Ah wee denge mjanjanunasa kwenye tundu bovuWeuweee hata hivyo madem zako si wote dei waka experience hiyo ni vipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah wee denge mjanjanunasa kwenye tundu bovuWeuweee hata hivyo madem zako si wote dei waka experience hiyo ni vipi
Kuna jamaa yupogo active kwaajili yangu tuu...Hebu fanya tufanye kama ndo nimesema sasa, haya shusha hayo maneno yatapata wenyewe tu😂😂
Jamaa upo smart sana...Kama mwanaume, nia ya kupata mafanikio ni kuongeza heshima na thamani yako.
Binafsi, nashindana na mzee wangu. Pale alipokosea mi ndo narekebisha. Lengo ni kuhakikisha natimiza hata nusu ya malengo yake aliyoshindwa. Naamini mimi ni new version of him.
Pili, mahaters zangu wakubwa ni maex zangu mpaka sasa. Sababu kubwa ni tamaa zao. Najua bado wanani stalk kuhakikisha kama walifanya uamuzi sahihi au la. Lengo langu wapate majibu ya maswali yao.
Tufunge na tusaliLife waits for nobody.
You either go hard, go home or you die.
Mkuu ujafukia mate yakohapo pa the so-called 'marafiki', dah..!! kubabake sina hamu kilichonikuta mwaka huu..!!
Nimeamini hawa raia tunawaita 'rafiki' zetu wana uwezo hata kutuzika tukiwa hai na kuja kulia msibani..!!
Nimejifunza tuna watu tu 'tunaofahamiana' nao ndiyo wametuzunguka, kumpata the so-called RAFIKI kwenye haya maisha siyo rahisi kama nilivyodhani, ptuuuuh'..!🙌
sihitaji marafiki - Fid Q ft. Yvonne Mwale..!!
Ndivyo ilivyo, na ndivyo itakavyoendelea kuwa.Mwanamke
Mahusiano
Marafiki
Haya ndo mambo kila mwanamke Tanzania utayekutana nae atakuwa anakuambia
Basi utumwa nao ni utumwa!Kubeti sio kazi
Kataa ndoa ni utumwa
Kuoa nako ni utumwa
🤣🤣🤣Ah wee denge mjanjanunasa kwenye tundu bovu
Hahahahaaaa nimepiga penyewe?Kama ulikuwa moyoni mwangu
Mipango bila pesa ni keleleKabisaa sijui unakwama wapi
Mhhh! Hii sio kweliKuna muda kukomaa na jambo moja haimaanishi utafanikiwa bali ni kupoteza muda
Blaza mifano gani hiyo..Kama wanavyosema kuwa you're what you eat, basi people around us wana influence ktk maisha hapa inaweza kuwa positive or negative sasa basi jaribu kupata marafiki wapya, jifunze mambo mapya na tembelea sehem mpya. Huwezi kuwa unataka kuwa labda rubani ila unashinda kwenye banda la fundi maiko anaeshona shati la kijani lilodariziwa na njano shingoni na analiashona kwa week nzima na bado haliishi halafu utegemee matokeo chanya.
Mtu akikugeuka na wewe unamgeukaUsiamini mtu anaweza kukugeuka wakati wowote.
Mama ndio rafiki wa kweli wa nyakati zote.
Pesa ndio kila kituMipango bila pesa ni kelele
Ndioooo❤️Hahahahaaaa nimepiga penyewe?
SawaNdioooo❤️
KabisaPesa ndio kila kitu
Huna imani wewe😂😂😂,.Tatu kavu inakuaje.....
Mbona nilienda 15hrs saa mbili natetemeka 🥺