Mambo gani upoteza bikra kwa mwanamke?

bikra zilikuepo enzi za zama damu sio saiv
 
Watu wengi hujidanganya kwamba kuna kitu kinaitwa bikra kimejificha kwenye uke ambao haujawahi kuingiliwa. Wengi hufikiri anapomuingilia mwanamke kwa mara ya kwanza akamtoa damu basi ile damu ni bikira imevunjika. Ukweli ni kwamba damu hutoka kwa sababu ya michubuko iliyosababishwa na msuguano kati ya uume na ngozi laini ya uke ambayo haijawahi kuingiliwa hata mara moja. Mara nyingi damu hutoka kwa sababu watu hawatumii vilainishi (lubricants) wanapojamiiana kwa mara ya kwanza. Kiukweli bikra ni ile hali ya kutokuwahi kufanya mapenzi. Ndio maana hata baadhi ya wanaume ambao hawajawahi kufanya tendo la ngono utasikia wakiitwa/wakijiita mabikra. Ni kahadithi karefu kidogo.
 
Hivi nikwel mwanamke bikra yake upotea kwa kucheza mpira,ku drive baiskeli?

Au mambo gani upoteza bikra kwa mwanamke

Kupanda farasi pia huweza kuondoa bikra.
 
Kuna maradhi pia yanaondoa bikra..
 
ni MUHIMU KUJUA HAYA MAMBO COZ YANACHANGANYA SANA SO KWA ANAYEJUA ATUAMBIE
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…