Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Naam nimejifunza hilo pia, kama hailipi badilika.Kuna muda kukomaa na jambo moja haimaanishi utafanikiwa bali ni kupoteza muda
Wewe ndio yule malaika, ahsante kwa kunikumbushamo jirani.ππ Half american umeona shuhuda hizi za novena?
Sasa wewe endelea kusema nitaanza kesho, keshokutwa.!! Unajichelewesha
Hilo umejifunza weweMtu akikugeuka na wewe unamgeuka
Haisaidii chochote.Tufunge na tusali
Unataka kuaribu uzi wa watu tuu...Haisaidii chochote.
Tunafanywa tupoteze muda wetu na pesa zetu kwenye mambo yasiyo muhimu sana kama mitandao ya jamii ili kutajirisha makampuni makubwa.
Mwisho wa siku watu wanakuwa watumiaji tu; social media addicts, walevi, wacheza kamari lakini maisha yao hayana muelekeo
Hilo nalo nenoπHela unatoa lakini?
Wewe ni Mchaga?Hela unatoa lakini?