hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Ukiwa mzee utayajutia haya[emoji116]
[emoji117]Kutokusafiri kwenda sehemu mbalimbali duniani.
[emoji117]Kufanya kazi ngumu.
[emoji117]Kutokutumia mda wa kutosha na wazazi wako.
[emoji117]Kutokufaidi maisha ya ujana wako.
[emoji117]Kuogopa kutamka "Nakupenda"
Karibu kwa nyongeza ya mambo mengine.
[emoji117]Kutokusafiri kwenda sehemu mbalimbali duniani.
[emoji117]Kufanya kazi ngumu.
[emoji117]Kutokutumia mda wa kutosha na wazazi wako.
[emoji117]Kutokufaidi maisha ya ujana wako.
[emoji117]Kuogopa kutamka "Nakupenda"
Karibu kwa nyongeza ya mambo mengine.