hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
hilo nalo lahitaji maelezo kweli[emoji780]Kutofaidi Maisha ya ujana wako ndio kufanyeje?
Ndio linahitaji maelezo ya kina.hilo nalo lahitaji maelezo kweli[emoji780]
Kuwa chini ya utawala wa awamu ya 5Ukiwa mzee utayajutia haya[emoji116]
[emoji117]Kutokusafiri kwenda sehemu mbalimbali duniani.
[emoji117]Kufanya kazi ngumu.
[emoji117]Kutokutumia mda wa kutosha na wazazi wako.
[emoji117]Kutokufaidi maisha ya ujana wako.
[emoji117]Kuogopa kutamka "Nakupenda"
Karibu kwa nyongeza ya mambo mengine.
kutofanya kazi kwa kuajirika!Ukiwa mzee utayajutia haya[emoji116]
[emoji117]Kutokusafiri kwenda sehemu mbalimbali duniani.
[emoji117]Kufanya kazi ngumu.
[emoji117]Kutokutumia mda wa kutosha na wazazi wako.
[emoji117]Kutokufaidi maisha ya ujana wako.
[emoji117]Kuogopa kutamka "Nakupenda"
Karibu kwa nyongeza ya mambo mengine.
Kutumia nguvu zako, muda wako na moyo wako kufanya kazi kwa uadilifu kutumikia mamlaka ya juu (Supreme Authority) ambayo ni dharimuUkiwa mzee utayajutia haya[emoji116]
[emoji117]Kutokusafiri kwenda sehemu mbalimbali duniani.
[emoji117]Kufanya kazi ngumu.
[emoji117]Kutokutumia mda wa kutosha na wazazi wako.
[emoji117]Kutokufaidi maisha ya ujana wako.
[emoji117]Kuogopa kutamka "Nakupenda"
Karibu kwa nyongeza ya mambo mengine.
Kwa maneno mengine alitaka kusema "kutokuchakata mbususu za kutosha ujanani" 😁Kutofaidi Maisha ya ujana wako ndio kufanyeje?
[emoji23]Ngoja tuone tutaleta mrejesho mkuu tukifika uzeeni.