Mambo gani muhimu ya kuzingatia katika ujenzi wa Hoteli kubwa ya nyota Tano( FiveStars Hotel)?

Mambo gani muhimu ya kuzingatia katika ujenzi wa Hoteli kubwa ya nyota Tano( FiveStars Hotel)?

Ramani ni mambo yote..tafuta Kwanza ramani kutoka kampuni kubwa zinazotambulika duniani uone project zao hotel za 5* ndio utaanza kufunguka...
 
Ramani ni mambo yote..tafuta Kwanza ramani kutoka kampuni kubwa zinazotambulika duniani uone project zao hotel za 5* ndio utaanza kufunguka...
Hizo kampun kubwa hapa kwetu hazipo?
 
Changamoto itakuwa ni fedha sababu ule ni mrad mkubwa na nssf wanatumia fedha za watu ambao ni watumishi na si fedha zao
Ni kweli hapo wanatumia pesa zetu.
Huwa wanajifanya kupinduapindua sheria ili kutuzubaisha.
 
Inamaana hii hotel mpaka leo haijakamilika tu!
Uwekezaji wa 5 star hotel sio wa kitoto

Sina hakika kama jamaa yako ataweza kumudu gharama sababu hotel nyingi za nyota 5 ni za wabia,


Mfano hapa mwanza ipo moja inajengwa mitaa ya capripoint inatarajiwa kuzinduliwa mwezi wa 6 hotel hii imejengwa na mfuko wa hifadhi ya jamii nssf gharama waliyotumia ni BILION 96

Ni gorofa 16 tu lakin gharama iliyotumika imechangamka kwel kwel

Hotel hii juu kabisa wamejenga parking ya helkopta

Kwahiyo ndio hivyo ndugu yangu maranyingi uwekezaji wa 5star hotel sio wa mtu/ mfanya biashara 1

Kitu kingine unachotakiwa kufaham 5 star hotel nyingi wanaoendesha sio wabongo

Kinachofanyika ukishajenga unatafuta mwekezaji sasa maranyingi huwa wanakuwa mataifa ya kigen hiyo hapo attachment ya hiyo hotel ambayo mpaka hapo imegharim bilion 96
 
Habarini wakuu

Naomba tushirikishane kwa kutoa mawazo na maoni mbalimbali haswa kwa wenye ufahamu kuhusu hoteli za nyota tano, na pia wajenzi na wakandarasi ambao wana uzoefu wa kujenga majengo makubwa kama hoteli za nyota tano.

Mdau anataka kujenga hotel kubwa ya nyota tano, hapa nchini haswa katika mikoa ya Dar es Salaam na Arusha, je ni mambo yapi ya muhimu ya kuzingatia?

Kama mtaji hadi kukamilika, je kipi bora tenda akipewa mtanzania au mchina katika ujenzi, je hadi hoteli kuitwa ni ya NYOTA TANO inatakiwa kua na vigezo gani? Je kiwanja chenye ukubwa gani kinahitajika ama kinaweza faa kwa hio project?

Karibuni.
Bro kumbe ulijipata 😹
 
Back
Top Bottom