinsi unataka kumshape mwanao. Ni mambo gani unahakikisha mwanao anayajua mapema?
Uko sahihi.Mie wanangu nawapaga buku buku wikendi,nawaambia mwanaume hatakiwi kukosa hela,Ila iwe halali.
Apokee kwa viumbe gani mkuuPia, kutopokea vizawadi au vitu vya burebure toka kwa wanadamu.
Nyani, simba, kuku n.k.Apokee kwa viumbe gani mkuu
Nyani, simba, kuku , n.k. Isiwe binadamuApokee kwa viumbe gani mkuu
1. Usafi. Mzoeshe kunawia mikono kwa sabuni kila anapojisaidia. Mzoeshe kufanya hivyo tokea akiwa "mchanga", kila ajisaidiapo, akishasafishwa, anawishwe kwa maji safi na sabuni. Hiyo tabia itazama kwenye ufahamu wake wa ndani na kuwa sehemu ya maisha yake.Ukiwa Mzazi bila shaka unabeba jukumu kubwa la malezi na jinsi unataka kumshape mwanao. Ni mambo gani unahakikisha mwanao anayajua mapema?